EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,563
- 1,886
Aahahaahaaa yaani we jamaa bhana sionagi cha maana unachoandika zaidi ya kuwa upande wa either iran au russia yaani iran ampige myahudi aaahahahaaahaaa hicho anachokifanya iran hivi si myahudi alishafanya miaka mingi sana.....halafu mimi na ww tunajua nn kuhusu iran au israel kama si mahaba yetu tu na ushabiki wa kidini dini hakuna kingne
israel hana uwezo wa kuproject power kwa umbali huo na ikaleta matokeo mazuri,mindege itaishiwa mafuta katikati ya mpambano na haiwezi kurudi israel bila fuel,njia pekee anaweza fanya ni kutumia makombora na kuyafyatua kwa kutumia submarine ikiwa arab sea au kutokea israel uwezo ambao hata iran anaweza kufyatua makombora yakatua dimona nuclear facilities. Bila kuteamup na marekani israel hawezi iffanya lolote iran