escrow one
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,472
- 2,867
Kwani wakati 'fisadi papa' akiteuliwa kuwa mgombea Urais bavicha hamkuwepo?
Sumaye kuwa mjumbe wa kamati kuu cdm, hakukuwa na wafia chama huko?
vipi kina Ester Bulaya na wenzake waliopewa nafasi za kugombea ubunge ilhali walishindwa kura za maoni huko cdm? Mlifanyaje?
Sisi huku tunafuata nyayo zenu tu
Sumaye kuwa mjumbe wa kamati kuu cdm, hakukuwa na wafia chama huko?
vipi kina Ester Bulaya na wenzake waliopewa nafasi za kugombea ubunge ilhali walishindwa kura za maoni huko cdm? Mlifanyaje?
Sisi huku tunafuata nyayo zenu tu