Israel: Wafungwa Sita akiwemo Kamanda wa Kipalestina wa AL Aqsa brigade watoroka jela Imara

Tukio hili, wapalestina husherekea, dunia hulikejeli na wayahudi vichwa hupasua kwa aibu walio ipata.
20210907_130348.jpg
Screenshot_20210907-123528_Chrome.jpg
20210907_130315.jpg
Internet_20210907_130051.jpg
WhatsApp-Image-2021-09-06-at-10.03.42-1024x640.jpg
 
Kwa watu wasio fahamu mambo ya ujasusi na covert operations za mossad,shabak,wanaweza wakafurahia hili tukio!!
Kwa wenye macho ya kijasusi,Ili tukio linaweza kuwa ni operation iliyoandaliwa na vyombo vya ujasusi vya Israel,Kati ya "waliotoroka"Kuna mmoja ameishakuwa "recruited"kufanya kazi na Israel,sasa Ili aweze kuwa source nzuri ya taarifa inabidi aachiwe,arudi kwenye kikundi chake,iwe Hamas,fatah,palestina authority?!!swali ataachiwaje?ni ama afungwe mpaka kifungo kiishe,au tukio la kutoroka lipangwe,Ili atoroke,Kiasi kwamba kwa macho ya raia wa kawaida wataona kweli jamaa katoroka,na viongozi wenzie watamkaribisha,atakuwa karibu na viongozi wa juu kabisa wa mamlaka za kipalestina!!na hapo Israel itakuwa imefanikiwa kupandikiza spy wao ndani kabisa jikoni.
Hizi ni intelligence operations.
Kwenye magereza yote Israel Kuna mbwa,fence,drone,askari wenye silaha harafu mfungwa achimbe shimo kwenye sakafu mpaka atokee upande wa pili??!
C mon men let's us not be naive!!
It can only happen in movies or dreams!not in Israel prisons
Movie + propaganda vimekuathiri mkuu , waulize delta force waliopelekwa Somali na Vietnam kitu kilichowakuta hawatokuja kusahau
 
The occupation detained a number of officers in the Israeli occupation Prison Service to investigate them, after suspecting their involvement in the escape of the 6 prisoners from Gilboa Prison, according to Israeli media.

#NewPress_en
#FreedomTunnel
 
Back
Top Bottom