Itachukua muda gani wanaolilia lockdown kuanza kusema Serikali inawanyanyasa

Bia yetu

JF-Expert Member
Apr 14, 2020
6,923
8,314
Ukipita mtandaoni kuna wale wenzetu wenye uhakika wa kula na kunywa kila mwezi hata wasipotoka nje wanalilia tufungiwe ndani "lockdown "

Kuna wale wenzangu na mimi hana hata debe moja la mkaa anategemea kwenda kununua ule wa jero kwa mama matarumbeta na yeye ana lilia lockdown Kwasababu tu ya Mkumbo wa kisiasa

Hawa wenzetu wana ajira permanent Wengi ni waajiriwa hawa ndio wapo mstari wa mbele kushinikiza serkali itangaze lockdown sikatai

Hili ni kundi la watu wabinafsi sana wanajiangalia wao tu lakini wanasahau asilimia kubwa ya Watanzania ni wa uchumi wa nipe nikupe bila kutoka unalala njaa
Hii inamaana ikitangazwa lockdown wana dar es salam takrbani milion nne wanakuwa katika hatari ya kufa nja

Lkn upande wa Pili serkali ikitangaza lockdown hata ya mwezi mmoja tu, amini usiamini wataanza kulaumu Serkali inawanyanyasa na kuwanyima Uhuru, wengine wataenda kushitaki kwa bwana mkubwa USA kuwa serkali inatuminya

Ila kitu cha muhimu serkali inawajua Watu wake inawajua ni watu wa maneno mengi yasiyo kuwa na uhalisia

Tunaomba serkali isitufungie Ndani, bali Tuendelee kuchukua tahadhari zinazotolewa kukabiliana na adui ambaye Tunakaribia kimshinda

Watanzania tuna kipaji cha kulalamika ukiwasikiliza sana unapoteza mwelekeo

Kwa maoni yangu ni bora watu miatano waathirike kwa corona kuliko watu milion tano kufa njaa

Corona Tunakaribia kukushinda
 
Kwanza lockdown sio suala la kisiasa kama ulivyosema, Pili uchumi wa watu wengi kuwa wa nipe nikupe sio kosa la hao wanaopendekeza kuwepo lockdown, Tatu lockdown inaweza ikawa ya kuzuia muingiliano ya watu wa dar na mikoa mingine ila watu wa dar wakaendelea na kazi.

Nne tambua mtaji wa kwanza wa binadamu ni afya kwa hiyo ungejaribu kuleta mapendekezo kama lockdown ikitokea kifanyike kitu fulani kutokana na uchumi wa wetu wengi kuwa wa kuunga unga.
 
Wengi wa vijana vijana Tanzania ni wajinga hawana upeo wa kupambanua Mambo

Wamawategemea watu wengine wafikiri kwa Niaba yao Yaani kichwani wengi wamejaza vitu vya kijinga hawana exposure

Hao wanaolilia lock down wanakaa kwa mashemeji zao!

Hakuna mhangaikaji analilia lock down

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wanaolilia lock down wanakaa kwa mashemeji zao!

Hakuna mhangaikaji analilia lock down

Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi lockdown siitaki kwani najua fika watanzania wengi ni masikini wa kutupwa ukiwafungia tu umewaua kwa njaa zile tambo za serikali kipindi cha nyuma kuwa tupo vizuri ilikuwa ni uongo tu ndio maana ule uzuri tuliokuwa tunahubiriwa unashindwa kureflect now
 
Ni washenzi tu hawa sio kweli wana nia njema na taifa.

Wanajua Watanzania wakilazimishwa kukaa ndani, hali ya kujikimu itakuwa ngumu sana.

Sasa hapo ndo wao wainuke na kuilaumu serikali inataka kuwaua wananchi wake kwa njaa.

Tumewastukia na sasa tumeamua tutapambana na Corona kwa njia zetu,
Kama tutakufa acha tufe na wale watakao salimika wataendeleza pale tuliposhindwa sisi kupafikia.
 
Mkuu wanaolilia lockdown Wengi wapo kisiasa watafutaji wanampongeza Rais

Suala la corona lipo, itakuwepo kwenye Jamii Kwahiyo Huwezi kufungia watu Ndani bila kuangalia long term effects
Kwanza lockdown sio suala la kisiasa kama ulivyosema, Pili uchumi wa watu wengi kuwa wa nipe nikupe sio kosa la hao wanaopendekeza kuwepo lockdown, Tatu lockdown inaweza ikawa ya kuzuia muingiliano ya watu wa dar na mikoa mingine ila watu wa dar wakaendelea na kazi.
Nne tambua mtaji wa kwanza wa binadamu ni afya kwa hiyo ungejaribu kuleta mapendekezo kama lockdown ikitokea kifanyike kitu fulani kutokana na uchumi wa wetu wengi kuwa wa kuunga unga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Serkali ina tambo gani? Hakuna serikali unayoweza kulisha Wananchi bila ya kufanya kazi

Ukizingatia walipa kodi Tanzania ni wachache sana
Binafsi lockdown siitaki kwani najua fika watanzania wengi ni masikini wa kutupwa ukiwafungia tu umewaua kwa njaa zile tambo za serikali kipindi cha nyuma kuwa tupo vizuri ilikuwa ni uongo tu ndio maana ule uzuri tuliokuwa tunahubiriwa unashindwa kureflect now

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio Mkuu Tuendelee kupambana huku tunachukua tahadhari,

Amini nakuambia tukifungiwa wiki mbili tu

Nyumba nyingi zitageuka makaburi, tutakosa Sehemu za kuzika
Kufungiana hapana aisee.. Mwenye hamu ya lockdown na ajifungie yeye na familia yake hata mwaka mzima, hatoulizwa na mtu.. Ila mambo ya kupangiana HAPANA tena HAPANA


Kwa suala hili: Mh. Magufuli nampa 100%

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora ufe unapambana familia ile kuliko kufa mmejifungia ndani na familia yako utakuwa hauna tofauti na wafuasi wa kibwetere

Acha tupambane, corona tutaishinda tu

Trust and believe
Ni washenzi tu hawa sio kweli wana nia njema na taifa.

Wanajua Watanzania wakilazimishwa kukaa ndani, hali ya kujikimu itakuwa ngumu sana.

Sasa hapo ndo wao wainuke na kuilaumu serikali inataka kuwaua wananchi wake kwa njaa.

Tumewastukia na sasa tumeamua tutapambana na Corona kwa njia zetu,
Kama tutakufa acha tufe na wale watakao salimika wataendeleza pale tuliposhindwa sisi kupafikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom