Israeli military attacked more than 250 targets in Syria: Report

Earthmover

JF-Expert Member
Sep 28, 2012
24,913
23,740
An Israeli security source tells local media that the country’s military has carried out “one of the largest attack operations in the history of its air force” in Syria following al-Assad’s removal.

The unnamed source told the state-funded Israeli Army Radio that “more than 250 military targets were attacked in Syria”.

The source added that targets included “bases of the Assad army, dozens of fighter jets, dozens of surface-to-air missile systems, production sites and warehouses […] and surface-to-surface missiles


Al Jazeera
 
Hii tuiiteje wataalam wa Mambo ya Kivita mliobobea uchambuzi wa huko MIDOEAST.......
 
Ndio tuwaulize nyumbu watuambie mana walikuwa wanapigia upatu kudondoshwa ASSAD mm mwanzo niliwaambia awajamaa wapya mbona wana Bendera ya PALESTINE kuna nyumbu m'moja akanijibu ile sio Bendera ya Palestine !!! Lkn nikajisemea Yajayo Yanapendeza na kuwachukiza !!! Juzi tu Hezbolah kauwa IDF wengi inadaiwa 11 lkn Israel katangaza IDF 4 ndio wamekufa!! Kwasasa ISRAEL kashajua yupo hoi kivita anachofanya ni kuzuiya kabisa vita na yoyote kati ya HIZBOLLAH na SYRIA mpya jamaaa wasianzishe vita nayeye ndani ya lile Jesh la Waasi kuna Wachechinia wengi Jesh na Israel upande wa Anga wapo oky awajaasilika sana japo tukumbuke Iran ktk Promis 2 iliwalenga awa jamaa w Anga lkn Wapo oky na ndio uzima au Uhai w Israel kwasasa. Lkn ardhin jesh lao lipo hoi na limepoteza nguvu na utash wa vijana kupigana Israel kwasasa tutaona akifanya mashambulizi mengi kuzuiya wale Jamaa w Syria mpya wasijipange kuanza vita nawao ni Hatari kubwa kwa Israel,, Hatari....... nyengine ipo ivi kunasiku nilileta andiko kuusu mgogoro w Palestin unachagizwa pia na Umadhehebu yani Ushia vs Usuni Iran ni mshia anataka kuwasaidia Wapalestin lkn pia anataka kudhibiti maeneo matakatifu, kwaiyo wa Suni wanawasiwasi na ajenda ya Iran ndio mana Wasuni kama vile upande mmoja wanawaonea uruma wa Palestin lkn upande mwengine awataki Iran ashinde mgogoro na Israel!!!! Narudia tn Hatari sasa Wasuni wamepata uwanja wao huru wa kuwasaidia Wapalentin wakiwa free mana SYRIA aina mikataba yoyote na ISRAEL tofaut na MISRI na JORDAN hii inamana Wamisri w Jordan vijana kwasasa wanaweza kupitia Syria kwenya kupigana na Israel ivyoivyo kwamataifa ya Kisun vijana wao wataenda Sryia naiyona SYRIA ikiwa uwanja wa vita usio namwenyewe leo Wa Syria wanatoka ukimbizini seem mbalimbali lkn sio muda mrefu watatafuta tena ukimbizi seem mbalimbali na Hezbolah watajikita tu kuikomboa ardhi ya Lebanon kutoka Israel lkn awatoenda zaid ikiwa Wasuni wataonekana kufanikiwa kuidhiti Israel. Apo ndio tutakumbuka ileee ndoa ya Zamani kati ya IRAN na ISRAEL israel inafaam Iran na Washia ni wachache mbele ya Wasuni ndio miaka ya nyuma ikataka Washilikiane kimkakati kuwathibiti Wasuni walienda vizuri uko nyuma lkn ndoa ilikufa baada ya Mapinduzi ya IRAN Iran mpya ikaanza kushilikiana na Wakombozi wa Palestine adi leo. Japo kwasasa kukuwa mpasuko Waumadheebu tunauwona kunaweza kupunguza alakati za Iran kuelekea Israel. Zaid itajikita YEMEN na IRAQ.
 
Ndio tuwaulize nyumbu watuambie mana walikuwa wanapigia upatu kudondoshwa ASSAD mm mwanzo niliwaambia awajamaa wapya mbona wana Bendera ya PALESTINE kuna nyumbu m'moja akanijibu ile sio Bendera ya Palestine !!! Lkn nikajisemea Yajayo Yanapendeza na kuwachukiza !!! Juzi tu Hezbolah kauwa IDF wengi inadaiwa 11 lkn Israel katangaza IDF 4 ndio wamekufa!! Kwasasa ISRAEL kashajua yupo hoi kivita anachofanya ni kuzuiya kabisa vita na yoyote kati ya HIZBOLLAH na SYRIA mpya jamaaa wasianzishe vita nayeye ndani ya lile Jesh la Waasi kuna Wachechinia wengi Jesh na Israel upande wa Anga wapo oky awajaasilika sana japo tukumbuke Iran ktk Promis 2 iliwalenga awa jamaa w Anga lkn Wapo oky na ndio uzima au Uhai w Israel kwasasa. Lkn ardhin jesh lao lipo hoi na limepoteza nguvu na utash wa vijana kupigana Israel kwasasa tutaona akifanya mashambulizi mengi kuzuiya wale Jamaa w Syria mpya wasijipange kuanza vita nawao ni Hatari kubwa kwa Israel,, Hatari....... nyengine ipo ivi kunasiku nilileta andiko kuusu mgogoro w Palestin unachagizwa pia na Umadhehebu yani Ushia vs Usuni Iran ni mshia anataka kuwasaidia Wapalestin lkn pia anataka kudhibiti maeneo matakatifu, kwaiyo wa Suni wanawasiwasi na ajenda ya Iran ndio mana Wasuni kama vile upande mmoja wanawaonea uruma wa Palestin lkn upande mwengine awataki Iran ashinde mgogoro na Israel!!!! Narudia tn Hatari sasa Wasuni wamepata uwanja wao huru wa kuwasaidia Wapalentin wakiwa free mana SYRIA aina mikataba yoyote na ISRAEL tofaut na MISRI na JORDAN hii inamana Wamisri w Jordan vijana kwasasa wanaweza kupitia Syria kwenya kupigana na Israel ivyoivyo kwamataifa ya Kisun vijana wao wataenda Sryia naiyona SYRIA ikiwa uwanja wa vita usio namwenyewe leo Wa Syria wanatoka ukimbizini seem mbalimbali lkn sio muda mrefu watatafuta tena ukimbizi seem mbalimbali na Hezbolah watajikita tu kuikomboa ardhi ya Lebanon kutoka Israel lkn awatoenda zaid ikiwa Wasuni wataonekana kufanikiwa kuidhiti Israel. Apo ndio tutakumbuka ileee ndoa ya Zamani kati ya IRAN na ISRAEL israel inafaam Iran na Washia ni wachache mbele ya Wasuni ndio miaka ya nyuma ikataka Washilikiane kimkakati kuwathibiti Wasuni walienda vizuri uko nyuma lkn ndoa ilikufa baada ya Mapinduzi ya IRAN Iran mpya ikaanza kushilikiana na Wakombozi wa Palestine adi leo. Japo kwasasa kukuwa mpasuko Waumadheebu tunauwona kunaweza kupunguza alakati za Iran kuelekea Israel. Zaid itajikita YEMEN na IRAQ.
Hongera kwa uchambuzi mkuu. Inaelekea una uelewa wa kutosha kuhusu mashariki ya kati, ila nimepata tabu kwa uandishi wako, hauna H wala R, sielewi aina,au haina, kushiliki au kushiriki, uruma au huruma. Vinginevyo uko vizuri
 
Ndio tuwaulize nyumbu watuambie mana walikuwa wanapigia upatu kudondoshwa ASSAD mm mwanzo niliwaambia awajamaa wapya mbona wana Bendera ya PALESTINE kuna nyumbu m'moja akanijibu ile sio Bendera ya Palestine !!! Lkn nikajisemea Yajayo Yanapendeza na kuwachukiza !!! Juzi tu Hezbolah kauwa IDF wengi inadaiwa 11 lkn Israel katangaza IDF 4 ndio wamekufa!! Kwasasa ISRAEL kashajua yupo hoi kivita anachofanya ni kuzuiya kabisa vita na yoyote kati ya HIZBOLLAH na SYRIA mpya jamaaa wasianzishe vita nayeye ndani ya lile Jesh la Waasi kuna Wachechinia wengi Jesh na Israel upande wa Anga wapo oky awajaasilika sana japo tukumbuke Iran ktk Promis 2 iliwalenga awa jamaa w Anga lkn Wapo oky na ndio uzima au Uhai w Israel kwasasa. Lkn ardhin jesh lao lipo hoi na limepoteza nguvu na utash wa vijana kupigana Israel kwasasa tutaona akifanya mashambulizi mengi kuzuiya wale Jamaa w Syria mpya wasijipange kuanza vita nawao ni Hatari kubwa kwa Israel,, Hatari....... nyengine ipo ivi kunasiku nilileta andiko kuusu mgogoro w Palestin unachagizwa pia na Umadhehebu yani Ushia vs Usuni Iran ni mshia anataka kuwasaidia Wapalestin lkn pia anataka kudhibiti maeneo matakatifu, kwaiyo wa Suni wanawasiwasi na ajenda ya Iran ndio mana Wasuni kama vile upande mmoja wanawaonea uruma wa Palestin lkn upande mwengine awataki Iran ashinde mgogoro na Israel!!!! Narudia tn Hatari sasa Wasuni wamepata uwanja wao huru wa kuwasaidia Wapalentin wakiwa free mana SYRIA aina mikataba yoyote na ISRAEL tofaut na MISRI na JORDAN hii inamana Wamisri w Jordan vijana kwasasa wanaweza kupitia Syria kwenya kupigana na Israel ivyoivyo kwamataifa ya Kisun vijana wao wataenda Sryia naiyona SYRIA ikiwa uwanja wa vita usio namwenyewe leo Wa Syria wanatoka ukimbizini seem mbalimbali lkn sio muda mrefu watatafuta tena ukimbizi seem mbalimbali na Hezbolah watajikita tu kuikomboa ardhi ya Lebanon kutoka Israel lkn awatoenda zaid ikiwa Wasuni wataonekana kufanikiwa kuidhiti Israel. Apo ndio tutakumbuka ileee ndoa ya Zamani kati ya IRAN na ISRAEL israel inafaam Iran na Washia ni wachache mbele ya Wasuni ndio miaka ya nyuma ikataka Washilikiane kimkakati kuwathibiti Wasuni walienda vizuri uko nyuma lkn ndoa ilikufa baada ya Mapinduzi ya IRAN Iran mpya ikaanza kushilikiana na Wakombozi wa Palestine adi leo. Japo kwasasa kukuwa mpasuko Waumadheebu tunauwona kunaweza kupunguza alakati za Iran kuelekea Israel. Zaid itajikita YEMEN na IRAQ.
Hiki ulichokiongea ndio ambacho nilikuwa nakifikiria tangu kuanguka kwa utawala wa Assad
 
Ndio tuwaulize nyumbu watuambie mana walikuwa wanapigia upatu kudondoshwa ASSAD mm mwanzo niliwaambia awajamaa wapya mbona wana Bendera ya PALESTINE kuna nyumbu m'moja akanijibu ile sio Bendera ya Palestine !!! Lkn nikajisemea Yajayo Yanapendeza na kuwachukiza !!! Juzi tu Hezbolah kauwa IDF wengi inadaiwa 11 lkn Israel katangaza IDF 4 ndio wamekufa!! Kwasasa ISRAEL kashajua yupo hoi kivita anachofanya ni kuzuiya kabisa vita na yoyote kati ya HIZBOLLAH na SYRIA mpya jamaaa wasianzishe vita nayeye ndani ya lile Jesh la Waasi kuna Wachechinia wengi Jesh na Israel upande wa Anga wapo oky awajaasilika sana japo tukumbuke Iran ktk Promis 2 iliwalenga awa jamaa w Anga lkn Wapo oky na ndio uzima au Uhai w Israel kwasasa. Lkn ardhin jesh lao lipo hoi na limepoteza nguvu na utash wa vijana kupigana Israel kwasasa tutaona akifanya mashambulizi mengi kuzuiya wale Jamaa w Syria mpya wasijipange kuanza vita nawao ni Hatari kubwa kwa Israel,, Hatari....... nyengine ipo ivi kunasiku nilileta andiko kuusu mgogoro w Palestin unachagizwa pia na Umadhehebu yani Ushia vs Usuni Iran ni mshia anataka kuwasaidia Wapalestin lkn pia anataka kudhibiti maeneo matakatifu, kwaiyo wa Suni wanawasiwasi na ajenda ya Iran ndio mana Wasuni kama vile upande mmoja wanawaonea uruma wa Palestin lkn upande mwengine awataki Iran ashinde mgogoro na Israel!!!! Narudia tn Hatari sasa Wasuni wamepata uwanja wao huru wa kuwasaidia Wapalentin wakiwa free mana SYRIA aina mikataba yoyote na ISRAEL tofaut na MISRI na JORDAN hii inamana Wamisri w Jordan vijana kwasasa wanaweza kupitia Syria kwenya kupigana na Israel ivyoivyo kwamataifa ya Kisun vijana wao wataenda Sryia naiyona SYRIA ikiwa uwanja wa vita usio namwenyewe leo Wa Syria wanatoka ukimbizini seem mbalimbali lkn sio muda mrefu watatafuta tena ukimbizi seem mbalimbali na Hezbolah watajikita tu kuikomboa ardhi ya Lebanon kutoka Israel lkn awatoenda zaid ikiwa Wasuni wataonekana kufanikiwa kuidhiti Israel. Apo ndio tutakumbuka ileee ndoa ya Zamani kati ya IRAN na ISRAEL israel inafaam Iran na Washia ni wachache mbele ya Wasuni ndio miaka ya nyuma ikataka Washilikiane kimkakati kuwathibiti Wasuni walienda vizuri uko nyuma lkn ndoa ilikufa baada ya Mapinduzi ya IRAN Iran mpya ikaanza kushilikiana na Wakombozi wa Palestine adi leo. Japo kwasasa kukuwa mpasuko Waumadheebu tunauwona kunaweza kupunguza alakati za Iran kuelekea Israel. Zaid itajikita YEMEN na IRAQ.
Hiyo imefanyika kwa baraka za utawala mpya. Lengo ni kuzuia wafuasi wa Assad kuhamisha silaha hizo na kuwafikishia Hezbollah ambao mpaka sasa bado wanadhibiti maeneo madogo ya mpakani mwa Syria na Lebanon.

Kwa Hezbollah kukosa silaha, inakuwa paralyzed, na haiwezi kuwa threat kwa utawala mpya, serikali ya Lebanon wala kwa Israel. Hezbollah watakuwa hawana silaha, na link kati yao na Iran, imekatika.
 
Hiyo imefanyika kwa baraka za utawala mpya. Lengo ni kuzuia wafuasi wa Assad kuhamisha silaha hizo na kuwafikishia Hezbollah ambao mpaka sasa bado wanadhibiti maeneo madogo ya mpakani mwa Syria na Lebanon.

Kwa Hezbollah kukosa silaha, inakuwa paralyzed, na haiwezi kuwa threat kwa utawala mpya, serikali ya Lebanon wala kwa Israel. Hezbollah watakuwa hawana silaha, na link kati yao na Iran, imekatika.
Hizbullah hutengeneza silaha wenyewe
 
Ndio tuwaulize nyumbu watuambie mana walikuwa wanapigia upatu kudondoshwa ASSAD mm mwanzo niliwaambia awajamaa wapya mbona wana Bendera ya PALESTINE kuna nyumbu m'moja akanijibu ile sio Bendera ya Palestine !!! Lkn nikajisemea Yajayo Yanapendeza na kuwachukiza !!! Juzi tu Hezbolah kauwa IDF wengi inadaiwa 11 lkn Israel katangaza IDF 4 ndio wamekufa!! Kwasasa ISRAEL kashajua yupo hoi kivita anachofanya ni kuzuiya kabisa vita na yoyote kati ya HIZBOLLAH na SYRIA mpya jamaaa wasianzishe vita nayeye ndani ya lile Jesh la Waasi kuna Wachechinia wengi Jesh na Israel upande wa Anga wapo oky awajaasilika sana japo tukumbuke Iran ktk Promis 2 iliwalenga awa jamaa w Anga lkn Wapo oky na ndio uzima au Uhai w Israel kwasasa. Lkn ardhin jesh lao lipo hoi na limepoteza nguvu na utash wa vijana kupigana Israel kwasasa tutaona akifanya mashambulizi mengi kuzuiya wale Jamaa w Syria mpya wasijipange kuanza vita nawao ni Hatari kubwa kwa Israel,, Hatari....... nyengine ipo ivi kunasiku nilileta andiko kuusu mgogoro w Palestin unachagizwa pia na Umadhehebu yani Ushia vs Usuni Iran ni mshia anataka kuwasaidia Wapalestin lkn pia anataka kudhibiti maeneo matakatifu, kwaiyo wa Suni wanawasiwasi na ajenda ya Iran ndio mana Wasuni kama vile upande mmoja wanawaonea uruma wa Palestin lkn upande mwengine awataki Iran ashinde mgogoro na Israel!!!! Narudia tn Hatari sasa Wasuni wamepata uwanja wao huru wa kuwasaidia Wapalentin wakiwa free mana SYRIA aina mikataba yoyote na ISRAEL tofaut na MISRI na JORDAN hii inamana Wamisri w Jordan vijana kwasasa wanaweza kupitia Syria kwenya kupigana na Israel ivyoivyo kwamataifa ya Kisun vijana wao wataenda Sryia naiyona SYRIA ikiwa uwanja wa vita usio namwenyewe leo Wa Syria wanatoka ukimbizini seem mbalimbali lkn sio muda mrefu watatafuta tena ukimbizi seem mbalimbali na Hezbolah watajikita tu kuikomboa ardhi ya Lebanon kutoka Israel lkn awatoenda zaid ikiwa Wasuni wataonekana kufanikiwa kuidhiti Israel. Apo ndio tutakumbuka ileee ndoa ya Zamani kati ya IRAN na ISRAEL israel inafaam Iran na Washia ni wachache mbele ya Wasuni ndio miaka ya nyuma ikataka Washilikiane kimkakati kuwathibiti Wasuni walienda vizuri uko nyuma lkn ndoa ilikufa baada ya Mapinduzi ya IRAN Iran mpya ikaanza kushilikiana na Wakombozi wa Palestine adi leo. Japo kwasasa kukuwa mpasuko Waumadheebu tunauwona kunaweza kupunguza alakati za Iran kuelekea Israel. Zaid itajikita YEMEN na IRAQ.
Huu uandishi ni noma
 
Ndio tuwaulize nyumbu watuambie mana walikuwa wanapigia upatu kudondoshwa ASSAD mm mwanzo niliwaambia awajamaa wapya mbona wana Bendera ya PALESTINE kuna nyumbu m'moja akanijibu ile sio Bendera ya Palestine !!! Lkn nikajisemea Yajayo Yanapendeza na kuwachukiza !!! Juzi tu Hezbolah kauwa IDF wengi inadaiwa 11 lkn Israel katangaza IDF 4 ndio wamekufa!! Kwasasa ISRAEL kashajua yupo hoi kivita anachofanya ni kuzuiya kabisa vita na yoyote kati ya HIZBOLLAH na SYRIA mpya jamaaa wasianzishe vita nayeye ndani ya lile Jesh la Waasi kuna Wachechinia wengi Jesh na Israel upande wa Anga wapo oky awajaasilika sana japo tukumbuke Iran ktk Promis 2 iliwalenga awa jamaa w Anga lkn Wapo oky na ndio uzima au Uhai w Israel kwasasa. Lkn ardhin jesh lao lipo hoi na limepoteza nguvu na utash wa vijana kupigana Israel kwasasa tutaona akifanya mashambulizi mengi kuzuiya wale Jamaa w Syria mpya wasijipange kuanza vita nawao ni Hatari kubwa kwa Israel,, Hatari....... nyengine ipo ivi kunasiku nilileta andiko kuusu mgogoro w Palestin unachagizwa pia na Umadhehebu yani Ushia vs Usuni Iran ni mshia anataka kuwasaidia Wapalestin lkn pia anataka kudhibiti maeneo matakatifu, kwaiyo wa Suni wanawasiwasi na ajenda ya Iran ndio mana Wasuni kama vile upande mmoja wanawaonea uruma wa Palestin lkn upande mwengine awataki Iran ashinde mgogoro na Israel!!!! Narudia tn Hatari sasa Wasuni wamepata uwanja wao huru wa kuwasaidia Wapalentin wakiwa free mana SYRIA aina mikataba yoyote na ISRAEL tofaut na MISRI na JORDAN hii inamana Wamisri w Jordan vijana kwasasa wanaweza kupitia Syria kwenya kupigana na Israel ivyoivyo kwamataifa ya Kisun vijana wao wataenda Sryia naiyona SYRIA ikiwa uwanja wa vita usio namwenyewe leo Wa Syria wanatoka ukimbizini seem mbalimbali lkn sio muda mrefu watatafuta tena ukimbizi seem mbalimbali na Hezbolah watajikita tu kuikomboa ardhi ya Lebanon kutoka Israel lkn awatoenda zaid ikiwa Wasuni wataonekana kufanikiwa kuidhiti Israel. Apo ndio tutakumbuka ileee ndoa ya Zamani kati ya IRAN na ISRAEL israel inafaam Iran na Washia ni wachache mbele ya Wasuni ndio miaka ya nyuma ikataka Washilikiane kimkakati kuwathibiti Wasuni walienda vizuri uko nyuma lkn ndoa ilikufa baada ya Mapinduzi ya IRAN Iran mpya ikaanza kushilikiana na Wakombozi wa Palestine adi leo. Japo kwasasa kukuwa mpasuko Waumadheebu tunauwona kunaweza kupunguza alakati za Iran kuelekea Israel. Zaid itajikita YEMEN na IRAQ.
Duh, umeandika kwa hasira sn. Assad harudi tena mkuu
 
Ndio tuwaulize nyumbu watuambie mana walikuwa wanapigia upatu kudondoshwa ASSAD mm mwanzo niliwaambia awajamaa wapya mbona wana Bendera ya PALESTINE kuna nyumbu m'moja akanijibu ile sio Bendera ya Palestine !!! Lkn nikajisemea Yajayo Yanapendeza na kuwachukiza !!! Juzi tu Hezbolah kauwa IDF wengi inadaiwa 11 lkn Israel katangaza IDF 4 ndio wamekufa!! Kwasasa ISRAEL kashajua yupo hoi kivita anachofanya ni kuzuiya kabisa vita na yoyote kati ya HIZBOLLAH na SYRIA mpya jamaaa wasianzishe vita nayeye ndani ya lile Jesh la Waasi kuna Wachechinia wengi Jesh na Israel upande wa Anga wapo oky awajaasilika sana japo tukumbuke Iran ktk Promis 2 iliwalenga awa jamaa w Anga lkn Wapo oky na ndio uzima au Uhai w Israel kwasasa. Lkn ardhin jesh lao lipo hoi na limepoteza nguvu na utash wa vijana kupigana Israel kwasasa tutaona akifanya mashambulizi mengi kuzuiya wale Jamaa w Syria mpya wasijipange kuanza vita nawao ni Hatari kubwa kwa Israel,, Hatari....... nyengine ipo ivi kunasiku nilileta andiko kuusu mgogoro w Palestin unachagizwa pia na Umadhehebu yani Ushia vs Usuni Iran ni mshia anataka kuwasaidia Wapalestin lkn pia anataka kudhibiti maeneo matakatifu, kwaiyo wa Suni wanawasiwasi na ajenda ya Iran ndio mana Wasuni kama vile upande mmoja wanawaonea uruma wa Palestin lkn upande mwengine awataki Iran ashinde mgogoro na Israel!!!! Narudia tn Hatari sasa Wasuni wamepata uwanja wao huru wa kuwasaidia Wapalentin wakiwa free mana SYRIA aina mikataba yoyote na ISRAEL tofaut na MISRI na JORDAN hii inamana Wamisri w Jordan vijana kwasasa wanaweza kupitia Syria kwenya kupigana na Israel ivyoivyo kwamataifa ya Kisun vijana wao wataenda Sryia naiyona SYRIA ikiwa uwanja wa vita usio namwenyewe leo Wa Syria wanatoka ukimbizini seem mbalimbali lkn sio muda mrefu watatafuta tena ukimbizi seem mbalimbali na Hezbolah watajikita tu kuikomboa ardhi ya Lebanon kutoka Israel lkn awatoenda zaid ikiwa Wasuni wataonekana kufanikiwa kuidhiti Israel. Apo ndio tutakumbuka ileee ndoa ya Zamani kati ya IRAN na ISRAEL israel inafaam Iran na Washia ni wachache mbele ya Wasuni ndio miaka ya nyuma ikataka Washilikiane kimkakati kuwathibiti Wasuni walienda vizuri uko nyuma lkn ndoa ilikufa baada ya Mapinduzi ya IRAN Iran mpya ikaanza kushilikiana na Wakombozi wa Palestine adi leo. Japo kwasasa kukuwa mpasuko Waumadheebu tunauwona kunaweza kupunguza alakati za Iran kuelekea Israel. Zaid itajikita YEMEN na IRAQ.
Umeandika gazeti, lakini kwa sasa Hezbollah na wapiganaji waliomtoa Assad kwa sasa ni kama mbwa asiye na meno maana silaha zote zimeteketezwa wakati mapinduzi yakiendelea, Israel imeshachukua mlima Helmon na miji sita ya Syria bila upinzani wowote, na vimekuwa mali yake. Kwa ufupi imejikatia nyama inayomfaa
 
Ndio tuwaulize nyumbu watuambie mana walikuwa wanapigia upatu kudondoshwa ASSAD mm mwanzo niliwaambia awajamaa wapya mbona wana Bendera ya PALESTINE kuna nyumbu m'moja akanijibu ile sio Bendera ya Palestine !!! Lkn nikajisemea Yajayo Yanapendeza na kuwachukiza !!! Juzi tu Hezbolah kauwa IDF wengi inadaiwa 11 lkn Israel katangaza IDF 4 ndio wamekufa!! Kwasasa ISRAEL kashajua yupo hoi kivita anachofanya ni kuzuiya kabisa vita na yoyote kati ya HIZBOLLAH na SYRIA mpya jamaaa wasianzishe vita nayeye ndani ya lile Jesh la Waasi kuna Wachechinia wengi Jesh na Israel upande wa Anga wapo oky awajaasilika sana japo tukumbuke Iran ktk Promis 2 iliwalenga awa jamaa w Anga lkn Wapo oky na ndio uzima au Uhai w Israel kwasasa. Lkn ardhin jesh lao lipo hoi na limepoteza nguvu na utash wa vijana kupigana Israel kwasasa tutaona akifanya mashambulizi mengi kuzuiya wale Jamaa w Syria mpya wasijipange kuanza vita nawao ni Hatari kubwa kwa Israel,, Hatari....... nyengine ipo ivi kunasiku nilileta andiko kuusu mgogoro w Palestin unachagizwa pia na Umadhehebu yani Ushia vs Usuni Iran ni mshia anataka kuwasaidia Wapalestin lkn pia anataka kudhibiti maeneo matakatifu, kwaiyo wa Suni wanawasiwasi na ajenda ya Iran ndio mana Wasuni kama vile upande mmoja wanawaonea uruma wa Palestin lkn upande mwengine awataki Iran ashinde mgogoro na Israel!!!! Narudia tn Hatari sasa Wasuni wamepata uwanja wao huru wa kuwasaidia Wapalentin wakiwa free mana SYRIA aina mikataba yoyote na ISRAEL tofaut na MISRI na JORDAN hii inamana Wamisri w Jordan vijana kwasasa wanaweza kupitia Syria kwenya kupigana na Israel ivyoivyo kwamataifa ya Kisun vijana wao wataenda Sryia naiyona SYRIA ikiwa uwanja wa vita usio namwenyewe leo Wa Syria wanatoka ukimbizini seem mbalimbali lkn sio muda mrefu watatafuta tena ukimbizi seem mbalimbali na Hezbolah watajikita tu kuikomboa ardhi ya Lebanon kutoka Israel lkn awatoenda zaid ikiwa Wasuni wataonekana kufanikiwa kuidhiti Israel. Apo ndio tutakumbuka ileee ndoa ya Zamani kati ya IRAN na ISRAEL israel inafaam Iran na Washia ni wachache mbele ya Wasuni ndio miaka ya nyuma ikataka Washilikiane kimkakati kuwathibiti Wasuni walienda vizuri uko nyuma lkn ndoa ilikufa baada ya Mapinduzi ya IRAN Iran mpya ikaanza kushilikiana na Wakombozi wa Palestine adi leo. Japo kwasasa kukuwa mpasuko Waumadheebu tunauwona kunaweza kupunguza alakati za Iran kuelekea Israel. Zaid itajikita YEMEN na IRAQ.
" maelezo mengiii !!Karatasii nyiiingii,unamaliza miti tu" Sugu
 
Back
Top Bottom