Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 10,006
Kumekuwa na upotoshaji mkubwa sana unaofanywa maksudi na media na sijui kwanini.
Mfano mpaka sahivi hamas amesharusha makombora zaid ya 1000+ Israel lakin kinachowasaidia Israel ni kuwepo kwa mfumo wa iron dome defense system.
Hamas anaporusha Yale makombora yake achagui, tofauti na Israeli anaposhambulia Gaza anatoa taarifa kwanza watu waondoke.
Mfano mpaka sahivi hamas amesharusha makombora zaid ya 1000+ Israel lakin kinachowasaidia Israel ni kuwepo kwa mfumo wa iron dome defense system.
Hamas anaporusha Yale makombora yake achagui, tofauti na Israeli anaposhambulia Gaza anatoa taarifa kwanza watu waondoke.