Mkuu Boflo, hutu tutoto nimetuona tukijadiliwa Al Jazeera kama sometime around mwezi wa 7/8 huko Syria. Usiniambie tuna-act movie na sasa tupo tena Gaza!
Nakumbuka nilikuwa Restaurant Mtwara mama mmoja akawa anasema 'Mungu wangu, vitoto vizuriiii....wangenipa mimi nivilee jamani' wanaume wakaangua kicheko na kumfanya mmakonde wa watu akanuna kama kapaliwa na pilipli.
Mitandao sasa hivi imejazwa picha hadi za Iraq za mwaka 1991
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.