Israel: Wafungwa Sita akiwemo Kamanda wa Kipalestina wa AL Aqsa brigade watoroka jela Imara

Jumong S

JF-Expert Member
Jul 3, 2013
7,312
10,492
Ni kama Series ya Prison break. Wapiganaji wa Kipalestina wa brigade ya AL Aqsa wamefanikiwa kutoroka jela yenye ulinzi mkali liitwalo 'Safe' huko Gilboa Israel. Jamaa Hawa wamechimba shimo chini ya sink la Kunawia likatokea mashamba ya jirani ya barabara.

Jeshi linaamini kuwa Hawa jamaa walitumia koleo waliloficha kwenye bango na walichimba shimo Hilo kwa miezi kadhaa.

Wanakijiji walitoa taarifa kwa Serikali baada ya kuona watu wasiojulikana mashambani.

Hamas na vikundi vingine vya kiislam vimeusifu ushujaa huo wa askari wao na kusema hawazuiliki.

Mamlaka za Israel zimeweka vizuizi ili kuwakamata. Inasemekana jamaa wamechukuliwa na Gari ambalo walikua wakiwasiliana nalo kwa simu ya wizi.
 
Kwa watu wasio fahamu mambo ya ujasusi na covert operations za mossad,shabak,wanaweza wakafurahia hili tukio!!
Kwa wenye macho ya kijasusi,Ili tukio linaweza kuwa ni operation iliyoandaliwa na vyombo vya ujasusi vya Israel,Kati ya "waliotoroka"Kuna mmoja ameishakuwa "recruited"kufanya kazi na Israel,sasa Ili aweze kuwa source nzuri ya taarifa inabidi aachiwe,arudi kwenye kikundi chake,iwe Hamas,fatah,palestina authority?!!swali ataachiwaje?ni ama afungwe mpaka kifungo kiishe,au tukio la kutoroka lipangwe,Ili atoroke,Kiasi kwamba kwa macho ya raia wa kawaida wataona kweli jamaa katoroka,na viongozi wenzie watamkaribisha,atakuwa karibu na viongozi wa juu kabisa wa mamlaka za kipalestina!!na hapo Israel itakuwa imefanikiwa kupandikiza spy wao ndani kabisa jikoni.
Hizi ni intelligence operations.
Kwenye magereza yote Israel Kuna mbwa,fence,drone,askari wenye silaha harafu mfungwa achimbe shimo kwenye sakafu mpaka atokee upande wa pili??!
C mon men let's us not be naive!!
It can only happen in movies or dreams!not in Israel prisons
 
Kwenye magereza yote Israel Kuna mbwa,fence,drone,askari wenye silaha harafu mfungwa achimbe shimo kwenye sakafu mpaka atokee upande wa pili??!
C mon men let's us not be naive!!
It can only happen in movies or dreams!not in Israel prisons
Ushasema mwenyewe wametokea upande wa pili.

Upande wa pili hakuna hao mbwa, drone, fence, askari… Use your noodles.

Makomandoo wa Kipalestina wamechomoka jela la MOSAD….

Mapambano bado yanaendelea
 
Kwa watu wasio fahamu mambo ya ujasusi na covert operations za mossad,shabak,wanaweza wakafurahia hili tukio!!
Kwa wenye macho ya kijasusi,Ili tukio linaweza kuwa ni operation iliyoandaliwa na vyombo vya ujasusi vya Israel,Kati ya "waliotoroka"Kuna mmoja ameishakuwa "recruited"kufanya kazi na Israel,sasa Ili aweze kuwa source nzuri ya taarifa inabidi aachiwe,arudi kwenye kikundi chake,iwe Hamas,fatah,palestina authority?!!swali ataachiwaje?ni ama afungwe mpaka kifungo kiishe,au tukio la kutoroka lipangwe,Ili atoroke,Kiasi kwamba kwa macho ya raia wa kawaida wataona kweli jamaa katoroka,na viongozi wenzie watamkaribisha,atakuwa karibu na viongozi wa juu kabisa wa mamlaka za kipalestina!!na hapo Israel itakuwa imefanikiwa kupandikiza spy wao ndani kabisa jikoni.
Hizi ni intelligence operations.
Kwenye magereza yote Israel Kuna mbwa,fence,drone,askari wenye silaha harafu mfungwa achimbe shimo kwenye sakafu mpaka atokee upande wa pili??!
C mon men let's us not be naive!!
It can only happen in movies or dreams!not in Israel prisons
Majasusi wa JF bwahahaha
 
Kwa watu wasio fahamu mambo ya ujasusi na covert operations za mossad,shabak,wanaweza wakafurahia hili tukio!!
Kwa wenye macho ya kijasusi,Ili tukio linaweza kuwa ni operation iliyoandaliwa na vyombo vya ujasusi vya Israel,Kati ya "waliotoroka"Kuna mmoja ameishakuwa "recruited"kufanya kazi na Israel,sasa Ili aweze kuwa source nzuri ya taarifa inabidi aachiwe,arudi kwenye kikundi chake,iwe Hamas,fatah,palestina authority?!!swali ataachiwaje?ni ama afungwe mpaka kifungo kiishe,au tukio la kutoroka lipangwe,Ili atoroke,Kiasi kwamba kwa macho ya raia wa kawaida wataona kweli jamaa katoroka,na viongozi wenzie watamkaribisha,atakuwa karibu na viongozi wa juu kabisa wa mamlaka za kipalestina!!na hapo Israel itakuwa imefanikiwa kupandikiza spy wao ndani kabisa jikoni.
Hizi ni intelligence operations.
Kwenye magereza yote Israel Kuna mbwa,fence,drone,askari wenye silaha harafu mfungwa achimbe shimo kwenye sakafu mpaka atokee upande wa pili??!
C mon men let's us not be naive!!
It can only happen in movies or dreams!not in Israel prisons
Sawa jasusi..
Ulieathirika na movies
 
Wapiganaji 6 hatari wa kipalestina 4 kati yao wafungwa wa maisha, watoroka jela ya Gilboa yenye ulinzi mkali kaskazini mwa Israel. Wafungwa hao walitumia mbinu ya kuchimba shimo chooni nakupitia nje ya ukuta wa jela baadae kutokomea kusiko julikana.


israel-prison-escape.jpg
1083805904_0_67_3077_1732_1000x541_80_0_0_f65833871c1b47a41eae035a4ab306c9.jpg

===
Israeli security forces launched a manhunt Monday for six Palestinian prisoners who escaped overnight from one of the country’s highest-security prisons through a hole in their bathroom.

A security official said the fugitives fled down a shaft beneath the bathroom floor and then sneaked through underground passages in the prison’s foundation.

Israeli police responded in large numbers, erecting roadblocks after the rare jailbreak from the Gilboa prison in northern Israel. Security forces patrolled streets in the north of the country and the occupied West Bank, as helicopters flew above.

Prime Minister Naftali Bennett described the escape as a “grave incident.” Arik Yaacov, northern commander of the Israeli Prisons Service, said an investigation was underway and the six men appeared to have found a flaw in the facility rather than tunneled the entire way out. It was not immediately clear whether they had help from outside to orchestrate the escape.

The Gilboa prison, located about two miles from the West Bank, is one of the most heavily guarded in the country.
The men on the run range in age from 26 to 49 years old, the Palestinian Prisoners Society said. At least four had been serving life sentences, with one of them detained since 1996.

The Israeli Prisons Service said five of the prisoners had links to the Islamic Jihad movement, which called the breakout “a heroic act that will shock the Zionist defense system.” The group commended them in a statement for “snatching their freedom with their fingertips from under the eyes and ears of the occupier.”

Among the six fugitives is Zakaria Zubeidi, 46, who had been jailed since 2019 and was a former commander of the al-Aqsa Martyrs Brigades in the West Bank town of Jenin during the second Palestinian uprising, which began in September 2000.

Authorities were planning to move 400 inmates to other prisons to avoid other jailbreak attempts, Israel’s Army Radio
 
Kwa watu wasio fahamu mambo ya ujasusi na covert operations za mossad,shabak,wanaweza wakafurahia hili tukio!!
Kwa wenye macho ya kijasusi,Ili tukio linaweza kuwa ni operation iliyoandaliwa na vyombo vya ujasusi vya Israel,Kati ya "waliotoroka"Kuna mmoja ameishakuwa "recruited"kufanya kazi na Israel,sasa Ili aweze kuwa source nzuri ya taarifa inabidi aachiwe,arudi kwenye kikundi chake,iwe Hamas,fatah,palestina authority?!!swali ataachiwaje?ni ama afungwe mpaka kifungo kiishe,au tukio la kutoroka lipangwe,Ili atoroke,Kiasi kwamba kwa macho ya raia wa kawaida wataona kweli jamaa katoroka,na viongozi wenzie watamkaribisha,atakuwa karibu na viongozi wa juu kabisa wa mamlaka za kipalestina!!na hapo Israel itakuwa imefanikiwa kupandikiza spy wao ndani kabisa jikoni.
Hizi ni intelligence operations.
Kwenye magereza yote Israel Kuna mbwa,fence,drone,askari wenye silaha harafu mfungwa achimbe shimo kwenye sakafu mpaka atokee upande wa pili??!
C mon men let's us not be naive!!
It can only happen in movies or dreams!not in Israel prisons
Wataufanyia kazi ushauri wako. Hao wote waliotoroka hawatopewa vyeo vyovyote vile ila watapelekwa mapumziko Afghanistan 😂😂😂
Nalog off
 
Fawzi Barhoum : Kutoroka jela mateka wa Palestina ni hatua ya kishujaa
Fawzi Barhoum : Kutoroka jela mateka wa Palestina ni hatua ya kishujaa
Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, hatua ya mateka 6 wa Kipalestina ya kutoka kwenye jela ya utawala wa Kizayuni licha ya kuweko ulinzi mkali, ni ya kishujaa.

Fawzi Barhoum amesema hayo na kuongeza kuwa, huo ni ushindi wa kweli na ni changamoto nzito kwa taasisi za usalama za utawala wa Kizayuni ambazo licha ya kuweka sheria kali, ulinzi mkubwa na ukatili wa kuchupa mipaka, lakini wameshindwa kuwazuia mashujaa hao wa Palestina kukimbia katika jela ya Wazayuni.

Amesema, kufanikiwa mateka hao wa Palestina kutoroka mikononi mwa makucha ya wanajeshi wa Israel kumethibitisha kwamba, adui Mzayuni kamwe hatoshinda licha ya kutumia nguvu za kila namna na ukatili usio na mfano. Mapambano ya wananchi wa Palestina yataendelea hadi watakapokomboa kila shibri ya ardhi yao inayokaliwa kwa mabavu na walowezi wa Kizayuni.


Jela yenye ulinzi mkali ya Gilboa ya utawala wa Kizayuni


Kabla ya hapo pia, harakati ya HAMAS pamoja na za Jihad al Islami na Mujahidina wa Palestina zilitoa taarofa tofauti na kuwapongeza mateka hao wa Kipalestina kwa kufanya ushujaa wa kutoroka kwenye jela ya Wazayuni. Harakati hizo tatu za mapambano za Palestina aidha zimesema kwenye taarifa zao kwamba huo ni ushindi mkubwa kwa taifa la Palestina kwani kuna ulinzi mkubwa na mkali sana katika jela za Wazayuni lakini pamoja na hayo, wanamapambano hao wa Palestina wamefanikiwa kutoroka.

Mateka 6 wa Palestina waliokuwa wanashikiliwa katika jela ya kutisha ya Gilboa ya Kizayuni iliyoko kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel, wamefanikiwa kutoroka kwenye jela hiyo baada ya kuchimba makumi ya njia za chini ya ardhi.
 
Back
Top Bottom