Wickama
JF-Expert Member
- Mar 8, 2009
- 1,466
- 1,194
Uelewa wako nauhisi ni mdogo. Nimeandika HISTORICAL facts, wewe unakimbilia FUTURE probabilities! Hapa tatizo ni wewe.Jiandae kisaikolojia kuwa disappointed.
Uelewa wako nauhisi ni mdogo. Nimeandika HISTORICAL facts, wewe unakimbilia FUTURE probabilities! Hapa tatizo ni wewe.Jiandae kisaikolojia kuwa disappointed.
Hilo bunge liliongozwa na waRepublicans, kwa wakati ule ilikuwa ni silaha yao ya kumuudhi Obama kwa makusudi, ila nakumbuka baadae kinara mpango ule alikuja jiuzulu.Netanyahu aliwezaweja kulihutubia bunge la marekani bila Obama mkuu??
Usijidanganye Trumph yuko na Israel mia kwa mia anataka kujenga ubarozi wa USA Jerusalem.Wakati mwingine mtoto ukimdekeza udhani unamwogopa, ni waafrica tu hasa watanganyika ndo wamebaki watumwa wa kifra wa Israel wazungu wameshawachoka mpaka baba mlezi US ameshaonyesha dalili ya kuwachoka na kwa Trump watapata wakati mgumu sana na muda si mrefu Israel inakwenda kuwekewa vikwazo vya uchumi na UN
Nadhani umekariri baadhi ya mambo ambayo huyaelewi vizuri, taratibu za kibunge huwa zinaruhusu kuwaalika wageni kutoka nchi nyingine, na hii ndio sababu hata kwenye bunge letu huwa kuna kipengele cha kutambulisha wageni.Nyetanyahu alienda kwa mwaliko wa Republicans ambao ndio wanachukua nchi na Trump tayari kashatia nia ya kuiunga mkono Israel tena akitaka ubalozi uwe Jerusalem. Pengine hii itakusaidia zaidi kwani ilikuwa completely at loss.Uelewa wako nauhisi ni mdogo. Nimeandika HISTORICAL facts, wewe unakimbilia FUTURE probabilities! Hapa tatizo ni wewe.
Hahahahahhahaha nataka kukwambia katika watu wakiongea kitu hawamaanishi kutoka moyoni ni Trump na katika watu ambao dunia aiwaamini na wameshindwa kujua msimamo wake kabisa ni Trump niambie tu kitu kimoja tu alichosema ktk kampeni yke bado anasema atakitekeleza kwa 100% kama alivyosema? kuanzia ukuta Mexico sasa ni face tena ya senyenge si ukuta tena ok alisema ataondoa Obama care sasa kuilekebisha si kuondoa alisema atafukuza wahamiaji wote haramu US kuna watu milion 8 ni wahamiaji haramu lakini sasa wataondoka watu milion 3 tena wale wenye makosa ya jinai vipo ving sana alisema lakini now kabadilisha pia unatakiwa kujua Trump si mwanasiasa na hajawai kufanya kazi sehemu yeyote zaid ya Trump empire kwa maaana ya biashara zake tu na swala la Israel ni swala la kisiasaUsijidanganye Trumph yuko na Israel mia kwa mia anataka kujenga ubarozi wa USA Jerusalem.
Nadhani umekariri baadhi ya mambo ambayo huyaelewi vizuri, taratibu za kibunge huwa zinaruhusu kuwaalika wageni kutoka nchi nyingine, na hii ndio sababu hata kwenye bunge letu huwa kuna kipengele cha kutambulisha wageni.Nyetanyahu alienda kwa mwaliko wa Republicans ambao ndio wanachukua nchi na Trump tayari kashatia nia ya kuiunga mkono Israel tena akitaka ubalozi uwe Jerusalem. Pengine hii itakusaidia zaidi kwani ilikuwa completely at loss.
Israel ndo mjenz nambar one wa taifa la AmericaKuna Wamarekani wanauliza, Waisrael kwa nini wailaumu Marekani wakati Marekani ni Taifa huru lina haki ya kuexercise any foreign policy inayoitaka?.
Wanauliza kama Israel wanasema wao ni ally wa Marekani, je Wao Israel wanaipa nini Marekani, mbona ni Marekani pekee ndo inaipa misaada Israel, na huwa inawalinda kwenye security council?
Hakuna lolote hapa Obama kesho kutwa out ndo utajua Israel ni nchi ya aina gani hats bila marekan itajitetea.
Tatizo mmekaririshwa, soma sana akina Max na Plato, Mungu aliumba viumbe wote sawa tofaut ni mazingira tu,,,, Marekani imeendelezwa na Mwingereza hapo kabla ya uhuru na baada ya uhuru wake, imeendelezwa na watu wa dunia nzima,,,,,, Akina Einstein wasiwachanganye ni myahudi sehemu ya watu wengine wa dunia hii waliovumbua vitu vya kutishaIsrael ndo mjenz nambar one wa taifa la America
Israel ndo mjenz nambar one wa taifa la America