johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,598
- 141,415
Bajeti inayoishia 30/06/2022 Ilikuwa imeanza kuandaliwa na serikali ya Awamu ya 5 kabla Rais Magufuli hajatwaliwa na Mungu wa mbinguni
Bajeti itakayosomwa Leo na Waziri Mwigullu imeandaliwa kwa 100% na serikali ya Awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Samia
Mungu ni mwema wakati wote
Bajeti itakayosomwa Leo na Waziri Mwigullu imeandaliwa kwa 100% na serikali ya Awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Samia
Mungu ni mwema wakati wote