MT255
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 3,381
- 4,648
Yesu nae alivaa dela hakuvaa suti achilia mbali papa au dela gani unalolizungumzia hapa,,,,
Yale yanayovaliwa iran new model achana Alilovaa yesu nayazungumzia MADERA ya kisasa
Yesu nae alivaa dela hakuvaa suti achilia mbali papa au dela gani unalolizungumzia hapa,,,,
acha shobo kuna watu kijijini kwenu hawajala asubuhi hao unaowafatilia wamekula baga asubuhiMaskin hatuwez kuisha Africa na hatuwez
Kupata maji Safi vituo vya afya Bora n.k
Kwakua utawala n mmoja Africa nzima
Sasa ww unasapot Africaacha shobo kuna watu kijijini kwenu hawajala asubuhi hao unaowafatilia wamekula baga asubuhi
wanafuatilia sana Africa na mamboye.Niligundua sababu ya kutolewa mugabe madarakani ,mapinduzi ya mali, mfadhili wa boko haram ni taifa gani,na vifo vya Goma kupitia chanel i24 ya Israel.Africa kuna mambo gani zaidi ya wizi wa hela za mafuta Nigeria, magonjwa, chuki za kidini Nigeria Sudan na somalia, na miradi ya wachina inayowajaza kuishi africa. kero tupu!!!!!kuna ndugu zako walio masikini hawana maji safi na mifumo bora ya maisha kama israel kingine hao huwa hawafatilii mambo ya africa acha shobo
hapa tunatafuta ukweli wa nani mchokozi huko middle east. ugomvi huu mataifa ya kiarabu hupotosha sana watu kuhusu Israel pindi washambuliwapo na kupigwa na Israel.kumbuka 1973 tulilazimishwa kuvunja uhusiano wa kibalozi na Israel ingawa Misri ndiyo ilikuwa mchokozi.acha shobo kuna watu kijijini kwenu hawajala asubuhi hao unaowafatilia wamekula baga asubuhi
Na lile analovaa papa sampuli gani ile new au old?🤣Yale yanayovaliwa iran new model achana Alilovaa yesu nayazungumzia MADERA ya kisasa
Yale yanayovaliwa iran new model achana Alilovaa yesu nayazungumzia MADERA ya kisasa
Hapa mnapiga kelele weeeee kuhusu ufisadi wa ccm najaa juzi PM kagundua bado wanapiga tu sa utafanya nini??acha shobo kuna watu kijijini kwenu hawajala asubuhi hao unaowafatilia wamekula baga asubuhi
Wakipigwa "wanaonewa" wakiachwa "wanaogopwa" Waarabu bhana ukiwapiga kidogo wanasema "hata sijaumia" ukikandamizaa wanaliaaaa "Mamaaaaa naonewa huku"hapa tunatafuta ukweli wa nani mchokozi huko middle east. ugomvi huu mataifa ya kiarabu hupotosha sana watu kuhusu Israel pindi washambuliwapo na kupigwa na Israel.kumbuka 1973 tulilazimishwa kuvunja uhusiano wa kibalozi na Israel ingawa Misri ndiyo ilikuwa mchokozi.
Mzuri Kwa MakafiriHiz ni habar Mbaya kwa wavaa madera
Kale kamsikiti ka Al aqsa kanawindwa kabomolewe lijengwe Hekalu la Mfalme SulemaniHivi usitishwaji wa mapigano baina ya Jeshi la Israel na Hamas ulihusu masharti yapi?
Sasa kwa nini Serikal i ya Israel inafuatilia fatilia Viongozi wa Hamas kwa lengo la kutaka kuwa maliza.
Israel will never succeed to exter minate Palestinians, they will fail just like Hitler failed to exter minate them Jews during WW2 - Israel leader should beware that History repeats itself, Palestinians too shall over come some day to gain independance from Israel sha kles of blatant racism.
Kuna mi nchi mia 2 achana na hivyo vinchi vidogohapa tunatafuta ukweli wa nani mchokozi huko middle east. ugomvi huu mataifa ya kiarabu hupotosha sana watu kuhusu Israel pindi washambuliwapo na kupigwa na Israel.kumbuka 1973 tulilazimishwa kuvunja uhusiano wa kibalozi na Israel ingawa Misri ndiyo ilikuwa mchokozi.
Wakongo wanauana kama digidigi hapo kwao lakini wala haitushtuifatilieni mambo ya afrika kwanza
Hata hapa Ccm inatuua kimyakimyaWakongo wanauana kama digidigi hapo kwao lakini wala haitushtui
SIJUI TUMELOGWA NA NANIWakongo wanauana kama digidigi hapo kwao lakini wala haitushtui
Huo msikiti ukibolewa unabii utakuwa umetimia, vita itapigwa sana sio hapo Israel pekee bali dunia nzima.Kale kamsikiti ka Al aqsa kanawindwa kabomolewe lijengwe Hekalu la Mfalme SulemaniView attachment 1807078
Tunaishi Africa hivyo tunayajua, tunafuatilia tusiyoyajuafatilieni mambo ya afrika kwanza