Israel siyo taifa teule

Wapalestina wanavyokong'otwa huko gaza ndio kunakufanya useme Israel sio taifa teule?. Unahitaji muda zaidi kutafakari hili, munkari wako kwenye wapalestina kuuliwa kama kuku kusikufanye useme Israel sio taifa teule. Kaisome biblia vzr (kama wewe ni mkristo). Kama sio mkristo, achana na hy batam bro, utaishia pabaya.
Kutangatanga kwao ni maandiko yanatimia ...... ilikuwa lazima wachukuliwe utumwani. Walipokuwa utumwani ndio wapalestina wakajitwalia nchi yao, wenye nchi wamerudi bro, safisha safisha inaendelea.
Na usichojua ni kwamba vita ya 3 ya dunia kitovu chake ni Jerusalem, Israel. Hata biblia imetabir hilo na dalili zimeanza kuonekana.
Soma ufunuo wa yohana mbona Kila kitu kipo waziView attachment 1787901
Screenshot_20210515-215000.jpg
 
Wayahudi wana dini yao,sio wakristo ila wanaheshimu dini nyingine mbili zilizo pale Jerusalem yaani Islam na Christian.
Pili kitu wanachopigania Wayahudi ni sawa na watu weusi waliokuwa wakitawala Misri lakini wanaondolewa na wavamizi waarabu .
Tena sio hapo tu na kaskazini ya Afrika ilikuwa ya watu weusi.
Lakini labda jambo la msingi si wapalestina wala Wayahudi ndio wamiliki wa mwanzo wa eneo hilo.
Kulikuwa na wazawa Wafilisti na makabila mengine.Hao Wayahudi na Wapalestina ni kizazi cha Ibrahim muhamiaji kutoka Persia au Mashariki ya Iraq ya leo.
Unajua maana ya philist (philistine), kwa nijuavyo mimi hili neno ndiyo Palestine.
 
Wapalestina ni Ukoo wa Ismael lakini baba yao mmoja ni Ibrahim


Sio kweli kwani makabila mengine ya Waarabu yalikuwepo kabla ya Ibrahimu hajahamia maeneo hayo kutoka Ur ya Kardayo (Uturuki) na moja ya makabila hayo ni Wafikisti (Philistines ,Wapelestina).

Waarabu waliokuwa uzao wa Ibrahimu ni Waismael wana wa khedari na wengi wao walitokea Saudia mahali ambapo Ismail aliishi yeye na mama yake baada ya kuachwa na Ibrahimu eneo hilo na baada ya miaka kadhaa Ibrahimu aliporudi eneo hilo kipindi Ismail kisha kuwa mkubwa na eneo hilo limeshakuwa na majazi ya watu kwasababu Maji ya zamzam yalikuwepo hapo, ndipo Wakainua kuta za nyumba tukufu ya makka, hao watu waliojumuika hapo kwenye hiyo chemchem na kufanya makazi hapo Walikuwa ni Waarabu ambao sio Wazao wa Ibrahim (as) ni kutokana na hao Waarabu ndimo Ismail alipata mke.

Unapozungumzia Waisraeli lazima Uanze hivi:- Ibrahimu----Isihaka--- Yakubu (Israeli)---Makabila/koo 12 za waisraeli.

Na unapozungumzia Waarabu WALIITOKANA NA Ibrahimu unatakiwa uanze hivi: Ibrahimu---Ismail----- khedari-----Waarabu wa Ismail. Hivyo utaona sio waarabu Wote wametokana na uzao wa Ismaili au uzao wa Ibrahimu.
 
😀 Unachokitafuta utakipata. Hakuna mtu, au taifa linaloweza ku mess up na hawa watoto wa Yakobo akatoka salama.


Hawa ni Wakorofi tangu Babu yao Jakobo aliyepigana mieleka na Mungu (soma Biblia), Firauni wa Misri aliwaona ni wakorofi ndipo akawatia utumwani na akawapa mateso makali nk, akaja Nebuchadnezzar mfalme wa Babylon akawateka makabila 10 na kuwatia utumwani kwa miaka kadhaa na alipowaachia huru hawakurudi tena Palestine bali wakatawanyika kama kumbikumbi sehemu mbalimbali za dunia: Ulaya, India, Bara arabu, Iran, Afghanistan nk, huko Ulaya Wazungu wakawapa kichapo na mateso makubwa na mateso ya karibuni ni mateso ya Hitler , dunia ikawaonea huruma jinsi walivyotangatanga na mateso yao ikaamua kuwatafutia makazi ili wajibanze kwani waliishi kama kuku au mbuzi asiyekuwa na mchungaji, wakapewa kipande cha ardhi hapo Palestina ambako tayari Identification yao ilikuwa imeshafutika kipindi hicho (1948), sasa wanataka kuwafuta Wapalestina kwa kumega ardhi yao kwa mabavu kwa kusaidiwa na mataifa makubwa na ndio maana hadi leo Palestine haijapewa hadhi ya NCHI sababu ni njama kwamba baadaye imezwe na Israeli.

Nataka kukuambia kuwa haiwezekani kwa taifa "TEULE" la Mungu kupata misukosuko kiasi hicho lazima litakuwa ni taifa la shetani ambalo Mungu analiadhibu, tangu wawekwe hapo Israel hadi leo ni vita tu na majirani zake tupilia mbali vikundi vya HAMAS na Islamic jihad anavyopambana navyo, Kifupi ni kwamba Waisraeli hawana amani kamwe na hiyo ni adhabu kutoka kwa Mungu jinsi historia inavyoonyesha hivi hilo sio taifa TEULE.
 
Hawa ni Wakorofi tangu Babu yao Jakobo aliyepigana mieleka na Mungu (soma Biblia), Firauni wa Misri aliwaona ni wakorofi ndipo akawatia utumwani na akawapa mateso makali nk, akaja Nebuchadnezzar mfalme wa Babylon akawateka makabila 10 na kuwatia utumwani kwa miaka kadhaa na alipowaachia huru hawakurudi tena Palestine bali wakatawanyika kama kumbikumbi sehemu mbalimbali za dunia: Ulaya, India, Bara arabu, Iran, Afghanistan nk, huko Ulaya Wazungu wakawapa kichapo na mateso makubwa na mateso ya karibuni ni mateso ya Hitler , dunia ikawaonea huruma jinsi walivyotangatanga na mateso yao ikaamua kuwatafutia makazi ili wajibanze kwani waliishi kama kuku au mbuzi asiyekuwa na mchungaji, wakapewa kipande cha ardhi hapo Palestina ambako tayari Identification yao ilikuwa imeshafutika kipindi hicho (1948), sasa wanataka kuwafuta Wapalestina kwa kumega ardhi yao kwa mabavu kwa kusaidiwa na mataifa makubwa na ndio maana hadi leo Palestine haijapewa hadhi ya NCHI sababu ni njama kwamba baadaye imezwe na Israeli.

Nataka kukuambia kuwa haiwezekani kwa taifa "TEULE" la Mungu kupata misukosuko kiasi hicho lazima litakuwa ni taifa la shetani ambalo Mungu analiadhibu, tangu wawekwe hapo Israel hadi leo ni vita tu na majirani zake tupilia mbali vikundi vya HAMAS na Islamic jihad anavyopambana navyo, Kifupi ni kwamba Waisraeli hawana amani kamwe na hiyo ni adhabu kutoka kwa Mungu jinsi historia inavyoonyesha hivi hilo sio taifa TEULE.
Nakuja tu kionjo
IMG_20210513_124556.jpg
 
Ukisema kuwa Israeli sio taifa teule kea kigezo hicho ni ujinga wa biblia na elimu ya Mungu. Mungu wetu ni mwenye Huruma Ndio lakini Mungu Hana Huruma lakini upendo wake kwetu ni mkuu haina kifani.

Israeli nibtaifa teule kea mujibu wa biblia. Hivi ulitaka taifa teule waishi kama kondoo? Au wasitende dhambi? Mwanadamu yeyote aliyechini ya jua anatenda dhambi. Israeli pia, anatenda dhambi. Lakini hiyo haiondoi kuwa taifa teule. Israeli pia Wana. Adhabu yao siku ya mwisho kama wanadamu wengine. Na matendo yapo yamewekwa wazi lakini wao si kama sie.
 
Hawa ni Wakorofi tangu Babu yao Jakobo aliyepigana mieleka na Mungu (soma Biblia), Firauni wa Misri aliwaona ni wakorofi ndipo akawatia utumwani na akawapa mateso makali nk, akaja Nebuchadnezzar mfalme wa Babylon akawateka makabila 10 na kuwatia utumwani kwa miaka kadhaa na alipowaachia huru hawakurudi tena Palestine bali wakatawanyika kama kumbikumbi sehemu mbalimbali za dunia: Ulaya, India, Bara arabu, Iran, Afghanistan nk, huko Ulaya Wazungu wakawapa kichapo na mateso makubwa na mateso ya karibuni ni mateso ya Hitler , dunia ikawaonea huruma jinsi walivyotangatanga na mateso yao ikaamua kuwatafutia makazi ili wajibanze kwani waliishi kama kuku au mbuzi asiyekuwa na mchungaji, wakapewa kipande cha ardhi hapo Palestina ambako tayari Identification yao ilikuwa imeshafutika kipindi hicho (1948), sasa wanataka kuwafuta Wapalestina kwa kumega ardhi yao kwa mabavu kwa kusaidiwa na mataifa makubwa na ndio maana hadi leo Palestine haijapewa hadhi ya NCHI sababu ni njama kwamba baadaye imezwe na Israeli.

Nataka kukuambia kuwa haiwezekani kwa taifa "TEULE" la Mungu kupata misukosuko kiasi hicho lazima litakuwa ni taifa la shetani ambalo Mungu analiadhibu, tangu wawekwe hapo Israel hadi leo ni vita tu na majirani zake tupilia mbali vikundi vya HAMAS na Islamic jihad anavyopambana navyo, Kifupi ni kwamba Waisraeli hawana amani kamwe na hiyo ni adhabu kutoka kwa Mungu jinsi historia inavyoonyesha hivi hilo sio taifa TEULE.
Uko sahihi kabisa. Baba yao Yakobo (Israel) toka achukue haki ya uzaliwa wa kwanza hakuwahi kuishi kwa amani hadi vizazi vyake leo hii. Baada ya ule uongo ilibidi akimbilie kwa mjomba wake aitwae Laban. Ambapo pia baadae alihama. Karibu na mwisho wa maisha yake akahamia Misri. Kiufupi ni taifa lenye laana ya kurithi.
 
Uisilamu, kwanza ni Qur'an , lete aya ya Qur'an kuthibitisha madai yako kwamba UYAHUDI ni Ukafiri.
Tena naongezea hapa UYAHUDI ni UKAFIRI na ni USHIRIKINA kadhalika.

Soma sura ya tisa katika Qur'aan aya ya 30 mpaka 33.

Kadhalila UKADIANI nao siyo UISLAMU.
 
Uko sahihi kabisa. Baba yao Yakobo (Israel) toka achukue haki ya uzaliwa wa kwanza hakuwahi kuishi kwa amani hadi vizazi vyake leo hii. Baada ya ule uongo ilibidi akimbilie kwa mjomba wake aitwae Laban. Ambapo pia baadae alihama. Karibu na mwisho wa maisha yake akahamia Misri. Kiufupi ni taifa lenye laana ya kurithi.
Kule Misri aliitwa na mtoto wake Yusuf amani ya Allah iwe juu yao,baada ya nabii Yusufu kupata nafasi katika utawala.
 
ISRAEL SIO TAIFA TEULE

Natumaini mu wazima wote.

Leo tena natumia haki yangu ya kikatiba kutoa maoni yangu kwenye mambo mbalimbali. Leo nyundo yangu itagonga kwenye hii kauli kwamba Israel ni taifa teule na atakayeilaani Israel naye atalaaniwa pia atakaeibariki naye atabarikiwa. Ila kwanza nitoe pongezi zangu kwa Mama Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa nchi yetu. Ninafurahishwa pia kwa hatua kadhaa anazochukua ili kuweka mambo sawa. Kumsimamisha kazi fedhuli Sabaya ni jambo lililonifurahisha kuliko yote yaliyowahi kufanywa na marais wa nchi hii.

Ndugu Sabaya ni mfano halisi wa mtu katili.. wengi wetu ni wahanga wa ukatili wake. Kwa asiyeelewa vizuri kiwango cha ukatili wa Sabaya akatazame movie ya Idd Amin ili kujua kiasi cha ukatili kwasababu hakipishani sana na kina Idd Amin na Malyamungu. Lakini sijafurahi Mheshimiwa Polepole kutolewa kwenye uenezi CCM. Ali-fit sana pale. Anyway, CCM ni kubwa kuliko mtu. Kidumu chama cha mapinduzi! Zidumu fikra za mwenyekiti.

"ISRAEL NI TAIFA TEULE" ni kauli maarufu sana kwenye vinywa vya waumini wengi wa dini ya kikristo. Mimi ni mkristo na ninaamini katika biblia na pia naamini Yesu Kristo ndo masihi aliyetumwa afe kwa ajili yetu tupate kuokoka. Lakini ninapinga kwa nguvu zote kwamba Israel ni taifa teule kwamba atakayalilaani atalaaniwa na atakayelibariki atabarikiwa. Kwangu mimi ni upumbavu uliotukuka kuamini hivyo. Msingi wa hoja ya wakristo wengi katika hili upo kwenye biblia kitabu cha Mwanzo.

Kuna wakati Mungu alimbariki Ibrahim na Yakobo (Israel) na kuwaahidi atabariki hadi vizazi vyao. Hili ni sawa kwasababu Mungu ni mwema na mwenye upendo na hubariki watu wake. Kila binadamu anapozaliwa hupata zawadi ya kipaji fulani kutoka kwa Mungu. Kila mmoja wetu ana kipaji chake. Na ukimcha Mungu hukupa zawadi nyingi zaidi. Kwa kusema hivyo ni kwamba Yakobo ambaye baada ya kupata baraka zake alibadilishwa jina na kuitwa Israel alipata baraka zake kama ilivyo binadamu wote.

Pamoja na baraka za Mungu bado haitufanyi tuwe wateule na wengine wasiwe wateule. Mungu hutupa baraka zake bila kujali kama tutakuja kukiuka maagizo yake au la. Kwahiyo nje ya baraka kuna maisha mengine yanaendelea. Waisrael hawana uteule wowote ni kama walivyo watanzania, wacongo au taifa lolote lile. Ninaandika haya kwa uchungu mno kwasababu ya matendo maovu wanayoyafanya dhidi ya wapalestina halafu mpuuzi mmoja anatetea kwa kusema ni taifa teule.

Hawa viumbe hawana uteule wowote ule. Kwanza kihistoria ni watu wa kutangatanga sana matokeo yake wakajikuta "hawana kwao". Biblia inaonyesha kwamba baba wa Israel aliyekuwa akijulikana kama Yakobo mwanzoni alitenda dhambi ya uongo kwa kuchukua baraka za mzaliwa wa kwanza kihuni ambapo baada ya lile tukio huyu mtu alikuwa wa kutangatanga hadi leo hii. Na kama Israel ni taifa teule ikawaje wakaachwa watawaliwe na warumi na hata karne iliyopita walichomwa moto kikatili na Adolf Hitler. Nimalizie kwa kusema kwamba kinachoendelea GAZA ni ushetani uliovuka mipaka yote ya kistaarabu na wa kulaaniwa.

Haiwezekani wapumbavu fulani katika kivuli cha ukristo wakawa na utetezi dhaifu kwamba taifa teule lina haki ya kuua watu kama nzige kisa mwasisi wao kuna kipindi alibarikiwa. Mungu wetu ni wa upendo na asihusishwe na unyama unaofanywa na wayahudi. Pia wakristo wenye kiherehere cha kuwatetea wayahudi watambue hao ndo walimuua Yesu kikatili.

Pilato aliyekuwa hakimu alitaka kutumia nafasi ya kusamehe mfungwa mmoja ili Yesu asalimike ila hao "Taifa teule" wakaona bora jambazi Baraba aachiwe ili Yesu asulubiwe. Na "taifa teule" sio wakristo hivyo hata wenyewe wanashangaa baadhi yetu tunavyoshoboka.
wenyewe wayahudi wanasema Yesu alikuwa janja janja tu mission town alikuwa anajuwa dini kidogo akawa anahubiri tu lakini sio Messiah na Mary alikuwa mdangaji alizaa nje ya ndoa ndivyo wanavyoamini na kwamba Messiah wa kweli bado hajaja ila atakuja kwao.
 
Acha porojo. Biblia nimesoma kuliko unavyodhani. Israel wanachofanya ni upuuzi
Tuseme ni kweli wateule na dini yao ni ya kweli sasa hizi mbwembe za kwa jina la mwana na roho mtakatifu zimetoka wapi? sio sote tungekuwa dini ya kiyahudi. tunasema wateule lakini hapohapo hatufuati wanachoamini maana wayahudi Yesu wamemkataa kabisa kwamba hakuwa Messiah na Mary alizaa nje ya ndoa na hana role yoyote katika dini. Sasa vipi tufuate kitu ambacho wayahudi wamekikataa kabisa christian. au kuna miungu wawili mmoja wa kwetu na mwingine wa kwao. Maswali mengi majibu machache.
 
Wayahudi wana dini yao,sio wakristo ila wanaheshimu dini nyingine mbili zilizo pale Jerusalem yaani Islam na Christian.
Pili kitu wanachopigania Wayahudi ni sawa na watu weusi waliokuwa wakitawala Misri lakini wanaondolewa na wavamizi waarabu .
Tena sio hapo tu na kaskazini ya Afrika ilikuwa ya watu weusi.
Lakini labda jambo la msingi si wapalestina wala Wayahudi ndio wamiliki wa mwanzo wa eneo hilo.
Kulikuwa na wazawa Wafilisti na makabila mengine.Hao Wayahudi na Wapalestina ni kizazi cha Ibrahim muhamiaji kutoka Persia au Mashariki ya Iraq ya leo.
Atleast imeleta fact sip Kuna dunya mmoja anasema israel ni taifa teule et Kama hutak kunya boga
 
Back
Top Bottom