The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,424
- 13,380
kwa kuwa hao ni matajiri kwa nini usifatilie mambo ya asia hususan Vietnam.kuna maujinga mnajazanaTunaishi Africa hivyo tunayajua, tunafuatilia tusiyoyajua
kwa kuwa hao ni matajiri kwa nini usifatilie mambo ya asia hususan Vietnam.kuna maujinga mnajazanaTunaishi Africa hivyo tunayajua, tunafuatilia tusiyoyajua
Cheo cha juu katika ugaidi ni muandaaji wa maandamano na kuchochea kuchoma waisrael visu na kuwatupia mawe... kuwa wakifa katika ghasia hizo basi mabikiri 70 yanawangojea akhera wafaidi
Kwenye kitabu kitukufuDhaaaa Ila haya mawazo mengine cjui wanayatoa wapi
Haswaaaaaa ule mwisho u karibuHuo msikiti ukibolewa unabii utakuwa umetimia, vita itapigwa sana sio hapo Israel pekee bali dunia nzima.
Waarabu watachachamaa sana