Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,204
- 4,692
Muda mfupi uliopita Waziri Mkuu wa Israel Benjamini Netanyau amehitimisha kikao muhimu na Wakuu wa vyombo vya Ulinzi & Usalama.
Kikao hicho kilifanya tathmini ya mashambulizi dhidi yaliyofanywa dhidi ya Hamas & kupitia/kuidhinisha mipango mbalimbali ya mashambulizi mapya yaliyowasilishwa na Jeshi la nchi hiyo.
Kikao hicho kilihudhuriwa na Waziri wa Ulinzi wa Israel, Mkuu wa Majeshi ya Israel, Mkuu wa Mossad, Mkuu wa Baraza la Usalama wa Taifa na Mkuu wa Idara ya NSA.
Kikao hicho kiliagiza kuwa Mashambulizi dhidi ya Magaidi wa Hamas yaendelee kwa nguvu kubwa hadi pale hali ya Usalama wa Raia wa Israel itakaporejea kuwa nzuri.
Kikao hicho kilifanya tathmini ya mashambulizi dhidi yaliyofanywa dhidi ya Hamas & kupitia/kuidhinisha mipango mbalimbali ya mashambulizi mapya yaliyowasilishwa na Jeshi la nchi hiyo.
Kikao hicho kilihudhuriwa na Waziri wa Ulinzi wa Israel, Mkuu wa Majeshi ya Israel, Mkuu wa Mossad, Mkuu wa Baraza la Usalama wa Taifa na Mkuu wa Idara ya NSA.
Kikao hicho kiliagiza kuwa Mashambulizi dhidi ya Magaidi wa Hamas yaendelee kwa nguvu kubwa hadi pale hali ya Usalama wa Raia wa Israel itakaporejea kuwa nzuri.