britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Ilikuwa mwaka 1976- 27- june ndege ya Ufaransa A300 Airbus iliyokuwa ikitokea Israel ikapitia ugiriki Athens ilitekwa na magaidi wa Kipalestina na Ujerumani, ikiwa na abiria 254 wengi wakiwa ni waisrael,
Ndege hiyo ilibadirishwa mwelekeo na kupelekwa nchini Uganda uwanja wa ndege wa Entebbe, na Amin akaweka walinzi wa kuilinda,
Palestina walikuwa na lengo kushinikiza Israel iachie wafungwa raia wa Palestina, waliwahoji abiria wote na kuwaachia wasio wa Israel,
Baada ya habari kuwafikia Israel waliomba baraza la usalama la usafiri wa anga usijisumbue kuingilia suala ilo bali watamaliza wenyewe,
Walifanya uchunguzi ndani ya masaa 12 japo muda ulikuwa mfupi wakagundua
1. Uwanja na muundo wa uwamja wa Entebbe ulivyo,
2. Gari la Idd Amini muundo wake, ulivyo na aina yake,
3. Wakagundua umbali wa kutoka uwanja ulipo mpaka makao ya jeshi yalipo,
4. Wakataka kujua mateka walipotunzwa,
Baada ya kugundua hayo walifanya yafuatayo
Wakatafta gari kama la Idd amin na rangi ilivyo na plate number ya kufoji,
Wakatafta ndege tatu za kivita,
Wakaandaa wanajeshi kadhaa na makomandoo 35 wakiwa na mavazi ya wanajeshi ya uganda ,
Wakaanza safari mpaka Entebbe usiku wa manane , ndege ya kwanza ilitangulia iliyokuwa na magari natatu ya kufanana na convoy ya Amin,
Ndege zao za kivita ilibidi ziende juu meter 30 kuzuia detection, maana ikienda juu ya hapo itakuwa detect,
Ndege nyingine zilichelewa kufika,
Baada ya kufika magari matatu yakatoka kwenye ndege na kupita V.I.P japo gari la kwanza lilishtukiwa ambapo ilibidi wajeshi wa Israel watumie silent pistol kuwanyamazisha,
Wakapita vema na njian kwingine hawakupata tatizo maana ilikuwa ni kama masafara wa Rais ,
Baada ya kufika hapo vita ilipiganwa dakika 53 tu na kuwakomboa mateka
Walikufa wanajeshi 139 wa Uganda
Kwa upande wa Israel alikufa mwanajeshi mmoja na Muhim
Jonathan Netanyahu kaka wa waziri mkuu wa sasana Benjamin Netanyahu
Operation ikaisha , wakapandisha mateka na kurudi Tel Aviv ,
Kumbe kuna mama mmoja alisahaulika wa Israel, kwenye chumba maalumu cha hospital, kwa hasira Idd Amin alimuua kwa kumchinja na kuondoa moyo wake,
VIDEO FUPI KWA WASIO NA BANDO LA KUTOSHA
VIDEO / FULL DOCUMENTARY KWA MWENYE BANDO
Britannica
Ndege hiyo ilibadirishwa mwelekeo na kupelekwa nchini Uganda uwanja wa ndege wa Entebbe, na Amin akaweka walinzi wa kuilinda,
Palestina walikuwa na lengo kushinikiza Israel iachie wafungwa raia wa Palestina, waliwahoji abiria wote na kuwaachia wasio wa Israel,
Baada ya habari kuwafikia Israel waliomba baraza la usalama la usafiri wa anga usijisumbue kuingilia suala ilo bali watamaliza wenyewe,
Walifanya uchunguzi ndani ya masaa 12 japo muda ulikuwa mfupi wakagundua
1. Uwanja na muundo wa uwamja wa Entebbe ulivyo,
2. Gari la Idd Amini muundo wake, ulivyo na aina yake,
3. Wakagundua umbali wa kutoka uwanja ulipo mpaka makao ya jeshi yalipo,
4. Wakataka kujua mateka walipotunzwa,
Baada ya kugundua hayo walifanya yafuatayo
Wakatafta gari kama la Idd amin na rangi ilivyo na plate number ya kufoji,
Wakatafta ndege tatu za kivita,
Wakaandaa wanajeshi kadhaa na makomandoo 35 wakiwa na mavazi ya wanajeshi ya uganda ,
Wakaanza safari mpaka Entebbe usiku wa manane , ndege ya kwanza ilitangulia iliyokuwa na magari natatu ya kufanana na convoy ya Amin,
Ndege zao za kivita ilibidi ziende juu meter 30 kuzuia detection, maana ikienda juu ya hapo itakuwa detect,
Ndege nyingine zilichelewa kufika,
Baada ya kufika magari matatu yakatoka kwenye ndege na kupita V.I.P japo gari la kwanza lilishtukiwa ambapo ilibidi wajeshi wa Israel watumie silent pistol kuwanyamazisha,
Wakapita vema na njian kwingine hawakupata tatizo maana ilikuwa ni kama masafara wa Rais ,
Baada ya kufika hapo vita ilipiganwa dakika 53 tu na kuwakomboa mateka
Walikufa wanajeshi 139 wa Uganda
Kwa upande wa Israel alikufa mwanajeshi mmoja na Muhim
Jonathan Netanyahu kaka wa waziri mkuu wa sasana Benjamin Netanyahu
Operation ikaisha , wakapandisha mateka na kurudi Tel Aviv ,
Kumbe kuna mama mmoja alisahaulika wa Israel, kwenye chumba maalumu cha hospital, kwa hasira Idd Amin alimuua kwa kumchinja na kuondoa moyo wake,
VIDEO FUPI KWA WASIO NA BANDO LA KUTOSHA
VIDEO / FULL DOCUMENTARY KWA MWENYE BANDO
Britannica