Israel yashambulia Syria kwa mara nyingine tena

Gomez Luna

Senior Member
Mar 13, 2017
187
205
Jeshi la Israel limeeleza kwamba limeshambulia vifaru vya jeshi la Syria baada ya Roketi toka ardhi ya Syria kutua kwenye ardhi ya Israel.

Vifaru viwili vya jeshi la Syria vinadaiwa kuharibiwa na shambulio hilo
d669276483c0e818fb46c04555621c3f.jpg


Jeshi la Israel lilieleza kwamba maroketi kadhaa yalitua kwenye eneo la wazi kaskazini kwa milima ya Golan, lakini hakuna mtu aliyejeruhiwa.
Jeshi la Israel lilisema kwamba tukio hilo halikubaliki maana ni kuhujumu uhuru na usalama wa Israel.
 
Israel huwa haichokozi ila ikichokozwa madhara yake kwa adui huwa ni makubwa. Thamani ya myahudi mmoja ni makumi ya mafilisti na waarabu wenzie. Jamaa katulia kwake kwa upumbavu wenu mnampelekea maroketi mkipigwa mnaanza kulialia kutafuta huruma za kijinga.
 
Kwani zile Radar za Syria hazifanyi kazi hadi F 15 ziruke na kupiga tanks?
Warusi ni wasanii tu.Sasa acha Iran nayo ijitoe ufahamu kwamba inashambulia Israel kwa msaada wa urusi watanyolewa bila maji.Kwanza makombora ya Iran hayana madhara yeyote mpaka sasa ndio yanatumiwa na Hezbullar na Hamasi kushambulia Israel ,na hayajafanikiwa chochote.Yanadakwa na irone dome!
 
Warusi ni wasanii tu.Sasa acha Iran nayo ijitoe ufahamu kwamba inashambulia Israel kwa msaada wa urusi watanyolewa bila maji.Kwanza makombora ya Iran hayana madhara yeyote mpaka sasa ndio yanatumiwa na Hezbullar na Hamasi kushambulia Israel ,na hayajafanikiwa chochote.Yanadakwa na irone dome!
Hahahaah.... Et kunyolewa bila maji
 
Warusi ni wasanii tu.Sasa acha Iran nayo ijitoe ufahamu kwamba inashambulia Israel kwa msaada wa urusi watanyolewa bila maji.Kwanza makombora ya Iran hayana madhara yeyote mpaka sasa ndio yanatumiwa na Hezbullar na Hamasi kushambulia Israel ,na hayajafanikiwa chochote.Yanadakwa na irone dome!
Iran Asijaribu kabisaaa kumpiga Israel, ataleta shida nyingine hapo mashariki ya kati
 
Mikwara lukuki, wanachonga mdomo vitisho kila siku, wenzao wanawangonga kidogo kidogo.

Sasa hata asadi ataingiwa na woga.
Asad hatauliwa, maana kuwepo kwake madarakani kwa hali hii kuna surport nchi yake syria kuwa battle ground ya no man's force, no man's enemy.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom