Israel :COVID-19 treatment proves to be 100% effective after being tested in US ..

Watu wanakimbilia kuifurahia hiyo dawa lakini hawaangalii imeundwa kutokana na nini....placenta kwa uelewa wangu mdogo wa biology inahusika katika nyumba ya mtoto ambaye hajazaliwa...sasa inakuaje madokta kutumia uchafu kutengeneza dawa in the first place.???...hizi chanjo ni sumu kwetu kimaadili ya kidini...kaeni mbali n.a. chanjo au dawa zilizoundwa kutokana na maiti ya vichanga jamani...am keni...dawa za miti zipo kibao..iweje Leo tunalishwa maiti..wanatulazmishwa tule nyama za watu n.a. vichanga kama wao..
 
Hilo ni Taifa teule la Mungu.

Kwa hiyo Mungu ameamua kuwafunulia uwezo wa kuponya gonjwa hili la corona, ambalo linayafanya hata yale mataifa yanayojiona ni tajiri na yana nguvu kubwa za kijeshi, kama Marekani, wakikuna vichwa vyao na wasijue cha kufanya!
Mkuu, inamaana siku ya mwisho WaIsrael hawata hukumiwa kwa zambi walizotenda kama watu wengine?.
 
Ukizidiwa utatumia tu hata kama dini hairuhusu sasa hivi we piga tu porojo
Watu wanakimbilia kuifurahia hiyo dawa lakini hawaangalii imeundwa kutokana na nini....placenta kwa uelewa wangu mdogo wa biology inahusika katika nyumba ya mtoto ambaye hajazaliwa...sasa inakuaje madokta kutumia uchafu kutengeneza dawa in the first place.???...hizi chanjo ni sumu kwetu kimaadili ya kidini...kaeni mbali n.a. chanjo au dawa zilizoundwa kutokana na maiti ya vichanga jamani...am keni...dawa za miti zipo kibao..iweje Leo tunalishwa maiti..wanatulazmishwa tule nyama za watu n.a. vichanga kama wao..

♑♀Life belongs to all who struggle for it♀♑♧
 
Inasikitisha sana tunao maprofessor na magenetic engeneers bongo lakini hakuna lolote kutoka kwao zaidi ushauri wa β€œnawa mikono ,avoid overcrowding na social distance
 
Swala hapa ni tiba ya Corona sasa kama wewe taifa ambalo unali-admire haliwezi hata kutengeneza paracetamol hapo sasa sisi tuna kosa gani??

Israel kuwa taifa teule kwa nini likufanye uumie tumbo wakati hayo ni maandiko ya kitabu cha Mungu mwenyewe na kama wewe huyaamini hiyo ni shauri yako na imani yako.

Hakuna anayekulazimisha uyaamini na wala huwezi na wewe kumlazimisha mwingine asiyaamini.

Kama ni kweli wanaweza wakawa wamepata breakthrough ya hili janga itakuwa ni a scientific milestone na hata hawa wanaopiga kelele humu watakuwa wa kwanza kupanga foleni ya kutafuta tiba hiyo hata kwa ndugu zao, unafiki ni shida sana.
 
Swala hapa ni tiba ya Corona sasa kama wewe taifa ambalo unali-admire haliwezi hata kutengeneza paracetamol hapo sasa sisi tuna kosa gani??

Israel kuwa taifa teule kwa nini likufanye uumie tumbo wakati hayo ni maandiko ya kitabu cha Mungu mwenyewe na kama wewe huyaamini hiyo ni shauri yako na imani yako.

Hakuna anayekulazimisha uyaamini na wala huwezi na wewe kumlazimisha mwingine asiyaamini.

Kama ni kweli wanaweza wakawa wamepata breakthrough ya hili janga itakuwa ni a scientific milestone na hata hawa wanaopiga kelele humu watakuwa wa kwanza kupanga foleni ya kutafuta tiba hiyo hata kwa ndugu zao, unafiki ni shida sana.
ina maana haya mataifa yalobakia niyashetani ?!

nyie wenye imani yenu pia mnapingana juu ya hilo suala

ila pia taifa teule limezidi kua ongo ongo sana maana hii itakua mara yapili wanasema wanadawa ila tunaona dunia inazidi elemewa na COVID-19

Sent using My COVID-19
 
Elimu yetu ni ya kutafutia ajira especially serikalini, hatuna elimu ya kumfanya mtu awe innovative.

Na ndio maana wale wanaoitwa wasomi ktk nchi hii wanapata wakati mgumu sana ku-survive nje ya ajira mithili ya Covid-19 anavyopata shida ku-survive nje ya cell ya kiumbe hai.

Ndio maana wale wanaoitwa wasomi ktk nchi hii hutafuta paradise kwenye siasa kwani ktk nchi hii siasa ndio shortcut ya maisha.

Aliyekuwa makamu wa rais wa Kikwete Mohammed Gharib Billal, alienda Russia enzi hizo, akasomea mambo ya Nuclear Physics na mpaka leo anakaribia kufa hakuwahi hata kutengeneza kibatari kinachotumia nishati ya nuclear na madala yake akazamia kwenye siasa kutafuta Shortcut to Life na akafaulu na kuacha nchi ikiwa na umeme unaowaka kwa style ya mgonjwa wa kifafa.

Sisi waafrika hatuwezi kabisa tukajivunia elimu kwani imetusaidia padogo sana sana tofauti na wenzetu na ndio maana hata kwenye mijadala yetu mbali mbali ni vigumu sana kutofautisha msomi na kanyaboya na mfano mzuri ni kwenye bunge letu.

Tunaona hata kwenye hili janga namna wasomi walivyokuwa relegated to the back seats na kuwaachia wanasiasa akina Makonda ambao hawajui hata forceps ni kitu gani kuongelea maswala ya kitaalam. Sisi bado sana.
 
Uchafu!!! Hii mpya
Watu wanakimbilia kuifurahia hiyo dawa lakini hawaangalii imeundwa kutokana na nini....placenta kwa uelewa wangu mdogo wa biology inahusika katika nyumba ya mtoto ambaye hajazaliwa...sasa inakuaje madokta kutumia uchafu kutengeneza dawa in the first place.???...hizi chanjo ni sumu kwetu kimaadili ya kidini...kaeni mbali n.a. chanjo au dawa zilizoundwa kutokana na maiti ya vichanga jamani...am keni...dawa za miti zipo kibao..iweje Leo tunalishwa maiti..wanatulazmishwa tule nyama za watu n.a. vichanga kama wao..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elimu yetu ni ya kutafutia ajira especially serikalini, hatuna elimu ya kumfanya mtu awe innovative.

Na ndio maana wale wanaoitwa wasomi ktk nchi hii wanapata wakati mgumu sana ku-survive nje ya ajira mithili ya Covid-19 anavyopata shida ku-survive nje ya cell ya kiumbe hai.

Ndio maana wale wanaoitwa wasomi ktk nchi hii hutafuta paradise kwenye siasa kwani ktk nchi hii siasa ndio shortcut ya maisha.

Aliyekuwa makamu wa rais wa Kikwete Mohammed Gharib Billal, alienda Russia enzi hizo, akasomea mambo ya Nuclear Physics na mpaka leo anakaribia kufa hakuwahi hata kutengeneza kibatari kinachotumia nishati ya nuclear na madala yake akazamia kwenye siasa kutafuta Shortcut to Life na akafaulu na kuacha nchi ikiwa na umeme unaowaka kwa style ya mgonjwa wa kifafa.

Sisi waafrika hatuwezi kabisa tukajivunia elimu kwani imetusaidia padogo sana sana tofauti na wenzetu na ndio maana hata kwenye mijadala yetu mbali mbali ni vigumu sana kutofautisha msomi na kanyaboya na mfano mzuri ni kwenye bunge letu.

Tunaona hata kwenye hili janga namna wasomi walivyokuwa relegated to the back seats na kuwaachia wanasiasa akina Makonda ambao hawajui hata forceps ni kitu gani kuongelea maswala ya kitaalam. Sisi bado sana.
Hahahaha eti kwa kuwa amesom nuclear basi yeye kama yeye anauwezo tayari wa kutengeneza kibatari..

Hivi hivi nuclear unaijua unaisikia sikia tu!!!?

Sijawahi sikia rais yoyote ktk nchi hii amejikita kati innovation zaidi ya kujenga mabarabara n vitu kam hivyo.. mnawaonea wasomi sana.. ukizingatia hakuna sera yoyote inayojaribu kuwainua wavumbuzi na wataalam ya sayansi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom