Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,934
Ndugu zangu waislamu na wasiokuwa waislamu, naomba mufungue hiyo YOUTUBE ni ya hivi karibuni, muone hao waisrael jinsi gani walivyo makatili dhidi ya waislamu, wamerusha mabomu ya machozi/Tea gas grenades hali yakuwa waislamu wakiwa katika ibada na kusababisha waumini kukatiza sala na kukimbia hovyo na wengine kugaragara chini. Sub hanallah! inasikitisha sana kuona ndugu zetu wapalestina wakitaabika dhidi ya hawa madhaalim waliolaaniwa 😢😢😢 Allah atawalipa!
May Allah protect them, Amiin!
May Allah protect them, Amiin!