Israeli kafanya mashambulizi dhidi ya ngome za Iran nchini Syria

Syria ana ideological enemies ambao hawahitaji uwawashie radar kuscan anga lao. Turkey walipoingia mapigano na Syria mpakani uliona Syria ilivopigana mpaka Russia akaingilia kati kufanya patrol na wakafikia terms. Syria hayuko vitani na adui yeyote anayemiliki ndege za kivita hao magaidi na wanamgambo wanamiliki Toyota double cabin kwa wingi.

Kuweka alert air defense sio priority kuu ila anataka pia kumridhisha Iran anayemsaidia mapigano na waasi, kwanza it comes with price na kuna wear & tear. Na bado kuna chances za missing targets hata wangekuwa on with very capable system (sio S 300). Ndio maana Israel wanazuia makombora ya Iran yasiwafikie Hezbollah, si wana Iron Dome kwanini wasiachane nayo hata yakitumiwa na wanamgambo watayazuia na mifumo yao.
yaani ukatembee na kahaba ambaye umeambiwa ana ngoma na kaanza kukonda na mapele.mwili mzima kisa una kondom???


Hezbollah hawana ardhi yao kwamba unajua wapo.wapi ukawashambulie wao wanawafanya watu kama shield. Hapo ndipo ugumu wa vita unapokuja.

Israel aliyeoigana na mataifa kama Misri na waarabu wenzake na kuwashinda hawezi sumbuliwa na Hezbollah kama wangekuwa ba kambi au jeshi sehemu fulani na sio kupigana ukiwa ndani ya nchi ya watu ambao una mkataba wa kimataifa wa amani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaani ukatembee na kahaba ambaye umeambiwa ana ngoma na kaanza kukonda na mapele.mwili mzima kisa una kondom???


Hezbollah hawana ardhi yao kwamba unajua wapo.wapi ukawashambulie wao wanawafanya watu kama shield. Hapo ndipo ugumu wa vita unapokuja.

Israel aliyeoigana na mataifa kama Misri na waarabu wenzake na kuwashinda hawezi sumbuliwa na Hezbollah kama wangekuwa ba kambi au jeshi sehemu fulani na sio kupigana ukiwa ndani ya nchi ya watu ambao una mkataba wa kimataifa wa amani

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi na Hamasi wako nchi gani ambazo mpaka sasa ameshindwa kuwamaliza?
 
Vipi na Hamasi wako nchi gani ambazo mpaka sasa ameshindwa kuwamaliza?
Hivi Hamas ni jeshi???
Ai.kikundi cha kigaidi ndani ya Gaza tena hawa ndio kabisaaa ukienda hata huwaoni.

unakuta wamevaa kanvu wameshika tasbihi wakakunywa kahawa na familia zao ukiwapa mgongo wanajikusanya tena.



Hawa ndio wakifurushwa ulimwengu mzima zinatumwa picha za Israel imeua raia wa Palestine, wapo tayari kuwaweka wake zao na watoto mbele ili kujificha nyuma ya migongo yao.


The Israeli Ministry of Foreign Affairs statedHamas now regularly uses human shields to protect the homes of Hamas officials.



en.m.wikipedia.org › wiki › Human...

Human shield - Wikipedia





Sent using Jamii Forums mobile app


Who is Hamas funded by?

Hamas is a militant and political organization currently in power in the Gaza Strip. According to Mahmoud Abbas, President of the Palestinian National Authority, "Hamas is funded by Iran.
 
Hivi Hamas ni jeshi???
Ai.kikundi cha kigaidi ndani ya Gaza tena hawa ndio kabisaaa ukienda hata huwaoni.

unakuta wamevaa kanvu wameshika tasbihi wakakunywa kahawa na familia zao ukiwapa mgongo wanajikusanya tena.



Hawa ndio wakifurushwa ulimwengu mzima zinatumwa picha za Israel imeua raia wa Palestine, wapo tayari kuwaweka wake zao na watoto mbele ili kujificha nyuma ya migongo yao.


The Israeli Ministry of Foreign Affairs statedHamas now regularly uses human shields to protect the homes of Hamas officials.



en.m.wikipedia.org › wiki › Human...

Human shield - Wikipedia





Sent using Jamii Forums mobile app


Who is Hamas funded by?

Hamas is a militant and political organization currently in power in the Gaza Strip. According to Mahmoud Abbas, President of the Palestinian National Authority, "Hamas is funded by Iran.
Mbona ISS walimalizwa?
 
Mbona ISS walimalizwa?
Mkuu haya makundi unaweza kuyamaliza kama yapo nchini kwako na mwenye nchi huyataki.

Isis na Islamic brotherhood walipigana na nchi zao kisha mataifa mengine so ilikuwa rahisi kuyazingira kila upande.

Tofauti na hezbollah na Hamas ambazo zinakumbatiwa na host countries na zinafanya mashambulio yao kwa foreign country zikiwa kwenye host country.

Nadhani umenipata mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu haya makundi unaweza kuyamaliza kama yapo nchini kwako na mwenye nchi huyataki.

Isis na Islamic brotherhood walipigana na nchi zao kisha mataifa mengine so ilikuwa rahisi kuyazingira kila upande.

Tofauti na hezbollah na Hamas ambazo zinakumbatiwa na host countries na zinafanya mashambulio yao kwa foreign country zikiwa kwenye host country.

Nadhani umenipata mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe siku hizi ukanda wa gaza ni nchi?
 
Maandiko Matakatifu kwenye Biblia yanasema, Yuda, ambaye kimakosa anatambuliwa kama Israel, atakuwa ni Taifa changa kuliko mataifa mengine 11 katika ile Jumuiya ya Mataifa/Kabila 12 ya Israel na Kwamba atawakalia majirani wake wote shingoni.
Hekalu l Suleiman lililopo Jerusalemu kumbe lilikuwa katikaYuda? nielemishe kidogo ili nielewe
 
Alafu Israel sii meuzingira ukanda wa gaza kila mahali inakuwaje Iran inaweza kupenyeza silaha na kuwafikia Hamasi?
Sio Iran tu hata United Arabs Emirates nao walikuwa wanapa pesa ndefu. Saivi wamedhibitiwa


Angalia.ramani na maelezo kwa screenshot uelewe
Screenshot_20210125-191325_Google.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hekalu l Suleiman lililopo Jerusalemu kumbe lilikuwa katikaYuda? nielemishe kidogo ili nielewe
Mkuu Baada ya Sulemani kufa Israel waligawanyika kabila 19 zikaunda ufalme wa Israel na kabila mbila Yuda na Efraimu wakaunda ufalme wa Yuda. So yote ni Israel na waliungana baadae maisha yakasonga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujajibu swari bado.
Gaza imeoakana na nani upande wa kusini according to hayo maelezo au kuaoma umeshindwa

Sent using Jamii Forums mobile app



The Gaza–Egypt border is the 12 kilometres (7.5 mi) long border between the Gaza Strip and Egypt. There is a buffer zone along the border, called the Philadelphi Route, which is about 14 kilometres (8.7 mi) long. The Rafah BorderCrossing is the only crossing point between Egypt and the Gaza Strip.



USIPOELEWA HAPA. UNA LAKO JAMBO


View attachment 1686045
 
Soma vizuri kilicho andikwa - wamesema ndege za Israel uvurumisha makonbora ya rocket kutoka kwenye anga la Lebanon sio anga la Syria - wewe unafikiri ni kitu gani kinawafanya ma Pilots wa ndege za Israel kugwaya kuingia kichwa kichwa kwenye anga la Syria?

Jeshi la ulinzi wa anga la Syria limesema makombora mengi yaliyo rushwa na ndege za Israel yakitokea huko Lebanon yalisabaratishwa/lipuliwa na air defense systems za jeshi la Syria, machache yaliyo fanikiwa kujipenyeza yaliharibu makazi ya raia na kuua watu. Haya mambo ya kudai eti air defense systems za jeshi la Syria si lolote si chochote hiyo si kweli hata kidogo - kama ingekuwa hivyo ndege za Israel zingekuwa zinaingia moja kwa moja kwenye anga la Syria na sio zinavurumisha makombora kutokea anga la Lebanon, huu ni ushahidi tosha kwamba Israel inaogopa ndege zake kutunguliwa.
Mnanichekeshaga sana naona unatunisha msuli kubisha chanzo cha habar.... Unaamua kwa makusudi kusoma unavyotaka wewe.... Swali kapigwa hajapigwa iran?
 
On January 13, Israeli warplanes carried out intense airstrikes in eastern Syria apparently targeting positions and arms depots of Iran-backed forces. At least 57 fighters were killed and dozens were wounded, according to a Syrian opposition war monitoring group.
The Israeli airstrikes, said SOHR, targeted “positions, weapons warehouses, ammunition and missiles depots affiliated to regime forces, the Lebanese Hezbollah, Iranian forces and their proxy militias, mainly ‘Fatemiyoun Brigade’, in the area between Deir Ezzor city and the Syria-Iraq border in Al-Bokamal desert.”

The Syrian Observatory for Human Rights said it recorded 39 Israeli strikes inside Syria in 2020 that hit 135 targets, including military posts, warehouses or vehicles.

Israel views Iranian entrenchment on its northern frontier as a red line, and has repeatedly struck Iran-linked facilities and weapons convoys destined for Lebanon’s militant Hezbollah group.

======----++++++++----=======

Soma hiyooooo.......

"..........On January 13, Israeli warplanes carried out intense airstrikes in eastern Syria apparently targeting positions and arms depots of Iran-backed forces. At least 57 fighters were killed and dozens were wounded, according to a Syrian opposition war monitoring group.
The Israeli airstrikes, said SOHR, targeted “positions, weapons warehouses, ammunition and missiles depots affiliated to regime forces, the Lebanese Hezbollah, Iranian forces and their proxy militias, mainly ‘Fatemiyoun Brigade’, in the area between Deir Ezzor city and the Syria-Iraq border in Al-Bokamal desert.”

The Syrian Observatory for Human Rights said it recorded 39 Israeli strikes inside Syria in 2020 that hit 135 targets, including military posts, warehouses or vehicles.

Israel views Iranian entrenchment on its northern frontier as a red line, and has repeatedly struck Iran-linked facilities and weapons convoys destined for Lebanon’s militant Hezbollah group........."
Akisoma nitag mkuu
 
Back
Top Bottom