Isuzu Bighorn vs Suzuki Grand Escudo?

Ukitaka kulia machozi yasiyokwisha agiza hiyo Isuzu Bighorn.

Ni gari comfortable, fuel consumption nzuri,four-wheel gear ya uhakika unapita popote.

Tatizo kubwa ni injini na mfumo wa umeme, gari hii ilinifanya mimi mwenyewe niwe fundi, mzigo ukiwa mikoa ya barid hata Dar, ikishapoa tuu kuiwasha mtiti yaani mpaka ujufunze kuchoma heater direct (nishaungua sanaaa mikono).

Spea zake ni ghaliii sana,turbo lake bovuuu na haina mwendo hyo ni mdogo mdogo mzee.

Niliinunua mwaka 2011 ikanitesa sanaaa,haiuziki nimeitelekeza mkoani mbeya mpaka leo hii halina mteja.

Narudia tena ni bovu bovu bovu sanaaaa,mimi ni mtunzaji sana wa magari lakini hapo nilikwama.

Ukija kwenye grand vitara,nayo ni nzuri ila tatizo lake kubwa ni kula oil ndio maana wengi wanakaanga injini zake deile,nilipata kuinunua mwaka 2015 ikanifia mwaka huo huo,niliweka oil ya BP kwenye service lakini ngoma ilienda arusha ile kurudi nishakaanga wakati nilipima oil nikaona ipo vizuri,hii nayo vipuri vyake ni ghari sana,nikafanya overhaul ya injin nikaiuza.

Nikaamua kuhamia Toyota ambako sikudumu sana nikahamia magari ya ulaya ndio nimepata pumziko la moyo
niuzie hiyo bighorn
 
Ukitaka kulia machozi yasiyokwisha agiza hiyo Isuzu Bighorn.

Ni gari comfortable, fuel consumption nzuri,four-wheel gear ya uhakika unapita popote.

Tatizo kubwa ni injini na mfumo wa umeme, gari hii ilinifanya mimi mwenyewe niwe fundi, mzigo ukiwa mikoa ya barid hata Dar, ikishapoa tuu kuiwasha mtiti yaani mpaka ujufunze kuchoma heater direct (nishaungua sanaaa mikono).

Spea zake ni ghaliii sana,turbo lake bovuuu na haina mwendo hyo ni mdogo mdogo mzee.

Niliinunua mwaka 2011 ikanitesa sanaaa,haiuziki nimeitelekeza mkoani mbeya mpaka leo hii halina mteja.

Narudia tena ni bovu bovu bovu sanaaaa,mimi ni mtunzaji sana wa magari lakini hapo nilikwama.

Ukija kwenye grand vitara,nayo ni nzuri ila tatizo lake kubwa ni kula oil ndio maana wengi wanakaanga injini zake deile,nilipata kuinunua mwaka 2015 ikanifia mwaka huo huo,niliweka oil ya BP kwenye service lakini ngoma ilienda arusha ile kurudi nishakaanga wakati nilipima oil nikaona ipo vizuri,hii nayo vipuri vyake ni ghari sana,nikafanya overhaul ya injin nikaiuza.

Nikaamua kuhamia Toyota ambako sikudumu sana nikahamia magari ya ulaya ndio nimepata pumziko la moyo
Mkuu hizo Isuzu Bighorn kuchoma kwake heater kupoje? Ni kama vile unavyochoma Hilux Surf zenye 2L-TE? Kwamba unawasha mpaka kwente switch on unaisikilizia alarm(heater imeshachomwa) ilie ndo unapiga ili gari iwake?
 
Siku 1 nitafte nikupeleke pale ilala mtaa wa shauri moyo,kuna mwamba 1 amezikusanya pale za kutosha ukifika pale half engine J20 inauzwa 9 milion na jamaa hapunguzi bei,halafu yeye ndio anaanza kukubembeleza wewe umuuzie chuma yako kama wenzio walivozitelekeza hapo kabla haijaoza.

Nilitamani kulia yaani ndio ilikua gari yangu ya kwanza ghari zaidi nililipa milion 37 japani
Sasa mkuu umeweza kununua gari milioni 37 unashindwaje kuagiza engine ya gari ukauziwa hata $1200? Mjini shule mkuu shamba kilimo hio engine yake bei ndo hio hapo unaongea tu na supplier anakutafutia agent anabook meli au unamwambia tu akupelekee silent ocean dubai unasubiria chuma chako

Screenshot_20211230-212532_Samsung Internet.jpg


Screenshot_20211230-212932_Samsung Internet.jpg
 
Back
Top Bottom