jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,987
- 22,515
Tizama www,tzuk.comTZUK.com - Connecting Tanzanians In The UK - HOME kuna picha ya Sumaye yeye amekwenda kutibiwa uingereza kwa pesa za walipa kodi,lakini amepiga picha yuko kwenye mahubiri ya dini,chanzo cha habari soma Tanzania Daima kwenye maoni ya Richmond kwenda bungeni www,freemedia.co.tz,jee Sumaye na Michuzi nani wa kusemwa?
Jibu ni BOTH of em.
Kwa kuongezea tu ni kwamba,malengo mazima ya ziara hii ya Michuzi kwa mujibu wake yeye mwenyewe,anataka tuelewe kuwa ni vekesheni,hapo na sisi ndo tukauliza,si big deal hapa kwani hatuna maslahi.
Nimesema ni BOTH kwasababu kinachopigiwa kelele si ndo hicho hicho "Ufujaji wa pesa za walipa kodi?"
Kama Sumaye akifanya hivyo,basi na Michuzi ni halali,what kind of generation tunajenga? Ni lazima sisi kama jamii tubadiike kwanza inapokuja kwenye issue ambazo tunataka ziwe mifano yenye kuijenga jamii,sasa mwingine akifanya kazi serikalini si ndio atajuwa kuwa kazi serikalini ni kama vekeshini tu? Hushangazwi kwanini jamii yetu iko corrupt? Utajustify sasa hivi lakini consequences zake ni long term.