HALCYON311
Member
- Aug 23, 2014
- 27
- 20
yap yap... haachi ata mmojaHivi akishinda anachukua yote 4?
Akichukua na hii ndo atapiga hela mbaya kabisaaa... Maana kila akaemtaka wapigane yeye Ruiz ndio atakua anakula kubwa kuliko!Huyu mpopo ameshapiga hela hana hasira tena
Fight ya kwanza Joshua alilipwa $25m na Ruiz $7m ...hii ya pili hatari Joshua $60m na Ruiz $9mAkichukua na hii ndo atapiga hela mbaya kabisaaa... Maana kila akaemtaka wapigane yeye Ruiz ndio atakua anakula kubwa kuliko!
Naaaam... RUIZ akishinda hii anakua level zingineeeeFight ya kwanza Joshua alilipwa $25m na Ruiz $7m ...hii ya pili hatari Joshua $60m na Ruiz $9m
Fight ya kwanza Joshua alilipwa $25m na Ruiz $7m ...hii ya pili hatari Joshua $60m na Ruiz $9m
Kwa sababu hii re-match ni muendelezo wa ile match ya kwanza... Means, mikataba yote ilifanywa mechi ya kwanza..!!Kwann sana Ruiz anapata kidogo wakat mikanda anaye yeye
Sio famousKwann sana Ruiz anapata kidogo wakat mikanda anaye yeye
Walikubaliana tangu mwanzoni kwamba kutakuwa na mapambano mawili , yeyote atakaye shinda lazima akubali rematch na kwa kuwa AJ kipindi hicho alikuwa yupo juu ndio maana alipata asilimia nyingi zaidi kuliko mwenzake.Kwann sana Ruiz anapata kidogo wakat mikanda anaye yeye
Kibiashara jina la Aj ni zaidi hata ya Wilder au Fury jamaa mapambano yake anajaza sana sasa huyu chibonge nani alikuwa anamjua?Kwa sababu hii re-match ni muendelezo wa ile match ya kwanza... Means, mikataba yote ilifanywa mechi ya kwanza..!!