Israeli students shot dead in Toulese, France. { Shooting Suspect is dead }

Mohammed Merah
Mohammed_Merah_954460i.jpg
 
just in the news have it that an armed man has killed at least 3 people (israels) while injuring several onlookers in france.

sipendi kusikia mtu kauawa na mwanadamu mwenzake, inasikitisha sana. But kwa hapa sioni tatizo maana israel ndio taifa pekee duniani lenye haki ya kuua watu hovyo, tena watoto, wazee na akina mama mpaka vilema dhidi ya wapelestina, achilia mbali mauaji waliyofanya hivi karibuni iran bila ya kuchukulikiwa hatua. Katika hali hiyo tutegemee nini.
 

Toulouse: 'Suspected Gunman Is Dead'

A suspected gunman holed up in a flat in the French city of Toulouse is reportedly dead after police stormed the property to end a 30-hour siege.
Bursts of gunfire were heard at the scene of the stand-off between officers and Mohammed Merah, who allegedly killed seven people in three separate incidents over the past fortnight.

Three officers were hurt, including one seriously, in the assault, a police source told the AFP news agency.
Merah reportedly wanted to "die with weapons in his hands" and the building where he was besieged was surrounded by hundreds of police.
Police sources said officers were moving "step-by-step" through the ground floor property amid concerns it could be booby-trapped.
Three loud explosions were heard earlier outside the flat. They were caused by grenades used by officers to try to pressure him into giving himself up, sources said.
Video footage has emerged of Merah, 24, who was besieged in an apartment in Toulouse for a second day .
It had not been clear if he was still alive after officers had no contact with him during the night, said interior minister Claude Gueant.

Two stretchers were brought to the scene in the southwestern city and Sky News' reporter Mark Stone, who is there, said there was a flurry of movement by emergency services this morning.

A new police unit had been deployed, providing reinforcements for those already there, and an ambulance was now at the site.

Earlier, criminologist Sebastian Roche told Sky News that police involved in the stand-off "have audio capabilities but they don't have any visuals so they can't see what's happening inside" the flat.

More information
Toulouse Siege: 'Suspected Gunman Is Dead' -
 
TOULOUSE, France (AP) — A police official says that the suspect in a three-attack killing spree who claims links to al-Qaida is dead.
The official, Didier Martinez of the Unite SGP police union, says the news was announced Thursday on the police radio shortly after a 5-minute volley of gunfire. It was not immediately known exactly how Mohamed Merah, 24, died
 
Code:
the news was announced Thursday on the police radio shortly after a 5-minute volley of gunfire
This saga occured on Last thursday Last week, and is brought here as a breaking News!...my hairs!
 
Code:
the news was announced Thursday on the police radio shortly after a 5-minute volley of gunfire
This saga occured on Last thursday Last week, and is brought here as a breaking News!...my hairs!

Kaandika "Braking News" labda alikuwa na maana nyingine!
 
_59207621_blockofflats.jpg


Armed police in the French city of Toulouse have sealed off a block of flats where a man suspected of killing seven people is hiding.


_59214178_balaclava2.jpg


Members of the French special intervention force are being used in the operation.


_59207769_balaclava.jpg


Two officers were wounded in the first attempts to arrest the 24-year-old suspect who they have named as Mohammed Merah, a Frenchman of Algerian origin.


_59206640_officers.jpg




_59212905_evacbus3.jpg


Residents living near the apartment where the suspect is surrounded are being evacuated from the area
 
_59209402_bodiesatfuneral.jpg


The funerals for the four people killed in Monday's shooting at the Jewish school were held in Jerusalem amid emotional scenes.


_59209809_miriammonther.jpg


The mother of one of those killed, seven-year-old Miriam Monsonego (bottom right), was unable to stand unaided.


_59214177_montauban.jpg


The funeral service for the two soldiers killed by the gunman last week was also held on Wednesday, at Montauban cathedral near Toulouse. The pregnant girlfriend of Abel Chennouf, Caroline, was among the mourners.


_59214268_chennouf.jpg


Before attending the funeral service, the French president Nicolas Sarkozy said: "Terrorism will not be able to fracture our national community."
 
Mkuu tatizo watu wanaongea kilokole bila hata kujua wanaongea nini. Kwanza i doubt kama waliouawa ni waisraeli, habari za kuaminika zinasema waliouawa ni jews, tena wameuawa ufaransa na mtu ambaye pia anatarget blacks. By the way jews hawajioni kuwa ni first class people, they are racist yes but not arrogant kama baadhi ya watu wanavyodhani. Wanaonedekeza upuuzi wa taifa la mungu ni walokole, just ignore them. Kama wangekuwa taofa la Mungu they would be better than anyone na mungu asingewasubject to all troubles they go thorugh.


wanapata mateso kama hayo kwa
sababu waliapa kuwa His blood shall be uopn us and uopn our children. Hicho kiapo bado kinawatembelea mpaka leo. La sivyo hakuna mtu amuwezaye Mu Israel hapa duniani. kama unabisha yaulize mataifa ya kiarabu mwaka 1967 kilichowakuta ktk six days war!
 
Huyo kijana ni anti-semite. Anti -semitism ni utamaduni wa chuki dhidi ya waisrael. hapa tanzania enzi za nyerera tulikuwa anti-semitsm state, kwa sababu tuliweka palestinian day ili kila mwaka kuadhimisha matusi mabaya dhidi ya Israel.alikuwa nakuja kiongozi wa palestina hapa nchini na kuwalikwa uwanja wa taifa, halafu kunakuwaga na wasoam risala kama arobaini na kila mmoja hutukana kwa jazba taifa la siael! bora ujamaa umekufa jamani!

kwa hiyo mataifa ya kiarabu yalikuwa na bado yanatumia kuuwauwa wayahudi huku mataifa mengine yakitumia matusi makali magazetini dhidi ya wayahudi. Tanzania ni moja wapo. hivyo usishangae kuona muarabu anatumia kuuwa wewe ngoja wiki kama mbili hivi utaona magzetini mna matusi makali sana kutoka kwa wasomi chuo kikuu wakiilenga Israel.
 
wanapata mateso kama hayo kwa[/COLOR] sababu waliapa kuwa His blood shall be uopn us and uopn our children. Hicho kiapo bado kinawatembelea mpaka leo. La sivyo hakuna mtu amuwezaye Mu Israel hapa duniani. kama unabisha yaulize mataifa ya kiarabu mwaka 1967 kilichowakuta ktk six days war!
Who is us? I am not part of this misguided theology, so keep me out of this, please. You can only be a spokesperson for yourself and your family!
 
Huyo kijana ni anti-semite. Anti -semitism ni utamaduni wa chuki dhidi ya waisrael. hapa tanzania enzi za nyerera tulikuwa anti-semitsm state, kwa sababu tuliweka palestinian day ili kila mwaka kuadhimisha matusi mabaya dhidi ya Israel.alikuwa nakuja kiongozi wa palestina hapa nchini na kuwalikwa uwanja wa taifa, halafu kunakuwaga na wasoam risala kama arobaini na kila mmoja hutukana kwa jazba taifa la siael! bora ujamaa umekufa jamani!

kwa hiyo mataifa ya kiarabu yalikuwa na bado yanatumia kuuwauwa wayahudi huku mataifa mengine yakitumia matusi makali magazetini dhidi ya wayahudi. Tanzania ni moja wapo. hivyo usishangae kuona muarabu anatumia kuuwa wewe ngoja wiki kama mbili hivi utaona magzetini mna matusi makali sana kutoka kwa wasomi chuo kikuu wakiilenga Israel.
Wewe hii historia ya uongo umeitoa wapi?
 
Uchaguzi umekaribia.

French, Mauritanian operatives set Senussi up...walked into a trap set by French intelligence.

A Terrorist!!! Gaddafi's black box in French-Mauritanian trap | News by Country | Reuters

Sarkozy ana hali mbaya kisiasa na bado anataka kubakia kuwa Rais..Afanyeje?

EXCLUSIVE - Gaddafi's Spy Chief Uncensored declarations - « We Have Funded Sarkozy Campaign » - YouTube
kweli sarkozy public imenkataa-akishinda urais naamani hata yeye atashangaa
 
The teacher is also reported to have said Merah's links to al-Qaeda were invented by the media and French President Nicolas Sarkozy.

A teacher has been suspended in France for allegedly asking pupils to hold a one-minute silence for gunman Mohamed Merah, who (was) killed...in a police assault on his flat in Toulouse on Thursday after a 32-hour siege.

zaidi hapa BBC News - France shootings: Teacher 'in gunman tribute suspended'
 
Back
Top Bottom