Israel sasa ana jeuri ya F-35, inabidi kukaa mbali naye

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,748
48,371
Hii ndege ina uwezo wa kuruka na kusafiri kwa umbali mrefu bila kuonekana na pia mashambulizi yake ni hatari. Inakushushia mabomu kama mvua.

Hata kifaa cha Mrusi S-400 hakina ujanja dhidi ya hii ndege. Trump amekurupuka kwa kukosoa lakini ametulizwa na wazee wenye dunia.
Kwa jumla, Israel ameagiza zingine hamsini kama hizi, ikumbukwe pia Wayahudi huwa wanajiongezea mambo yao wenyewe, hivyo watazifungua na kufanya yao humo ndani na kuzifanya kuwa na uwezo mkubwa.

Miafrika yetu macho.....

161211131046-israel-f35-delivery-lee-pkg-00002119-exlarge-169.jpg


Jerusalem (CNN)On an early morning in the summer of 1967, Israeli Mirage jets screeched across the desert of Egypt's Sinai Peninsula. Wave after wave of warplanes destroyed hundreds of Egyptian planes, leaving many of them smoldering on the tarmac. That decisive attack guaranteed Israel's air superiority for the remainder of the Six Day War.

And over the past five decades, Israel has sought to maintain its superiority in the skies over the Middle East.
Two of Lockheed Martin's F-35s, the most advanced fighter jet in the region, arrived in Israel on Monday. Israel has ordered 50 of them from the United States. Each has a price tag of more than $100 million.
The jets will be stationed at an air force base in Israel's Negev desert, with Lieutenant Colonel Yotam leading the squadron.


Israel greets first F-35 jets from US - CNN.com
 
Hii ndege ina uwezo wa kuruka na kusafiri kwa umbali mrefu bila kuonekana na pia mashambulizi yake ni hatari. Inakushushia mabomu kama mvua.

Hata kifaa cha Mrusi S-400 hakina ujanja dhidi ya hii ndege. Trump amekurupuka kwa kukosoa lakini ametulizwa na wazee wenye dunia.
Kwa jumla, Israel ameagiza zingine hamsini kama hizi, ikumbukwe pia Wayahudi huwa wanajiongezea mambo yao wenyewe, hivyo watazifungua na kufanya yao humo ndani na kuzifanya kuwa na uwezo mkubwa.

Miafrika yetu macho.....

161211131046-israel-f35-delivery-lee-pkg-00002119-exlarge-169.jpg


Jerusalem (CNN)On an early morning in the summer of 1967, Israeli Mirage jets screeched across the desert of Egypt's Sinai Peninsula. Wave after wave of warplanes destroyed hundreds of Egyptian planes, leaving many of them smoldering on the tarmac. That decisive attack guaranteed Israel's air superiority for the remainder of the Six Day War.

And over the past five decades, Israel has sought to maintain its superiority in the skies over the Middle East.
Two of Lockheed Martin's F-35s, the most advanced fighter jet in the region, arrived in Israel on Monday. Israel has ordered 50 of them from the United States. Each has a price tag of more than $100 million.
The jets will be stationed at an air force base in Israel's Negev desert, with Lieutenant Colonel Yotam leading the squadron.


Israel greets first F-35 jets from US - CNN.com
Israeli ni taifa teule la Mungu àitwaye Jehova.

ukiona umepigana nao na umeshinda ujue Bwana Mungu Jehova. Ameruhusu.

Ninachoshukuru serikali ya tz ni kufungua ubalozi Israeli maana imeandikwa atakayewabariki Israeli atabarikiwa ayakayewalaani atalaaniwa.
 
Israeli ni taifa teule la Mungu àitwaye Jehova.

ukiona umepigana nao na umeshinda ujue Bwana Mungu Jehova. Ameruhusu.

Ninachoshukuru serikali ya tz ni kufungua ubalozi Israeli maana imeandikwa atakayewabariki Israeli atabarikiwa ayakayewalaani atalaaniwa.

Ndugu yangu naomba nikujulishe kwamba siku ya pentekoste ilihitimisha uteule wa taifa la Israel.
 
Israeli ni taifa teule la Mungu àitwaye Jehova.

ukiona umepigana nao na umeshinda ujue Bwana Mungu Jehova. Ameruhusu.

Ninachoshukuru serikali ya tz ni kufungua ubalozi Israeli maana imeandikwa atakayewabariki Israeli atabarikiwa ayakayewalaani atalaaniwa.
Kumbe wakati mwingine Mungu hatendi haki!!??

He..! kwa hiyo sisi wengine baba yetu Lucifer au.?
 
Israeli ni taifa teule la Mungu àitwaye Jehova.

ukiona umepigana nao na umeshinda ujue Bwana Mungu Jehova. Ameruhusu.

Ninachoshukuru serikali ya tz ni kufungua ubalozi Israeli maana imeandikwa atakayewabariki Israeli atabarikiwa ayakayewalaani atalaaniwa.
Kwa hyo ukijipendekeza kwa watu wa Mungu nawe unakuwa mtu wa Mungu? Go and review you're classes
 
Ndugu yangu naomba nikujulishe kwamba siku ya pentekoste ilihitimisha uteule wa taifa la Israel.
Aise nijuze zaidi kuhusu hyo pentekoste na kanisa hilo kuna wadada niliwapa lifti wakanikaribisha
 
Huo ndio ukweli lakini hulazimishwi kuukubali.
Bob Marley alijiimbia kwenye wimbo wake Crazy Baldheads yafuatayo...
“.... Build your penitentiary, we build your schools,
Brainwash education to make us the fools.
Hate is your reward for our love,
Telling us of your God above.....”
Hao jamaa wanatulisha matango pori telling us how superior they're na blah blah blah kibao... Wake up bro!
 
Bob Marley alijiimbia kwenye wimbo wake Crazy Baldheads yafuatayo...
“.... Build your penitentiary, we build your schools,
Brainwash education to make us the fools.
Hate is your reward for our love,
Telling us of your God above.....”
Hao jamaa wanatulisha matango pori telling us how superior they're na blah blah blah kibao... Wake up bro!

Sasa wewe unatuambia nini, kawaida ya Waafrika kulialia kwamba wanaonewa wakati wenyewe wavivu balaa. Israel kainchi kadogo sana lakini wanajituma hadi wanakua tishio kwa mataifa makubwa na yenye uwezo mkubwa.
 
Hii ndege ina uwezo wa kuruka na kusafiri kwa umbali mrefu bila kuonekana na pia mashambulizi yake ni hatari. Inakushushia mabomu kama mvua.

Hata kifaa cha Mrusi S-400 hakina ujanja dhidi ya hii ndege. Trump amekurupuka kwa kukosoa lakini ametulizwa na wazee wenye dunia.
Kwa jumla, Israel ameagiza zingine hamsini kama hizi, ikumbukwe pia Wayahudi huwa wanajiongezea mambo yao wenyewe, hivyo watazifungua na kufanya yao humo ndani na kuzifanya kuwa na uwezo mkubwa.

Miafrika yetu macho.....

161211131046-israel-f35-delivery-lee-pkg-00002119-exlarge-169.jpg


Jerusalem (CNN)On an early morning in the summer of 1967, Israeli Mirage jets screeched across the desert of Egypt's Sinai Peninsula. Wave after wave of warplanes destroyed hundreds of Egyptian planes, leaving many of them smoldering on the tarmac. That decisive attack guaranteed Israel's air superiority for the remainder of the Six Day War.

And over the past five decades, Israel has sought to maintain its superiority in the skies over the Middle East.
Two of Lockheed Martin's F-35s, the most advanced fighter jet in the region, arrived in Israel on Monday. Israel has ordered 50 of them from the United States. Each has a price tag of more than $100 million.
The jets will be stationed at an air force base in Israel's Negev desert, with Lieutenant Colonel Yotam leading the squadron.


Israel greets first F-35 jets from US - CNN.com

Mashine hii hapa kiboko ya F-35. Russian PAK FA T50

 
Sijawai kusikia israel katengeneza ndege zaid ya kununua vifaa vya kivita kwa makampuni ya Lookheed martin, Boeing Defense , Space & Security na Northrop Grumman sasa linapokuja swala la kuongezea kitu napata ukakasi sana kwa jinsi ninavyojua Technology ya kijeshi ilivyo

F -35 ni ndege ya kivita ijulikanayo kama Next generation au 5th G F - 35 au kwa jina jingine ni Lockheed Martin F-35 Lightning II ni joint strike fighter ni kampuni mbili za Lookheed martin na Boeing Defense , Space & Security ambapo zilitakiwa kutengeneza ndege ambayo itakuwa na uwezo wa kutumika na air force na Navy kama tunavyojua Navy majini wakat aif force ni angani na sifa moja wapo ndege hii inauwezo kwa kutua na kupaa kama
Helicopter ambapo kulikuwa na ndege moja tu ya fighter yenye uwezo huo nayo ni AV-8B Harrier II iliyotengenezwa kwa ushirikiano wa US na UK na makampuni ya McDonnell Douglas ambayo kwa sasa ni Boeing na British Aerospace
BAE Systems kumbuka awa BAE systems ndo waliotuuzia Rada Tanzania

pia katka mchakato huo Boeing walitengeneza X -35 na Lookheed martin alitengeneza F -35 kwa nini 35 ni kwa sababu kwanza 3 iwe na uwezo wa kufanya vitu vitatu ambavyo ni
1 kutokuonekana kwenye Rada
2 kuwa na uwezo wa kutumika na Navy kwa maana ya kutua kama Helicopter
3 multirole fighters.
Na 5 ni iwe ya kizazi cha 5 Kwani ndege za fighter zina Generation pia
ndo maana utaona wote ndege zao zinaishia na 35

Baada ya kukamilisha ndege hzo mbili za X -35 na F -35 makampuni ya Boeing na Lookheed walizikabdhi kwa ajili ya TEST na ndege ya Lookheed martin ya F -35 iliibuka mshindi na Lookheed kupewa kandalasi ya kutengeneza ndege hzo ambapo mpaka sasa ameshatengeneza ndege zipatazo 192 ndege hz zina speed ya supersonic yani speed ya zaid ya sauti inauwezo wa kutembea KM 1929 sawa na 1199 Mph
pamoja na mazuri mengi ya ndege hii zipo changamoto zinazozikabili ndege hii ambayo ni kwenye upande wa Dog fight imeonesha kufanya vibaya ambapo mpaka sasa ndege bora kabisa kwa upande wa Dog fight ni Sukhoi su -35 ya Urusi ikifatiwa kwa ukaribu na F - 16 US amboyo ni ya mwaka 1978 na imetengenezwa na Lookheed martin sasa kinachochanganya watu ni kwa nini hii F 35 wametengeneza Lookheed na hii F 16 wametengeneza Lookheed inakuwaje wameshindwa kuifanya hii kuwa best kwa Dog fight zaid ya F 16 Jibu ni kuwa F 35 ni steath fighter au kwa maana nyingine aionekani kwenye rada so itakuwa ngumu kukutana na mapambano ya hana kwa hana na ndege zingne za kivita za adui


Bad newz ni kuwa aliekuwa engneer wa Lookheed martin na mmoja wa waliokuwa kwenye Develop ya ndege hii Mr Su Bin mmarekani mwenye asili ya china aliweza kuuza siri na Tech ya ndege ya F 35 kwa China na wachina wakatengneza yao na inajulikana kama Shenyang J -31 ambayo ni copy & paste ya F 35 bwana Su Bin alikamatwa lakini alikuwa ameshatuma file zote za kutengeneza ndege hyo na alihukumiwa kifugo cha miaka 5 jela
 
Back
Top Bottom