nankumene
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 7,335
- 8,116
wizara ya ulinzi ya urusi imedai mashambulizi ya anga ya israeli nchini syria yameua wanajeshi wanne wa syria na wengine 6 kujeruhiwa usiku wa jana
kwa upande wao wamedai walikuwa wanashambulia vituo vya kijeshi vya iran pia wamesema walifanikiwa kushambulia mfumo wa ulinzi wa anga wa syria ndani ya ,masaa 48 yaliopita, haya yamekuja baada ya hapo juzo osraeli kusema imetungua rocket lililorushwa toka syria kuelekea eneo la golan na kuahidi kulipa kisasi
Israeli airstrikes killed 4 Syrian servicemen, left 6 wounded – Russian MoD
kwa upande wao wamedai walikuwa wanashambulia vituo vya kijeshi vya iran pia wamesema walifanikiwa kushambulia mfumo wa ulinzi wa anga wa syria ndani ya ,masaa 48 yaliopita, haya yamekuja baada ya hapo juzo osraeli kusema imetungua rocket lililorushwa toka syria kuelekea eneo la golan na kuahidi kulipa kisasi
Israeli airstrikes killed 4 Syrian servicemen, left 6 wounded – Russian MoD