we mbona MUONGO NA MNAFIKI?Aliwachukua baadhi tu tena kidogo Wakimbizi ila Iddi Amini alitaka kuwachukua Wapalestina wote ila kuna Nchi za Kiafrika zilipinga na zilifanya vizuri leo ingekuwa ni Vita Wapalestina wangezaana na kuanza kuwauwa wenyeji kama ilivyokuwa Misri ya kale angalia leo Misri ni Waarabu tupu.
UNATAKA KUSEMA MISRI KULIKUA NA WAAFRIKA WEUSI?
H8STORIA HIYO YA UONGO UMESOMA WAPI?
KWAHYO HT LIBYA,MOROCCO,ALGERIA NAKO KULIKUA KUNA WAAFRIKA WEUSI,ETHIOPIA JE?
EMBU KAISOME MISRI VZURI NI TAIFA LA KARNE NA MAKARNE NYUMA