Gomez Luna
Senior Member
- Mar 13, 2017
- 187
- 205
Jeshi la Israel limeeleza kwamba limeshambulia vifaru vya jeshi la Syria baada ya Roketi toka ardhi ya Syria kutua kwenye ardhi ya Israel.
Vifaru viwili vya jeshi la Syria vinadaiwa kuharibiwa na shambulio hilo
Jeshi la Israel lilieleza kwamba maroketi kadhaa yalitua kwenye eneo la wazi kaskazini kwa milima ya Golan, lakini hakuna mtu aliyejeruhiwa.
Jeshi la Israel lilisema kwamba tukio hilo halikubaliki maana ni kuhujumu uhuru na usalama wa Israel.
Vifaru viwili vya jeshi la Syria vinadaiwa kuharibiwa na shambulio hilo
Jeshi la Israel lilieleza kwamba maroketi kadhaa yalitua kwenye eneo la wazi kaskazini kwa milima ya Golan, lakini hakuna mtu aliyejeruhiwa.
Jeshi la Israel lilisema kwamba tukio hilo halikubaliki maana ni kuhujumu uhuru na usalama wa Israel.