mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,335
- 1,183
Mie naongea kwa kiwango changu cha elimu na uzoefu wangu wa kikazi katika network security. Wewe ukiamua kuja hapa na mambo ya kijinga na comments za kitoto tafadhali usipoteze muda wangu. Tafuta mashoga wenzako muanze kusutana. Ukitataka majadiliano ya kistaarabu unakaribishwa sana kujadili nami.Kama anga la Tanzania linaweza kuona ndege vita inayoweza kuiletea madahara Tanzania ndio isiweze kudhibiti Vpn,naomba ulale kama hauna mke
Kama nilivyosema sina muda wa kupoteza kwa watu kama wewe wasio wastaarabu na wenye fikira finyu, kwa hio hapa ndio tamati ya kuongea nawe. Do not come back to me with any comment regarding anything as i would not read it. I never argue with a fool.