Eternal_Life
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 812
- 1,672
Katika nchi ambayo kwa miongo takribani mitano imekuwa ikiongozwa na chama ambacho kimekufa kifikra,kimaadili na hata kiubunifu.Akitokea mtu akaonekana ana akili kuwazidi "magenius"wao(mkulu na vibaraka wake wote)atapelekwa mpaka mahabara kupimwa mkojo ili wajue kama anatumia kitu cha ziada,kwa maana kwao wote ni vilaza na hakuna mtu ana uwezo mkubwa kiasi icho.
Nipende kuwashauri tu,wajitahidi kumuomba Mungu sana awape akili,hekima na maarifa na waache kukimbilia kwa waganga,mwisho wake ndo kuona kama kila mtu anayepingana nao na kuwa challenge ni muathirika wa madawa ya kulevya au kuna kitu cha ziada anatumia.Ndo maana my president(Lowassa) aliwahi kusema cha muhimu ni Elimu Elimu Elimu.
Nipende kuwashauri tu,wajitahidi kumuomba Mungu sana awape akili,hekima na maarifa na waache kukimbilia kwa waganga,mwisho wake ndo kuona kama kila mtu anayepingana nao na kuwa challenge ni muathirika wa madawa ya kulevya au kuna kitu cha ziada anatumia.Ndo maana my president(Lowassa) aliwahi kusema cha muhimu ni Elimu Elimu Elimu.