Njopino
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 3,470
- 5,050
Wasalaam wana Jf.
Baada ya mambo mengi yanayotokea juu ya siasa za Tanzania na tetesi zinazoendelea kuwa tusubiri kuyaona makubwa zaidi ya haya Kwa vigogo wa cdm kuamia upande wa pili. Na hili ndio linanifanya nikubaliane na mwana jf mmoja ambaye ameandika kuwa ccm itatawala zaidi ya miaka Mia, sio Kwa kuwa ni chama imara ila kwasababu hakuna upinzani imara. Swali hapa ni Itatuchukua mda gani kupata chama cha upinzani kilichokuwa imara kushindana na ccm, na kikiweza kuchukua dola kiwe na uwezo wa kuunda serikali yake bila kuwa na mamluki wa chama tawala.
Uchambuzi yakinifu ndio msingi wa mada.
Nawasilisha
Baada ya mambo mengi yanayotokea juu ya siasa za Tanzania na tetesi zinazoendelea kuwa tusubiri kuyaona makubwa zaidi ya haya Kwa vigogo wa cdm kuamia upande wa pili. Na hili ndio linanifanya nikubaliane na mwana jf mmoja ambaye ameandika kuwa ccm itatawala zaidi ya miaka Mia, sio Kwa kuwa ni chama imara ila kwasababu hakuna upinzani imara. Swali hapa ni Itatuchukua mda gani kupata chama cha upinzani kilichokuwa imara kushindana na ccm, na kikiweza kuchukua dola kiwe na uwezo wa kuunda serikali yake bila kuwa na mamluki wa chama tawala.
Uchambuzi yakinifu ndio msingi wa mada.
Nawasilisha