britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Israel ndiyo nchi inayoongoza duniani kwa kutotii maazimio ya Umoja wa Mataifa.
Taifa hilo limevunja maazimio 65 ya Umoja wa Mataifa bila kuchukuliwa hatua. Iraq ilivunja maazimio mawili tu lakini ilivamiwa na kushambuliwa na hatimaye kusambaratishwa. #VoBFACTS Voice of Bongo on Twitter
Taifa hilo limevunja maazimio 65 ya Umoja wa Mataifa bila kuchukuliwa hatua. Iraq ilivunja maazimio mawili tu lakini ilivamiwa na kushambuliwa na hatimaye kusambaratishwa. #VoBFACTS Voice of Bongo on Twitter