Issa Michuzi na vekesheni

Status
Not open for further replies.
wewe ni low sana......ulikuwa una m monitor michuzi kwa siku zoote tangu asubuhi mpaka jioni alipokuwa majuu? unajua anafanya kazi zilizompeleka kule muda gani? na muda gani anakutana na jhamaa zake anaowafahamu kupiga nao picha..

....yaani hizo picha ndio zimekufanya uone kuwa michuzi muda woote tangu atue majuu alikuwa anavinjari? unasoma magazeti ya tz wewe? angalia news alikuwa analeta nani kama si michuzi.....

Kama habari alikuwa analeta Michuzi,kuna haja gani ya kuwa na idara ya mawasiliano ya ikulu....Useless!!!!Tujadili issue jama.
 
No,no, noooooo suala sio vekesheni .....misafara hii analipa nani???hii ndo issue.Fisadi sio lazima awe Mwenyekiti wa CCM au waziri,tukumbuke ufisadi mdogo ndo ulotuletea huu mkubwa shauri ya kuteteana kinafiki na kiurafiki.Msumeno unakata huku na huko sio lazima kwa akina RA tu hata Michuzi yumo.Tukiangalia wa juu tuu so how about wadogo waliojazana kila sehemu kwa ufisadi???plzzz rekebisha kauli ufisadi sio kwa wakubwa tu na wado pia including vidagaa kama Michuzi.

- Ushabadili ID tayari haya, sasa wewe tuambie kazi za Michuzi za kila siku, muajiri wake na income yake kama unaijua?

- Msafara wa Rais unalipiwa na nani? Sasa kama upo JF na kweli hujui hilo ndio maana ni vigumu sana kuelewana hapa JF,

- Kwa kifupi mkuu Michuzi alifuatana na rais, akilipiwa na magazeti yake ambako ndio ameajiriwa, lakini baada ya rais kuondoka jana amebaki akiendelea na vekesheni yake meaning wkamba anajilipia mwenyewe kwa sababu uwezo anao tena mkubwa sana maana ile blog yake ni chombo kikubwa sana na maarufu sana duniani,

- Na besides, nani anamlipia vekesheni ni no body's business! Kwani sheria ya jamhuri inasemaje kuhusu Michuzi kwenda vekesheni?

Respect.

FMES!
 
Ngoma Nzito Mkuu wetu wa Wilaya . . . Mh. Nanihiiii

Currently Active Users Viewing This Thread: 571 (48 members and 523 guests)
Kwani hii topic ina nini mpaka inaangaliwa hivi? What's so special?

I have to read from the 1st post?
 
Kama habari alikuwa analeta Michuzi,kuna haja gani ya kuwa na idara ya mawasiliano ya ikulu....Useless!!!!Tujadili issue jama.

- Hii ni ishu ya magazeti yanayomuajiri Michuzi, ambayo hayana uhusiano wowote na Ikulu, wao wanajua wanauza magazeti mangapi kwa kuweka picha za rais akiwa nje, au safarini popote pale!

Respect.

FMES!
 
-

- Kwa kifupi mkuu Michuzi alifuatana na rais, akilipiwa na magazeti yake ambako ndio ameajiriwa, lakini baada ya rais kuondoka jana amebaki akiendelea na vekesheni yake meaning wkamba anajilipia mwenyewe kwa sababu uwezo anao tena mkubwa sana maana ile blog yake ni chombo kikubwa sana na maarufu sana duniani,

- Na besides, nani anamlipia vekesheni ni no body's business! Kwani sheria ya jamhuri inasemaje kuhusu Michuzi kwenda vekesheni?

Respect.

FMES!

Mkuu FMES,

You have nailed,hizi ndizo standard za JF ..Alichoniboa michuzi ni kuandika mambo ya hapa kule kwake..
 
- Hii ni ishu ya magazeti yanayomuajiri Michuzi, ambayo hayana uhusiano wowote na Ikulu, wao wanajua wanauza magazeti mangapi kwa kuweka picha za rais akiwa nje, au safarini popote pale!

Respect.

FMES!

magazeti ya Daily News yanayomlipa Michuzi si yapo chini ya Govt. so hio pesa bado inabaki ni ya walipa kodi.Hivi mfanyakazi wa kawaida bongo likizo yake ina siku ngapi???iweje yeye abaki huko??au ndo anaendelea kucover news za kupeleka D/News wauze magazeti????Ufisadi ni ufisadi tuu...na hivi hii nchi yetu haitaendelea.....mmekalia kuwafakamia akina RA tuu wengine mnawafanyia urafiki wa kinafiki.:rolleyes:
 
Kwenye issue hii nafikiri Bro Mithupu atajifunza sana,labda ni hivi vi inglish vyake vya "Barabara ya bagamoyo road" nk,huwezi kusema uko Vacation kwenye tripu ya Rais ya kiserikali,utaletewa noma,tena nchi masikini kama yetu,ndo mambo ya mtandao hayo,faida na hasara za globalization ndo hizi...Na pengine matumizi mabovu ya lugha za watu yamekiponza "Kitumbua"
Kuna wanaodai kuwa yuko vacation kwasababu JK kesharudi na yeye kabaki,wamesahahu alishasema yuko "Vekesheni" Toka siku walipokuja na Mh Rais.
Kaazi kweli kweli...
 
magazeti ya Daily News yanayomlipa Michuzi si yapo chini ya Govt. so hio pesa bado inabaki ni ya walipa kodi.Hivi mfanyakazi wa kawaida bongo likizo yake ina siku ngapi???iweje yeye abaki huko??au ndo anaendelea kucover news za kupeleka D/News wauze magazeti????Ufisadi ni ufisadi tuu...na hivi hii nchi yetu haitaendelea.....mmekalia kuwafakamia akina RA tuu wengine mnawafanyia urafiki wa kinafiki.:rolleyes:

Daily news inajiendesha kibiashara, therefore hauwezi kuwaamulia content gani wao wanauza zaidi, au wanahitaji zaidi , ili kujiendesha kwa faida, Inawezekana Picha wanazozipiga zinawategenezea faida kubwa kwa wao kuziuza katika national archive. Ukiangalia hata picha za nyerere au picha nyingi sana za historia ya Tanzania zilipigwa na Dailynews na zipo kwenye archive ya Daily News na unaweza ukamwona bwana Michuzi bado bwana mdogo sana wakati anachukua picha za kina nyerere huku na kule.

Swala la bwana michuzi kuendelea kuwa huko ni swala la mkataba wa yeye na mwajiri wake, Kama mwajiri wake amemkubalia akae huku kwa gaharama zake mwenyewe baada ya Kazi zake sidhani kama kuna tatizo as long as atareport baki siku anayotakiwa kurudi kazini.

Tuacheni majungu, this is extrem naona sasa tunaanza kuingilia hadi privacy za watu.
 
Duh... Watanzania kwa kujadili issues ambazo si issues! Haya mi ngoja nitafute thread nyingine ya kuelimisha maan hapa ni mitusi na mawazo hasi tu...
 
Job true true leo!

Currently Active Users Viewing This Thread: 560 (48 members and 512 guests)
afkombo, baraza, Belo, Bint, chimo, ChingaMzalendo, CottonEyeJoe, Dawson, Economist, farasi, Field Marshall ES, Frateline, gaijin, Hage, housta, Icadon, Kakamie, Kesban, Kiazi kikuu, Kimambo, lee, LeoKweli, Makaayamawe, mande, Mauza uza, mchonga, mchunje, mihengeli, Miruko, Mkora, Mpiganaji, mtuwawatunaviat, Mzee wa Changam, Mzizi, NG'WANENE, Ngorunde, ngoshombasa, Nguli, noela, omi, Opaque, Sauti ya Simba, sekassim, Soothsayer, Wandugu Masanja, Zed
 
magazeti ya Daily News yanayomlipa Michuzi si yapo chini ya Govt. so hio pesa bado inabaki ni ya walipa kodi.Hivi mfanyakazi wa kawaida bongo likizo yake ina siku ngapi???iweje yeye abaki huko??au ndo anaendelea kucover news za kupeleka D/News wauze magazeti????Ufisadi ni ufisadi tuu...na hivi hii nchi yetu haitaendelea.....mmekalia kuwafakamia akina RA tuu wengine mnawafanyia urafiki wa kinafiki.:rolleyes:

- Hapana hasira zako unazielekeza to wrong place mkuu, Michuzi anaajiriwa na Dailynews, halafu at the sametime anamiliki blog maarufu duniani ya Michuzi, Michuzi sio bosi wa kuamua safari zake, aanaamuliwa na wakuu wake wa kazi,

- Mzazi wangu amewahi kuwa balozi wetu nje, ni kwamba maofisa wa ubalozi mara kwa mara wanapokwenda kwenye mikutano ya bongo, huwa wanaomba likizo ofisini kwamba wakiwa huko kwenye mkutano, ukiisha basi huuunganisha na kubaki bongo mpaka likizo zao zikiisha, kwa hiyo wanarudi wka tiketi ile ile waliyoendea kwenye mikutano ya serikali ni tabia ya kawaida sana kwenye serikali na mashirika ya umma, wala sio ufisadi,

- so far unalia sana lakini unashindwa kuonyesha ufisadi wa Michuzi kwa kubaki majuu baada ya safari ya rais kuisha, sasa for once hebu tuwekee ufisadi wa Michuzi na kubaki kwake sasa hivi majuu baada ya rais kuondoka!

- La kujuana na Michuzi naona linakukera sana vipi mkuu kwani kuna nini hasa mbona una chuki sana na hasira kwa sababu ya vekesheni tu ya mwenzio? au kuna mengine zaidi mkuu?

FMEs!
 
Kama kweli anatumia kifaa cha kazi cha mwajiri (camera) kwa manufaa ya blog yake/kwa kupiga picha na kuweka kwenye blog yake basi litakuwa ni kosa, unless alikubaliana hilo na mwajiri wake.

Na pia kama anatoa same photos and video clips kwenye blog yake na kwa mwajiri wake pia ni kosa unless kuna makubaliano maalum na mwajiri wake.

Kama anatoa breaking news kwenye blog yake, kabla hizo news hazijatolewa na gazeti au website ya gazeti aliloajiriwa, basi ni kosa pia unless kuna makubaliano maalum na mwajiri wake au yeye ndio anampa favour mwajiri kwa kumpa habari ambazo tayari zipo Michuzi blog.

Kwa Michuzi kuzichukulia safari za kikazi kama vaccation ni kosa, anatakiwa ajue kwamba everyword counts. Kama analipiwa safari na Daily news, basi anatakiwa ajue kuwa ni pesa za walipa kodi, na anatakiwa awape heshima hao walipa kodi kwa kuonyesha kwamba hachukulii kazi yake kimzahamzaha. Vinginevyo, alivyosema mchangiaji mmoja hapa kwamba alichofanya Michuzi ni freudian slip, basi Michuzi inaelekea huwa hafanyi kazi zake ipasavyo.

Hata hivyo Michuzi kafanya bonge la courtesy call kwa JF kwa kuhamishia umma humu JF. As known, once you step in JF, it is hard to step out.

Kama haya yote sio kweli, ingekuwa vizuri kwa bwana Michuzi, ajitokeze na kuelezea huu utata.
 
Daily news inajiendesha kibiashara, therefore hauwezi kuwaamulia content gani wao wanauza zaidi, au wanahitaji zaidi , ili kujiendesha kwa faida, Inawezekana Picha wanazozipiga zinawategenezea faida kubwa kwa wao kuziuza katika national archive. Ukiangalia hata picha za nyerere au picha nyingi sana za historia ya Tanzania zilipigwa na Dailynews na zipo kwenye archive ya Daily News na unaweza ukamwona bwana Michuzi bado bwana mdogo sana wakati anachukua picha za kina nyerere huku na kule.

Swala la bwana michuzi kuendelea kuwa huko ni swala la mkataba wa yeye na mwajiri wake, Kama mwajiri wake amemkubalia akae huku kwa gaharama zake mwenyewe baada ya Kazi zake sidhani kama kuna tatizo as long as atareport baki siku anayotakiwa kurudi kazini.

Tuacheni majungu, this is extrem naona sasa tunaanza kuingilia hadi privacy za watu.
I beg ur pardon!!!kwa sababu linajiendesha kibiashara basi tufunge macho na masikio kwa kila ufisadi unaofanyika huko???video/picha za Daily News ziwe shared na Michuzi blog sio......Mbona Mjengwa anakula trip lakini hatupigi kelele????tun a safari ndefu sana kuelekea kuikomboa hii nchi kwani ujomba,urafiki,ukabila na uozo tunautetea.MIND U.......
U can fool some people sometimes BUT u can't fool all the people all the time.
we're coming..........
 
Kwani hii topic ina nini mpaka inaangaliwa hivi? What's so special?

I have to read from the 1st post?

What so special is, Michuzi directed his blog visitors to come and defend him here. Unfortunately, most users remain as guest, I wonder why they do not register in JF.

Today's trafick records is the highest since the November 2008.
 
Kwa Michuzi kuzichukulia safari za kikazi kama vaccation ni kosa, anatakiwa ajue kwamba everyword counts. Kama analipiwa safari na Daily news, basi anatakiwa ajue kuwa ni pesa za walipa kodi, na anatakiwa awape heshima hao walipa kodi kwa kuonyesha kwamba hachukulii kazi yake kimzahamzaha. Vinginevyo, alivyosema mchangiaji mmoja hapa kwamba alichofanya Michuzi ni freudian slip, basi Michuzi inaelekea huwa hafanyi kazi zake ipasavyo.
naomba kujua mahusiano ya kodi ya wanananchi na mr michuzi kupiga picha akiwa mapumzikoni baada ya kazi.....

Kwani hii topic ina nini mpaka inaangaliwa hivi? What's so special?

I have to read from the 1st post?

Mr Michuzi ni maarufu huwezi kumlinganisha na watu kama Uwiano au Dilunga
 
What so special is, Michuzi directed his blog visitors to come and defend him here. Unfortunately, most users remain as guest, I wonder why they do not register in JF.

Today's trafick records is the highest since the November 2008.

The speacility ni kwamba,Michuzi anatufisadi na watu bado wanacheka na kufurahi eti ni....mwenzetu!WHY!HOW!safari hii kumkoma nyani thats it..no more no less.
kibaya zaidi kaenda kutundika huko kwake etii oooh anaonewa na kwa jeuri anadai ataenda sijui Australia/japan etc.
Hio haitusumbui hata ungeenda ahera ...but uende kivyako as a blogger not kwa kivuli cha Daily News na kula pesa yetu ya kodi kihivyo....nna hasira miye wee acha tu.
 
naomba kujua mahusiano ya kodi ya wanananchi na mr michuzi kupiga picha akiwa mapumzikoni baada ya kazi.....
Michuzi ameenda mapumzikoni wakati wa ziara ya kikazi ya Mh Rais? Mkuu nadhani Bro Mithupu atatujulisha kama akiona umuhimu huo,lakini ziara za Rais ni pesa za walipa kodi,unless alitumia pesa yake mwenyewe kwenye ziara hiyo ya kikazi ya mkuu wa nchi....Wenye kuelewa zaidi hii issue watupe habari....Pengine "Vekesheni" Yake ilianza kabla ama baada ya ziara ya Rais,hilo linahitaji kaufafanuzi flani kutoka kwa wale wenye more insight...
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom