Dunia yote macho hayapo China na Taiwan wala Ukraine na Russian. Macho yapo gaza ambapo Kikosi maalumu kilichopikwa kikapikika kina tekeleza kazi maalumu ambayo magaidi wakikundi cha kijihadi ambacho kimeleta madhara makubwa na kuifanya serikali ya Benet kuanguka sasa wanavuna utam wakile walikifanya kwa Taifa linalo ogopwa hata na mataifa makubwa duniani.
Ktk hali isio yakawaida Israel wameamua kuuthibitishia ulimwengu never ever threat us and if you think you can kindly ask German and PLo leader.
Taifa la Israel limefanikiwa kuwa uwa kikatili two command of Jihad group ambao walikuwa wakitumiwa kutekeleza mauwaji na mashambulizi ndani ya Israel. Zipo tetesi operation Israel wameiyanzisha itakula vichwa kadhaa vya top Jihad Group na hii operation itapanuliwa mpaka mataifa nje ya Israel.
Ikumbuwek kuwa operation hii ni special kwa makundi yakigaidi ambayo mfadhili wake ni Iran . Israel wamesema wanafanya hii operation pasipo kujali wapi wana Jihad wamejificha ila popote walipo ktk uso wa dunia wajiandae. Hakutokuwa na msalia mtu Iran kama mwanaume aingie watu wamalize.
Taifa la Israel ni Taifa lina tisha sna ktk maswala ya ujasusi kiasi inasemekana hata ziara ya Rais wa Marekani nakukaa siku tatu ilikuwa kupata taarifa yakile walikuwa wamekipata tayari kwa ku eliminate. Hilo kundi
Ktk hali isio yakawaida Israel wameamua kuuthibitishia ulimwengu never ever threat us and if you think you can kindly ask German and PLo leader.
Taifa la Israel limefanikiwa kuwa uwa kikatili two command of Jihad group ambao walikuwa wakitumiwa kutekeleza mauwaji na mashambulizi ndani ya Israel. Zipo tetesi operation Israel wameiyanzisha itakula vichwa kadhaa vya top Jihad Group na hii operation itapanuliwa mpaka mataifa nje ya Israel.
Ikumbuwek kuwa operation hii ni special kwa makundi yakigaidi ambayo mfadhili wake ni Iran . Israel wamesema wanafanya hii operation pasipo kujali wapi wana Jihad wamejificha ila popote walipo ktk uso wa dunia wajiandae. Hakutokuwa na msalia mtu Iran kama mwanaume aingie watu wamalize.
Taifa la Israel ni Taifa lina tisha sna ktk maswala ya ujasusi kiasi inasemekana hata ziara ya Rais wa Marekani nakukaa siku tatu ilikuwa kupata taarifa yakile walikuwa wamekipata tayari kwa ku eliminate. Hilo kundi