Mtimti
JF-Expert Member
- Feb 23, 2008
- 942
- 644
Water pump ingekua imekufa angeshajua bila kumuita fundi, kwanza maji yote ya ktk rejeta yangeisha ndani ya dk moja mara tu baada ya kuiwasha gari na pia sign ya engine kuwa overheated ingetokea kwenye dashboard.Duuuu hii ya leo Kali jamani!
Kwa hiyo ina maana hiyo coolant inasukumwa kutoka Kwenye radiator Hadi Kwenye engine Kwa kutumia nini?
Au coolant unapita Kwenye mfumo tofauti na maji?...
Sent using Jamii Forums mobile app