EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,518
- Thread starter
- #41
Kule pia nipo nawapa facts tu kotekote nipo njoo ukanushe hii kichapo ingineHaaa kwa hiyo mkuu baada ya kupigwa za uso kwenye ule uzi ukaamuwa uje uanzishe uzi uku ili kujifariji?
Hivi unashindwa hata kujifikiria ya kwamba Israel imeanza kushambulia hizo zinazoitwa ngome za Iran zaidi ya miaka sita iliyo pita mbona haziishi tu?
Au Iran ana hela gani hizo kujenga base kila siku?