Morogoro kaskazini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2020
- 2,185
- 8,453
Stori za vijiwe vya kahawa mwembe chai au stendi ya daladala huku Morogoro
Mushroom structure na rangi ya moto ni tosha kabisa kuprove kuwa ni bomu zingine ni covering story. Aidha ni bomu lililotunzwa hapo au strikeIla we jamaa unakuwaga na ulimwengu wako wa pekee wa kutafsiri mambo. Nyuklia ni nyoko mkuu acha kuilinganisha na hiyo mbolea iliyotunzwa vibaya
So wewe unajua nini ama uko Beirut?Hii sio conspiracy,ni ukweli mtupu, conspiracy ni mambo ya kufikirika.Ila muache ujinga on serious issues.Wenzenu wamewawekea neno conspiracy kwenye akili zenu na mawazo ili wafanye vitu vyao bila kujua halafu kwa ujinga mlio nao mmeling'ang'ania.Nakumbuka watu walipoambiwa kuhusu majanga fake ya magonjwa yanayowajia walisema ni conspiracy,sasa tayari tupo na utapeli na mchezo mchafu kabisa kuwahi kushuhudiwa na wanadamu wa C-19,na bado.
Have you ever saw Nuclear Bomb in your life or even touching it?Kuna nuclear warheads za aina kama tatu au nne hivi,nadhani ni swala la ufahamu tu.Nadhani mawazo yako wewe yako kwenye high yield bombs kama lile la Hiroshima ambalo lilikuwa a high yield nuclear bomb in terms of TNT.Hata hivyo hili la Beirut halikuwa dogo sana.Yields range from 5-150kt of TNT.La Beirut linaweza kua W80 ambalo ni low to intermediate yield two-stage thermonuclear warhead.
So,kama wame-deny hawako involved.Yaani akili zingine hizi.So kila unachosikia ni kweli?Hivi kabisa unaamini hiyo Ammonium Nitrate ililipuka tu na hakuna detonator.I am a scientist,I know that can't happen.Basi wote tunaootumia Ammonium Nitrate in one way or the other si tungekuwa tumeshalipuliwa na kufa.Wawadanganye ninyi wakudanganyika.Hii ndio source yako?
Haujaona Lebanese government na Hezbollah have denied Israel involvement?
Si umeona pia Israel anatoa humanitarian aid to Lebanon.
Okay tuachane nayo but you need to learn how to promote propaganda better.
Type a common sense of what happened in Beirut.So you think a nuclear bomb ni lazima iwe of the size of Hiroshima.Sio lazima,they differ from sizes of 5-150 kts of TNT.Have you ever saw Nuclear Bomb in your life or even touching it?
Woiii wabongo who witched you
Mtafiti umetafiti ...Nipe ushahidi kwamba huu ni uongo.Mimi nimefanya utafiti nikapata huu ukweli kutoka kwenye chungu.Na wewe taarifa kwamba huu ni uongo umeipata wapi?No research no right to speak.
Acha speculation mkuuHivi unaamini kabisa kwamba Israel hawana W80 warheads.Hivi pia unaamini kwamba Israel hawana B-2 Spirit Bombers.Israel is America remember,na ndio wanao dictate American affairs and foreign policy.Na hata kama hawana W80 nuclear warheads,they can use smaller nuclear warheads and use other bombers.Si wanazo?
Is your family okay at home Sir?Type a common sense of what happened in Beirut.So you think a nuclear bomb ni lazima iwe of the size of Hiroshima.Sio lazima,they differ from sizes of 5-150 kts of TNT.
Hivi who will know more about what happened,wewe au Trump.Na hivi unajua kwamba kuna circumstantial evidence,even in a court of law.Jamani hata ile mushroom iliyotoka kwenye ule mlipuko unaonyesha wazi kwamba ule sio mlipuko wa kawaida a nuclear device has been used.Mlipuko wa kawaida hauwezi ku-vaporize magari, watu,materials zingine na watu in the near vicinity of the explosion,hili tunalijua!Finally,hata IAEA wamekiri kwamba a nuke has been used sawa unachobisha ni nini.Follow the link below uone.Acha speculation mkuu
Hata IEA wamekiri kwamba a nuclear reaction has taken place in the middle East, ubishi wa nini.Tupe na wewe your slightest evidence,kwamba this hasn't happened.Mimi ninao mwingine,huu hapa👇Mtafiti umetafiti ...
Freak
Ahahahahahahahaha! Niga you better mute that thing you call a mouth vinginevyo unadhalilika!Kama hukujifunza Physics,Nuclear Physics or Chemistry this is not your area,kaa pembeni.
Nimesema let's ushahidi unao onyesha kwamba nilicholeta hapa sio kweli,if you fail to do that,wewe ndiye unaye dhalilika.Nimesema no research no right to speak.Ahahahahahahahaha! Niga you better mute that thing you call a mouth vinginevyo unadhalilika!
Hakuna unachokijua NARUDIA HUJUI KITU.
Tuletee video Trump akisema ile ni Nuclear missile.Hii sio conspiracy,ni ukweli mtupu, conspiracy ni mambo ya kufikirika.Ila muache ujinga on serious issues.Wenzenu wamewawekea neno conspiracy kwenye akili zenu na mawazo ili wafanye vitu vyao bila kujua halafu kwa ujinga mlio nao mmeling'ang'ania.Nakumbuka watu walipoambiwa kuhusu majanga fake ya magonjwa yanayowajia walisema ni conspiracy,sasa tayari tupo na utapeli na mchezo mchafu kabisa kuwahi kushuhudiwa na wanadamu wa C-19,na bado.
Mchezo mchafu kuwahi kushuhudiwa na binaadamu sio covid 19 tu pekeeHii sio conspiracy,ni ukweli mtupu, conspiracy ni mambo ya kufikirika.Ila muache ujinga on serious issues.Wenzenu wamewawekea neno conspiracy kwenye akili zenu na mawazo ili wafanye vitu vyao bila kujua halafu kwa ujinga mlio nao mmeling'ang'ania.Nakumbuka watu walipoambiwa kuhusu majanga fake ya magonjwa yanayowajia walisema ni conspiracy,sasa tayari tupo na utapeli na mchezo mchafu kabisa kuwahi kushuhudiwa na wanadamu wa C-19,na bado.