Israel Yakiri kuwachoma dawa za kuzuia uzazi Kinguvu wayahudi weusi waliohamia kutokea Ethiopia

Tunaamsha uzi..uzi haukupata uchangiaji kabisa.
Wafia dini wakaukimbia. Mimi nakuona mavi tu ukitetea waarabu na wayahudi. Religion fanatics mmekwenda wapi? Uzi wa 2019 bado mpya huu.
 
Hawa mbwa koko wa kiyahudi inatakiwa wapatikane akina Hitler watatu tu wawafute hawa mbwa ktk USO huu wa dunia.
 
Wamekiri kwa nini? si kihere here chao? waliwachukua wenyewe Ethiopia kwa Operation Solomon? leo wanakili tena ujinga?, Bora wawarudishe walipo watoa waliishi kwa amani kabisaa kule kwa Ethiopia!

MImi nadhani hawa jamaa wanatumwa na Shetani kabisaa tena wanakaa wanajadiliana, tufanyeje!

AU ndiyo wana wa mungu wameingiliwa?
 
Kila sifa njema anastahiki kusifiwa Allah, waarabu wakushukuriwa sana tena sana, walikuja kuwatoa watu katika ujinga.

BISMILAHI RAHMANI RAHIYMI
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU

NADHARIA TOFAUTI KUHUSIANA NA DINI
Kidokezo kuhusiana na dini:

Ni sahihi kuwa neno “Dini” kwa mtazamo wa wanalugha ni neno lililozoeleka, na kila mmoja analifahamu neno hilo, lakini maana hasa ya dini si ile maana ambayo kila mmoja wetu amezoea kuisikia. Dini katika mtazamo wa kitaalamu (kiistilaha) lina maana pana zaidi.

Dini sio neno kuu lililokusanya ndani yake aina au maana zote za dini kiasi ya kwamba wakati lisilikapo liwe linamaanisha aina yoyote ile ya dini, ufafanuzi wa dini unaokubalika unatakiwa uwe umepatikana katika dini yenyewe, yaani katika vitabu vya dini. Kwa hiyo maana asili ya neno hilo inayokusudiwa hapa, ni dini ya Kiisalamu. Ndio, neno hilo lina maana maalumu, na linatumika katika dini ya Kiislamu tu .kama anavyosema Allah (s.w):-

إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللهِ الإِسْلاَمُ وَمَا اخْتَلَفَ الَّذِينَ اُوْتُواْ الْكِتَابَ إِلاَّ مِن بَعْدِ مَا جَاءهُمُ الْعِلْمُ بَغْياً بَيْنَهُمْ وَمَن يَكْفُرْ بِآيَاتِ اللهِ فَإِنَّ اللهِ سَرِيعُ الْحِسَابِ[1]

Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.

Kwa hiyo Aya hiyo inathibitisha kuwa :“dini”ni neno maalumu linalotumika kwa ajili ya dini ya kiislamu tu. Na dini ya Kiislamu ndio dini ya haki aliyoiteremsha Mwenyeezi Mungu kwa ajili ya waja wake.

Kumerushwa tata na kasumba nyingi kuhusiana na kuwepo dini nyingi tofauti, baadhi ya watu wamedai kuwa dini zote ni sahihi, na watu wa dini yoyote watapata saada na ujira kutoka kwake Mola Mtakatifu, kwa hiyo saada haipatikani katika dini ya Kiislamu au madhehebu fulani tu, bali saada itapatikana katika dini zote.

Tata nyengine inayodaiwa ni kuwa dini ya Mayahudi na dini ya Manasara pia ni dini za Mwenyeezi Mungu na zimeteremshwa kupitia Mitume yake Allah (s.w). Hivyo kwa nini dini ya haki iwe ni dini ya Kiislamu tu?

watu hao wanathibitisha kauli na madai yao kupitia Qur-ani takatifu, pale Allah (s.w) aliposema:-

إِنَّ الَّذِينَ آمَنُواْ وَالَّذِينَ هَادُواْ وَالنَّصَارَي وَالصَّابِئِينَ مَنْ آمَنَ بِاللهِ وَالْيَوْمِ الآخِرِ وَعَمِلَ صَالِحاً فَلَهُمْ اَجْرُهُمْ عِندَ رَبِّهِمْ وَلاَ خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلاَ هُمْ يَحْزَنُونَ[2]

Hakika Walio amini, na Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika.

Maelezo kuhusiana na Aya

Muradi wa Aya hii ni kwamba jambo kubwa la kupatia mema, na kuepuka khofu na huzuni za siku ya Kiyama ni kumuamini Mwenyeezi Mungu na siku ya Mwisho, na kufanya amali njema, na hili halikuhusiana na Waislamu peke yao, bali linakusanya watu wa dini zote zilizotajwa hapo. Makubwa katika mambo mema ni kufuatwa amri za Mwenyeezi Mungu zilizobainishwa katika vitabu vyake vitakatifu, na miongoni mwa amri zilizomo katika vitabu vya Mayahudi na Manasara, ni kumuamini Mtume Mtukufu Muhammad (s.a.w.w).

Watu hao wameithibitisha kauli yao kwa sababu hizi zifuatazo:-

1. Aya hiyo inatoa himaya kwa dini tofauti na watu tofauti, na sio Dini ya Kiislamu tu, au kwa wafuasi wa dini ya Kiislamu.

2. Aya hiyo inawapa himaya na kuwalingania watu wa dini tofauti, kumuamini Mwenyeezi Mungu, kuamini siku ya Kiyama, na kufanya amali njema.

3. Aya hiyo inaunga mkono dini tofauti. Na sio dini ya Kiislamu tu. Bali watu wa dini zote watapata saada na ujira mzuri kutoka kwa Mola wao.

4. Aya hiyo imeelezea sifa tatu zitakazowafanya watu wa dini tofauti kupata saada, sifa hizo ni hizi zifuatazo:-

- Kumuamini Mwenyeezi Mungu (s.w).

- Kuamini siku ya Kiyama.

- Kufanya amali njema.

Sifa hizo ndizo zitakazomfanya mwanaadamu wa dini au madhehebu yoyote yale kuongoka na kupata saada. Basi kwa nini Waislamu wanadai kuwa ni Waislamu na wafuasi wa dini ya Kiislamu tu ndio watakaopata saada hiyo?

Hali ya kwamba Aya hiyo inasema kuwa wafuasi wa dini ya Yahudi na Nasara na Sabiina watapata saada.

Kwa kweli madai hayo sio sahihi, na hiyo ni tata finyu iliyotolewa na baadhi ya watu wa nchi za kimagharibi.

Tunayajibu madai hayo kwa kusema hivi:-

Moja: Kumuamini Mwenyeezi Mungu yaani ni kumuamini Mtume Muhammad (s.a.w.w) na kuamini Mitume yote ya Mwenyeezi Mungu na Ahlulbayt (a.s), na kuamini Malaika wake, na vile vile kuamini hukumu zote alizoteremsha Mola Muumba, miongoni mwa hizo ni sala, funga, hijja, jihadi, desturi na maamrisho yote aliyoyaamrisha Allah (s.w). Kwa hiyo vipi inakubalika mtu kuwa na imani na Mwenyeezi Mungu lakini asiwe na imani na Mitume yake na Ahlulbayt (a.s), na hukumu zake zote kijumla?

Mbili: Kwa mujibu wa itikadi hiyo, (yaani kuwa sahihi dini tofauti) basi hakuna faida yoyote ya kupewa Utume Nabii Muhammad (s.a.w.w). kwa sababu dini ya Mayahudi na Manasara zingelitosheleza. Hilo sio jambo linalokubalika kuwa Mtume Mtukufu ameteremshwa bila ya malengo au faida yoyote, kwa sababu huyo ni Mtume aliyetumwa na Allah (s.w) kwa ajili ya kuwalingania watu dini hiyo takatifu, na kwa sababu Mwenyeezi Mungu ni Hakiym, na hufanya mambo yake kutokana na hekima alizonazo, basi hafanyi jambo lisilokuwa na faida yoyote kwa waja wake na kwa wajumbe wake.

Tatu: Ni natija gani hiyo mliyoipata kutokana na Aya hiyo mliyoitumia katika kuthibitisha madai yenu?. Hali ya kwamba kuna Aya nyengine nyingi zinazothibitisha kuwa Mwenyeezi Mungu anaikubali dini ya Kiislamu peke yake, na wafuasi wa dini hiyo ndio watakaopata saada?. Pale Allah (s.w) aliposema:-

وَمَن يَبْتَغِ غَيْرَ الإِسْلاَمِ دِيناً فَلَن يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِى الآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ[3]

Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri.

Kwa hiyo dini ya Kiislamu ndiyo dini ya haki inayokubaliwa na Mwenyeezi Mungu.

Nne: Katika Qur-ani takatifu kuna Aya nyingi zinazoelezea kwa uwazi kabisa kuhusiana na akida za Mayahudi na Manasara, na Mwenyeezi Mungu amezichukia na kubainisha kuwa akida hizo sio sahihi, pale aliposema:-

وَقَالُوا اتَّخَذَ الرَّحْمَنُ وَلَداً . لَقَدْ جِئْتُمْ شَيْئاً إِدّاً . تَكَادُ السَّمَاوَاتُ يَتَفَطَّرْنَ مِنْهُ وَتَنشَقُّ الاَرْضُ وَتَخِرُّ الْجِبَالُ هَدّاً. اَن دَعَوْا لِلرَّحْمَنِ وَلَداً[4]

Na wao ati husema kuwa Arrahmani Mwingi wa Rehema ana mwana!

Hakika mmeleta jambo la kuchusha mno!

Zinakaribia mbingu kutatuka kwa hilo, na ardhi kupasuka, na milima kuanguka vipande vipande.

Kwa kudai kwao kuwa Arrahmani Mwingi wa Rehema ana mwana.

Na katika Aya nyengine anasema:-

وَقَالُواْ لَن يَدْخُلَ الْجَنَّةَ إِلاَّ مَن كَانَ هُوداً اَوْ نَصَارَي تِلْكَ اَمَانِيُّهُمْ قُلْ هَاتُواْ بُرْهَانَكُمْ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ[5]

Na walisema: Hataingia Peponi ila aliyekuwa Yahudi au Mkristo. Hayo ni matamanio yao. Sema: Leteni ushahidi wenu kama nyinyi ni wasema kweli.

Na katika Aya nyengine anasema hivi:-

وَلَن تَرْضَي عَنكَ الْيَهُودُ وَلاَ النَّصَارَي حَتَّي تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ قُلْ إِنَّ هُدَي اللهِ هُوَ الْهُدَي وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ اَهْوَاءهُم بَعْدَ الَّذِى جَاءكَ مِنَ الْعِلْمِ مَا لَكَ مِنَ اللهِ مِن وَلِيٍّ وَلاَ نَصِيرٍ[6]

Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

Na katika Surat Almaidah anasema hivi:-

يَا اَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ لاَ تَتَّخِذُواْ الْيَهُودَ وَالنَّصَارَي اَوْلِيَاء بَعْضُهُمْ اَوْلِيَاء بَعْضٍ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمْ فَإِنَّهُ مِنْهُمْ إِنَّ اللّهَ لاَ يَهْدِى الْقَوْمَ الظَّالِمِينَ[7]

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.

Maelezo kuhusiana na Aya

Aya nyingi sana zimetukataza kuwafanya wasiri wetu, na baadhi yake tumekwisha kuzitaja. Tumehimizwa kuwafanyia:-

a) Uadilifu katika haki zao.

b)Kuwafanyia mema kwa chetu na yetu, ama hapana ruhusa kuwafanya wasiri wetu, kwa kila namna hawana usafi wa roho na sisi, wana misiba ya nyoyo juu yetu na uadui wa milele.

Na katika Aya nyengine anasema hivi:-

ثُمَّ اَنتُمْ هَـؤُلاء تَقْتُلُونَ اَنفُسَكُمْ وَتُخْرِجُونَ فَرِيقاً مِّنكُم مِّن دِيَارِهِمْ تَظَاهَرُونَ عَلَيْهِم بِالإِثْمِ وَالْعُدْوَانِ وَإِن يَاتُوكُمْ اُسَارَي تُفَادُوهُمْ وَهُوَ مُحَرَّمٌ عَلَيْكُمْ إِخْرَاجُهُمْ اَفَتُؤْمِنُونَ بِبَعْضِ الْكِتَابِ وَتَكْفُرُونَ بِبَعْضٍ فَمَا جَزَاء مَن يَفْعَلُ ذٰلِكَ مِنكُمْ إِلاَّ خِزْيٌ فِى الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَيَوْمَ الْقِيَامَةِ يُرَدُّونَ إِلَي اَشَدِّ الْعَذَابِ وَمَا اللّهُ بِغَافِلٍ عَمَّا تَعْمَلُونَ[8]

Kisha nyinyi kwa nyinyi mnauwana, na mnawatoa baadhi yenu majumbani kwao, mkisaidiana kwa dhambi na uadui. Na wakikujieni mateka mnawakomboa, na hali kuwatoa mmekatazwa. Je! Mnaamini baadhi ya Kitabu na mnakataa baadhi yake? Basi hana malipo mwenye kutenda hayo miongoni mwenu ila hizaya katika maisha ya duniani, na Siku ya Kiyama watapelekwa kwenye adhabu kali kabisa. Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na yale mnayo yatenda.

Maelezo kuhusiana na Aya:

Madina kulikuwa na makabila mawili: Aws na khazraj. Watu wa makabila haya kabla ya kusilimu walikuwa mara kwa mara wakipigana, mayahudi wa madina waligawanyika makundi mawili, wengine wakaunga mkono upande wa Aws, na wengine upande wa Khazraj. Kwa hivyo wakati yanapopigana makabila mawili haya, Mayahudi wa upande mmoja walikuwa wakiua Mayahudi wenzao wa upande mwengine,, na iwapo baadhi ya jamaa zao wamekuwa mateka walikuwa wakiwakomboa, hapa wanaambiwa:-

“Iwapo mnawakomboa mateka wa kiyahudi kwa sababu ya kufuata Taurati, kwa nini mnapigana nyinyi kwa nyinyi? Na hilo pia limekatazwa katika Taurati?. Mnaamini baadhi ya Taurati na kuikanusha baadhi nyengine?.

Na kama alivyosema Mwenyeezi Mungu, walipata fedheha ya kuuliwa, kutolewa katika miji na kufanywa mateka, na siku ya Kiyama watapata adhabu iliyotajwa mwisho wa Aya.

Ama kuhusu madai ya kuwa dini ya Mayahudi na Manasara pia ni dini za Mwenyeezi Mungu na zimeteremshwa kupitia Mitume yake Allah (s.w). tunasema hivi:

* Ni sahihi kuwa dini hizo ni dini za Mwenyeezi Mungu na zilikuja kuwalingania watu kwa mujibu wa maamrisho yake Allah (s.w). lakini dini hizo hazikuwa kamili katika zama zake kabla ya kuja dini ya Kiislamu, hivyo dini ya Kiislamu imekuja kuzikamilisha dini hizo.

* Kabla ya kudhuhuru dini ya Kiislamu katika vitabu vya Mayahudi na Manasara kulielezewa kwa uwazi kabisa kuhusiana na dini hiyo.

* Baada ya kupita muda dini hizo za Mayahudi na Manasara zilipotoshwa na kuharifiwa.

* Dini za Mayahudi na Manasara zilikuja kwa ajili ya kuiunga mkono dini Tukufu ya Kiislamu.

Kwa hiyo, natija inayopatikana katika majibu hayo yaliyoelezewa ni kuwa ; neno dini lina maana maluumu, na dini ya haki ni dini ya Kiislamu peke yake, hivyo ni wadhifa wa kila mwanaadamu kufanya uhakiki kuhusiana na dini ili apate taaluma ya kutosha inayohusiana na maudhui hayo, baada ya kufanya utafiti atapata ufumbuzi, hapo anaweza kuifafanua dini, na kuchagua haki iko wapi.

Tukiendelea na maelezo yetu, vile vile kunaweza kukatokea suala kwa namna nyengine. Suala linalohusiana na uhakika wa kijumla jamala wa dini, kwa mfano ikiwa pataulizwa suala la kuwa maji ni nini?. Suala hilo linahusisha ule uhakika wa maji tu,(maji safi) (yaani uhakika wa maji kijumla), suala hilo halijafafanua ni aina gani ya maji, hali ya kwamba katika jamii kuna aina tofauti za maji, kwa mfano; maji ya mto, maji ya chem chem, maji ya bahari, maji ya kisima, maji ya mfereji, maji ya juisi mbali mbali n.k). Hivyo mtu akiulizwa suala kama hilo, akili yake inaenda moja kwa moja na yale maji yaliyozoeleka katika jamii (maji safi yanayotumiwa katika maisha yao), yaani maji kijumla. Wala suala hilo halihusiani na wanalugha, suala hilo linahusiana na shughuli za kila siku za jamii. Kwa hiyo tukiuchukua mtindo huo huo wa suala hilo linalohusiana na maji, na tukautumia kwa kuuliza suala linalohusiana na dini, kwa namna ile ile iliyotumiwa katika kuulizia uhakika wa maji, tunaweza kuuliza suala linalohusiana na uhakika wa dini kwa kusema hivi:-

Dini ni nini? Likiwa linakusudia dini ya haki na ya uhakika (yaani dini ya Kiislamu). Mwenye kuuliza suala hilo inawezeka akawa kafanya tahakiki ya dini nyingi, na sasa anataka kutambua dini ya haki ni ipi?. Kwa upande mwengine;

Suala hilo linaweza likawa linamaanisha maana ya dini au uhakika wa dini kijumla, na kwamba utandao wa dini uko katika hadi na mipaka gani?. Ukizingatia kwamba dini ina maana tofauti, (zingatia mifano tuliyoitoa kuhusiana na maji), katika jamii pia kuna dini tofauti, kwa mfano; dini ya Kiislamu, dini ya kikristo, dini ya Mayahudi, n.k. Utabiri wa suala hilo la dini unakabiliwa na matatizo mawili yafuatayo:-

1. Kama tulivyoona katika mfano unaohusiana na maji, tunaweza kujaalia kuwa, maji yaliyokusudiwa ni yale maji ambayo yanatambulikana na yamezoeleka kijumla na jamii, au inawezekana maji yaliyokusudiwa ni maji ya aina fulani.

Dini nayo vile vile, kwa muundo wa suala kama hilo, tunaweza kujaalia kuwa, suala hilo linakusudia ufafanuzi wa dini kijumla, au linakusudia dini maalumu. Ikiwa inakusudiwa dini maalumu, ambayo ni dini ya haki na uhakika hakuna shaka kuwa kiwango kinachokadiriwa kudirikiwa katika neno “dini” kiwango ambacho kinakwenda sawa na kipimo cha akili ya mwanaadamu ni dini ya “Kiislamu”.

Hivyo hatuwezi kuifafanua dini ya Kiislamu kwa mujibu wa nadharia za watu mbali mbali, au nadharia zilizobainishwa kwa kutolewa katika vitabu visivyokuwa vya elimu ya dini inayokusudiwa yaani (Islamu), au vitabu visivyokuwa vya elimu ya kalamu na akida, au hata nadharia za watu wa nchi za kimagharibi, kwa mfano Komonist wana akida ya kupinga kuwepo kwa Mwenyeezi Mungu, na kwa mtazamo wao hiyo ni aina fulani ya dini, basi vipi tunaweza kutumia nadharia zao kuiarifisha dini ya Kiislamu?.

Ndio, inawezekana kutokea mtu kasema kuwa dini zote zinashirikiana katika kuifafanua dini ya haki, kwa sababu dini zote zinaashiria mambo mbali yanayoweza kumletea mwanaadamu maendeleo katika maisha yake, (baina ya mja na mja, baina ya mja na jamii, au hata baina ya mja na Mola wake) na dini nyingi zinawalingania wanaadamu haki na wema, basi hivi kweli dini hizo ni haki?.

Kuiarifisha dini kupitia taarifa ambazo zinaweza zikawa zimekusanya ufafanuzi wa baadhi ya masharti ya dini haina maana ya kuwa dini zote ni haki na zina uhakika, inawezekana dini zaidi ya hamsini zikakusanya masharti yanayotakiwa kuwepo katika dini, lakini vile vile kukatokea baadhi ya masharti yasiyoonekana katika baadhi ya dini. Hivyo dini ya haki ni ile dini iliyokusanya masharti yote yanayotakiwa kuwepo na kuyatekeleza masharti hayo.

2. Tatizo la pili ni kwamba; vipi ushirikiano huo uliopo katika dini tofauti unaweza kutambulikana ?, ushirikiano ambao unawalingania watu katika njia sahihi, tatizo hilo linarudia katika mfano ule wa maji tulioutoa hapo nyuma, hivyo tunaweza kuthibitisha kuwa ushirikiano huo uliopo katika dini tofauti haumaanishi kuwa dini zote ni haki, kwa sababu kama tukirejea historia ya zama zilizopita tutatambua kuwa kwa mtazamo wa Waislamu, (mtazamo ambao unathibitika kiakili, kihistoria, na hata kwa mujibu wa maandiko ya vitabu vya dini) ni kwamba Kitabu cha Injili na Taurati ya Wakiristo na Mayahudi vimepotoshwa, basi vipi inaweza kuthibitishwa kuwa vitabu vya dini nyengine, (isipokuwa kitabu cha dini ya Kiislamu, Qur-ani) havijapotoshwa? Hapana shaka vitabu vya dini hizo pia vitakuwa na matatizo yake, zaidi ya matatizo hayo ya Mayahudi na Manasara, tumekiweka kando kitabu cha Qur-ani na dini ya Kiislamu kuwa hakijapotoshwa kwa sababu kuna dalili nyingi zinazothibitisha kauli hiyo, kiakili, kihistoria, na kutokana na yale yaliyonakiliwa na kuandikwa katika vitabu tofauti ya dini hiyo ya Kiislamu, na dini zilizopita, (Taurati, Injili, Zaburi), kwa ushahidi wake Allah (s.w) pale aliposema:-

إِنَّا نَحْنُ نَزَّلْنَا الذِّكْرَ وَإِنَّا لَهُ لَحَافِظُونَ[9]

Hakika Sisi ndio tulio teremsha Ukumbusho huu, na hakika Sisi ndio tutao ulinda.

Maelezo kuhusiana na Aya.

Maneno hayo ya Qur-ani yatasalia maisha bila ya kupotea hata herufi moja, na wote watakaotaka kubadilisha hata herufi moja basi watafedheheka. Itambulikane pale pale kuwa herufi hiyo siyo, kama ilivyofanya Serikali ya Kiyahudi (ya Israili) ilitabiisha Qur-ani ikabadilisha kidogo baadhi ya maneno, ikatangazwa ulimwenguni, ikajulikana papo hapo.

Kwa hiyo wakati tunapolitumia neno hilo kwa ajili ya kuiarifisha dini ni lazima tuzingatie namna ya utumiaji wake, kwa sababu neno hilo halina maana ya haki na uhakika tu bali baadhi ya wakati lina maana nyengine isiyokuwa hiyo, kwa mfano katika Surat Yusuf neno hilo (DINI) limetumika likiwa na maana ya mfumo maalumu. Pale Allah (s.w) aliposema:-

فَبَدَاَ بِاَوْعِيَتِهِمْ قَبْلَ وِعَاء اَخِيهِ ثُمَّ اسْتَخْرَجَهَا مِن وِعَاء اَخِيهِ كَذٰلِكَ كِدْنَا لِيُوسُفَ مَا كَانَ لِيَاْخُذَ اَخَاهُ فِى دِينِ الْمَلِكِإِلاَّ اَن يَشَاءَ اللّهُ نَرْفَعُ دَرَجَاتٍ مِّن نَّشَاء وَفَوْقَ كُلِّ ذِى عِلْمٍ عَلِيمٌ[10]

Basi akaanza kwenye mizigo yao kabla ya mzigo wa nduguye. Kisha akakitoa katika mzigo wa nduguye. Hivi ndivyo tulivyo mpangia Yusuf. Hakuweza kumzuia nduguye kwa sharia ya mfalme isipo kuwa alivyo taka Mwenyezi Mungu. Tunawatukuza kwenye vyeo tuwatakao; na juu ya kila ajuaye yupo ajuaye zaidi.
fupisha hii ngonjera yako, kwani huwezi kuaindika ikawa fupi mpaka unatuwekea tumwandiko vingine hata hatueleweki ni vimichoro vya nyayo ya kuku ama bata?
 
Back
Top Bottom