- Jaribu kutumia touch keyboard kwenye computer kama italeta hiyo shida kama ya keyboard ya kawaida.Wataalam naomba msaada wenu, ninayo Isus mini laptop inazingua sana kwenye keyboard, Mfano unaweza kubofya kifungo cha herufi U ikakurudisha kwenye start menu, unaweza kubofya kifungo cha herufi x kikafungua browser. Hii shida inasababishwa na nini?