Buj ibrahim alitokea iraq ni kweli wote hao ni watoto wa ibrahim kumbuka watoto wa isaka yani yakobo na esau isaka akambariki yakobo ambaye ni israel na esau aliambiwa na baba yake utaishi kwa upanga toka wakati huo hao ndugu ni vita vya kutaka kutoana roho chanzo ni esau kuuza ukubwa kwa uji na kukosa baraka za baba yako kiufupi ni Mungu tu atakayemaliza matatizo ya israel na mashariki ya katiKumbe Ibrahim ni muajemi!
Kwahiyo hawa wayahudi walitokea wapi?
Hakuna anayeweza futa israel ni wateule taifa la Mungu mashariki ya kati wote wanajua israel ni nani