Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Isuzu Big Horn

Gari iko vizuri hiyo, hakikisha unanunua inayotumia diesel, ulaji wa mafuta uko vizuri 13km/L. Mafundi wapo wa kutosha kutokana na tatizo. Iko sensitive sana na Engine Oil, lazma uweke inayofaa. Haitaki mafundi uchwar. Inakimbia sana kama una roho nyepesi unamaliza zote 180km/h.

Mimi ninayo ya mwaka 2000, 4JX1 Turbo Engine, Manual Transmission tangu 2013.
View attachment 399074 View attachment 399075 View attachment 399077
Kumbe hizi gari matata sana eeh?!
 
Hii gari imetulia sana,tatizo wabongo tunafata mkumbo bila kupima wenyewe ubora wa gari kila mtu utamsikia anazungumzia Toyota.
kwa kifupi kama unataka kunuinunua hii gari nakushauri nunua tena kwa roho safiiiii hutajuta kamwe.ukiweza tafuta inayotumia diesel ya kuanzia mwaka 2002 na kuendelea.yenye engine aina ya 4jx1,hapo ni mkataba kabisa.
Angalizo ni kwamba hii engine inatumia oil number 5W30 ni nyepesi kama maji na usije ukaweka oil tofauti na hiyo kamwe! ukiweka oil tofauti ndio umeua engine.
Nimepata faida sana. Maana nilikuwa natafuta gari used kwa ajili ya offroad na jamaa yangu anataka kuniuzia hii gari nikawa na kauoga asije akaniuzia ugonjwa wa moyo. Asanteni sana sasa naenda kumlipa bila shaka.
 
Nimepata faida sana. Maana nilikuwa natafuta gari used kwa ajili ya offroad na jamaa yangu anataka kuniuzia hii gari nikawa na kauoga asije akaniuzia ugonjwa wa moyo. Asanteni sana sasa naenda kumlipa bila shaka.
Hiyo 5w-30 haiaribu gari bali gari yenyewe tu kimeo
 
Thread inanichosha Sana hii,maana mtu mmoja ana ID kibao.Huku anasema nimenunua bighorn,kwa ID yake nyingine anakuja kuuliza vp chombo kinaendeleaje?anakuja tena kwa ID nyingine anaelezea ubora wake bighorn.

Inachosha sana
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom