Israel na Marekani zazindua mpango wa uundaji wa mfumo mpya wa ulinzi wa anga wa Arrow-4

Ngoja wagalatia wasiokuwa na akili mpaka Paul akauliza ni nani aliyewaloga waje Hapa uone povu lao
Someno tena makombala ya ulinzi ya kudungua makombora mengine au object kama ndege au setelait na sio place wakuu acheni mihemko na mahaba ya kijinga
 
Unakumbuka mwaka 2006 muyahudi alikuwa na vifaru anaviita Merkava aka kitanda Cha Mungu na jinsi Hezbollah walichowafanyia
Mbona hao hezbollah wameshindwa kuludisha maeneo walio ny,ang,anywa kama ndo wanatoa kichapo ivo
 
Mnyonge mntongeni haki yake mpeni bavar 373 ya iran haina mpinzani huu mfumo hakika iran iliamua hawa wa arrow sijui patrot wanacheza tu makombora ya hezbullah yalipiga jiji la haifa mwaka 2006 huku arrow zinatazama tu
Mpinzani wa Bavar-373 ni S-300 ya Urusi ndugu. Au wewe si mfuatiliaji sana wa masuala haya?
 
hakuna anaewanyooshea kidole hapaa
ajabu wakifanya wenzao mambo yanayofanana na haya kelele na malalamiko yanaanzaaa
Hizo ni radar ,mifumo ya ulinzi wewe unataka wafanyeje waachwe Anga lao bila ulinzi ili washambuliwe?
 
Alafu jamaa wana waonaga hawa watu kama miungu watu APA Duniani! Hawajui hawa watu pengine wamehusika kuchezea mfumo wetu wa kufikiria kupitia laboratory! Ukiangalia uwezo wetu na kizazi cha miaka ya kina mwalimu ni tofauti sana uwezo wetu wa kufikiri una pungua badala ya kuongezeka
Uwezo wenu wa kufikiri unapungua? Kwa sababu gani mkuu?
 
Kizazi kinachoamini katika miujiza badala wao watende miujiza wanasubiri kutendewa kuna kijukuu changu hapa mpaka huwa nakaa natafakari bila kufika kikomo mambo yamekuwa tofauti na miaka yetu
Hatari sana mkuu tuwaombee
 
kizazi cha kuanzia 1990 hata sijui kimekumbwa na nini
rahisi sana. social meadias zinaharibu vijana. enzi za mwalimu ilikuwa ni ngumu sana vijana kuwa exposed na masuala ya nje.
sikuiz kila kitu kiko wazi.

na vijana wamekuwa addicted huko.

sio kwamba vijana sio intelligent. wenye akili wapo lakin mazingira yaliyopo yanawafanya wasitumie akili hizo
 
Inaonyesha jinsi gani Iran wako vizuri na tishio huko middle east. Izrael na marekani Mpaka wameamua kuzindua mipango ya uundaji wa mfumo mpya wa ulinzi, haya yote kwa ajili ya mashambulizi ya Iran.
 
Back
Top Bottom