Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,324
- 18,478
Machief hawana nguvu kwa kizazi cha sasaNinachokiona ni kwamba CCM watawatumia machifu kuhakikisha wanaingizanseranzao kupitia machifu wakati wa uchaguzi ili waendelee kutawala.
Imagine kama Rais ndio wamemfanya mkuu wa wao maana yake wako tayari kupokea maelekezo kutoka kwake hii imekaa kimtego sana.