wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,210
- 2,741
Germany, France, UK, South korea, singapore, Taiwan?, Japan etc mbona nazo zina uchumi mkubwa na hazina mafuta.Taifa teule tukufu, takatifu na teule la Mungu wa kweli linazidi kuimarika kiuchumi.
Licha ya vita mashariki ya kati uchumi wake mwaka huu tu umekua 3.5%.
Israel haina mafuta kama wenzake majirani, Qatar, Omani, Kuwait, Iraq, Bahrain lakini GDP yake ni 720 billion GDP imewazidi. Ni Saudi Arabia na Uturuki tu ndio imemzidi mteule.
Uchumi wa Israel pia umeupita Uchumi wa Norway, Denmark na Finland. Umezidiwa kidogo tu na Sweden.
Kumbuka Israel hawana mafuta lakini wanavyofanya vizuri kiuchumi inastaajabisha wengi.
Yemen hawana mafuta lakini hoi na chalii Hahahahahaaaaa.
Nini hasa kinakuza Uchumi wa Israel kwa kasi ya hatarii?
1. Sekta ya technology
2.uvumbuzi (Innovation)
3. Strong export Market.
Israel the Land, Jews the people.
God bless and protect Israel 🇮🇱
View attachment 3597567
adriz de mbusii
Elewa pia US anaipa pesa ya ruzuku Israel