MT255
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 3,381
- 4,648
Naona leo mmpepanic wavaa maderaMbona hao mayaudi kila siku wanashambuliwa na maroketi ya hamasi tena yenye tekinorojia ndogo?
Kwa hiyo mfumo wao ni machuma sio?
Naona leo mmpepanic wavaa maderaMbona hao mayaudi kila siku wanashambuliwa na maroketi ya hamasi tena yenye tekinorojia ndogo?
Kwa hiyo mfumo wao ni machuma sio?
Huyu anajua source vizur tu ilipo ila anajibarguzaSource angalia juu ya uzi
Mnakataa leo... Na bado fyuuuuSyria hakuna S 400 air defense system, watu wanaichanganya na S 300
Hamasi wamejificha kwenye makazi ya Raia, ndio maana wana wa Mungu wakiamua kuwashambulia wanatuma kwanza ndege zenye ving'ora kuwahamasisha wananchi waondoke eneo la hatari.Vipi na Hamasi wako nchi gani ambazo mpaka sasa ameshindwa kuwamaliza?
wanabishaga ila conclusion hawafikiiMnanichekeshaga sana naona unatunisha msuli kubisha chanzo cha habar.... Unaamua kwa makusudi kusoma unavyotaka wewe.... Swali kapigwa hajapigwa iran?
Usihame mada mkuu stay focusedVipi, Israel wana makombora ya kuangamiza ushoga?, mbona unawatafuna sana?
Yes mkuu well said jamaa wanatumia human shields, wanashambulia then wanajificha nyuma ya wazee, wanawake na watoto ili wakishambuliwa walalamike dunia nzima kwamba Israel inaua raia wasio na hatiaHamasi wamejificha kwenye makazi ya Raia, ndio maana wana wa Mungu wakiamua kuwashambulia wanatuma kwanza ndege zenye ving'ora kuwahamasisha wananchi waondoke eneo la hatari.
Majuzi nilikuwa nasoma kitabu kimoja kinaelezea namna Iran na Saudi wanavyochukiana sababu tu kila mmoja anataka kutambulika kama muhimili wa Uislam duniani.Usihame mada mkuu stay focused
Hiyo mada anzisha uzi wake tukupe facts za waarabu.
To make it easier for you hapa bongo mikoa inayoongoza kwa vitendo ya ushoga ni ipi na inakaliwa na watu gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nilikuuliza mbona ISS walimalizwa wakati na wao walikuwa wanajificha nyuma ya raia?Yes mkuu well said jamaa wanatumia human shields, wanashambulia then wanajificha nyuma ya wazee, wanawake na watoto ili wakishambuliwa walalamike dunia nzima kwamba Israel inaua raia wasio na hatia
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu swari acha mipasho.Naona leo mmpepanic wavaa madera
Kuna wajinga wanashabikia vita kama vile madrid na barcelona jamani watuNasema mje waarabu wa bongo msikilizie kipigo mnaemsifia Iran mbele ya Israel
halafu hawa wavaa makobazi wanapambana na ukristo kumbe na wao wabaya kupitilizaMajuzi nilikuwa nasoma kitabu kimoja kinaelezea namna Iran na Saudi wanavyochukiana sababu tu kila mmoja anataka kutambulika kama muhimili wa Uislam duniani.
sasa humo katikati inaelezewa sikukuu moja ya Ashura. moja ya rituals katika sikukuu hizo ni wanafamilia kujifungia chumbani na kufanya group sex. mtoto anayepatikana kwa mimba inayotungwa siku hiyo ndio hao watu wanaitwa ma Mullah.
Umeshaona gay parade kwenye nchi yoyote ya waarabu?Usihame mada mkuu stay focused
Hiyo mada anzisha uzi wake tukupe facts za waarabu.
To make it easier for you hapa bongo mikoa inayoongoza kwa vitendo ya ushoga ni ipi na inakaliwa na watu gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mekujibu kwamba hawa ISIS walikataliwa na wenyeji wao kama Muslim brotherhoods wa misri. hata hivyo bado wapo japo hawana support ila hawajaisha kama MBNdio maana nilikuuliza mbona ISS walimalizwa wakati na wao walikuwa wanajificha nyuma ya raia?
We don't measure sin by its magnitude, dhambi ni dhambi tu.Umeshaona gay parade kwenye nchi yoyote ya waarabu?
Hayo yapo Tel Aviv na Jerusalem.
Mkuu kila nchi ingekuwa inahangaika na mambo yake ikijenga uchumi wake dunia ingekuwa tamu sana ila wengine hawahangahiki na mambo yao wao kutwa kucha wanahangaika kufuta taifa jingine kwenye ramani ya dunia. Wanaokufa wapo kwenye battlefield wakitimiza majukumu yaoKuna wajinga wanashabikia vita kama vile madrid na barcelona jamani watu
Wanapoteza maisha.wanapata ulemavu nk halafu nyinyi wenye akili chache mnashangilia?
Vipi, Israel wana makombora ya kuangamiza ushoga?, mbona unawatafuna sana?
Nakueleza tu, power ya kijeshi ni pamoja na wananchi wenyewe.We don't measure sin by its magnitude, dhambi ni dhambi tu.
Turudi kwenye mada tafadhali au hii mada imekushinda tufungue uzi mwingine?,
Sent using Jamii Forums mobile app