Israel announces new special unit to confront Hezbollah in ground warfare

Ingia mtandaoni tena wenu usome habari kamili
Ngojea niende nikasome ila siwezi kupinga directly maana ht humo serikalini wapo walopiga upatu hizbollah iondolewe ushawishi wa kisiasa lebanon.
ila wakuu hawaliungi mkono maana wanajua watakosa utetezi wa kijeshi na fedha maan hizbollah anamwaga pesa serikalini somehow.
 
Ngojea niende nikasome ila siwezi kupinga directly maana ht humo serikalini wapo walopiga upatu hizbollah iondolewe ushawishi wa kisiasa lebanon.
ila wakuu hawaliungi mkono maana wanajua watakosa utetezi wa kijeshi na fedha maan hizbollah anamwaga pesa serikalini somehow.
 
Ngojea niende nikasome ila siwezi kupinga directly maana ht humo serikalini wapo walopiga upatu hizbollah iondolewe ushawishi wa kisiasa lebanon.
ila wakuu hawaliungi mkono maana wanajua watakosa utetezi wa kijeshi na fedha maan hizbollah anamwaga pesa serikalini somehow.
Ni mgambo aliefanya mauwaji yale sio jeshi, jamaa anapata habari kutoka radio Telaviv
 
Unashindwa kuelewa Israel anashikwa mkono na USA.
Iran inashindwa kuingia vita directly na Israel kwasababu inajua NATO itahamia Tehran.
Ila siku Israel ikimuanza Iran kwa full scale war ndipo Israel itaelewa Iran ilishindaje vita dhidi ya Saddam Hussein alosaidiwa na USA na France tena akiwa peke ake na vita ikachukua miaka nane.
Iran achana nao sio waarabu wale.
Unapigana vita miaka minane yote bado unajiona mahiri kivita na lini Iran ilishinda vile vita dhidi ya Iraq. Wewe unafahamu Wairan wangapi waliokufa kwenye ile vita.

Vipi ule mpango wa 1979 wa Ayatollah kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia ilifikia wapi?
 
Hezbollah watamalizika soon, na kupotea kabisa, subiri muone, nimesikia kutakuwa na kikundi kikali kuliko ISIS kazi itakuwa kumaliza kabisa Hezbollah.
 
Unapigana vita miaka minane yote bado unajiona mahiri kivita na lini Iran ilishinda vile vita dhidi ya Iraq. Wewe unafahamu Wairan wangapi waliokufa kwenye ile vita.

Vipi ule mpango wa 1979 wa Ayatollah kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia ilifikia wapi?
Utakua labda hukuisoma ile vita vizuri.
Iran lazma aonekane mahiri kwasababu tatu.
1)Hakuwa na jeshi lililoeleweka ndio kwanza walitoka kufanya mapinduzi hawakua well organized.
2)Iraq ndio iloianza kuivamia Iran tena wakipatiwa msaada na USA ilhali Iran hakuna aliekua akimuunga mkono.
3)Licha ya Iran kutokua na msaada ikiwa na jeshi la mapinduz imehimili vita kwa miaka nane hiyo inajulisha Iraq dhaifu ambayo ilikua na jeshi kubwa kwa wakati ule licha ya kupewa msaada.
Jiulize Iran ingekua kamili gado Iraq ingeingiliwa mpk baghdad.
Miaka nane unaandamwa ww ila hausalimu amri huo ni uanaume ww ht alokuvamia lazma akupe salute.
Ilhali IDF tu mziki wa hezbollah wameshindwa kuuhimili ndani ya siku 33 waka withdraw wenyewe bila kuambiwa.
Iran hawezi kuanzisha vita yeye ilhali anajua Israel ana back up ya NATO.
Na akivamia yeye kwanza inamaan NATO watapata kisingizio bora cha kuiangamiza Iran.
Maana Iran ni tishio kwa maslahi ya USA na mabeberu middle east hivyo hana adui mmoja wazungu na USA pia wana hamu nae sana tu.
Hvyo wanatafta kisingizio madhubuti na km Iran akianza bas utakua mwisjo wake maana wote watamshukia.
Ila Israel iianze Iran km Iraq ilivyoianza Iran mwaka 1979 kesha uone km Israel itabaki.
Maan hapo NATO watasaidia silaha tu ila hawataingilia km ilivyo kwa lebabon.
Maana hawatakua na kisingizio cha kuingilia kijeshi ilhali aloanza Israel.
 
Hezbollah watamalizika soon, na kupotea kabisa, subiri muone, nimesikia kutakuwa na kikundi kikali kuliko ISIS kazi itakuwa kumaliza kabisa Hezbollah.
Hezbollah ni sehemu ya serikali ya lebanon ukitaka uimalize vunja serikali ya lebanon.
 
Utakua labda hukuisoma ile vita vizuri.
Iran lazma aonekane mahiri kwasababu tatu.
1)Hakuwa na jeshi lililoeleweka ndio kwanza walitoka kufanya mapinduzi hawakua well organized.
2)Iraq ndio iloianza kuivamia Iran tena wakipatiwa msaada na USA ilhali Iran hakuna aliekua akimuunga mkono.
3)Licha ya Iran kutokua na msaada ikiwa na jeshi la mapinduz imehimili vita kwa miaka nane hiyo inajulisha Iraq dhaifu ambayo ilikua na jeshi kubwa kwa wakati ule licha ya kupewa msaada.
Jiulize Iran ingekua kamili gado Iraq ingeingiliwa mpk baghdad.
Miaka nane unaandamwa ww ila hausalimu amri huo ni uanaume ww ht alokuvamia lazma akupe salute.
Ilhali IDF tu mziki wa hezbollah wameshindwa kuuhimili ndani ya siku 33 waka withdraw wenyewe bila kuambiwa.
Iran hawezi kuanzisha vita yeye ilhali anajua Israel ana back up ya NATO.
Na akivamia yeye kwanza inamaan NATO watapata kisingizio bora cha kuiangamiza Iran.
Maana Iran ni tishio kwa maslahi ya USA na mabeberu middle east hivyo hana adui mmoja wazungu na USA pia wana hamu nae sana tu.
Hvyo wanatafta kisingizio madhubuti na km Iran akianza bas utakua mwisjo wake maana wote watamshukia.
Ila Israel iianze Iran km Iraq ilivyoianza Iran mwaka 1979 kesha uone km Israel itabaki.
Maan hapo NATO watasaidia silaha tu ila hawataingilia km ilivyo kwa lebabon.
Maana hawatakua na kisingizio cha kuingilia kijeshi ilhali aloanza Israel.
Hizo ni porojo tu Iran hawaiwezi Israel wewe hata Biblia huijui. Si ajaribu kuifuta kwenye ramani ya dunia aone kilichomnyoa kanga manyoya?
 
Hizo ni porojo tu Iran hawaiwezi Israel wewe hata Biblia huijui. Si ajaribu kuifuta kwenye ramani ya dunia aone kilichomnyoa kanga manyoya?
unaleta masuala ya biblia ilhali hao wazayuni wanaipinga biblia?
Mie nimetoa fact we unaishia kusema porojo.
Leta fact kupinga hoja niliyotoa.
Mimi nimeleta uhalisia ulivyo we unasema porojo.
Iran ktk historia yake hakuwahi kuanzisha vita bali akianzwa anamaliza.
Iraq 1980 ilimvamia Iran wahajemi wakatoa kipigo.
USA imeleta chokochoko Iran wahajemi wakalipua kambi zao Iraq.
Unlike Israel ambae yeye strategy yake anasemaga umuanze adui kabla hajakuanza mbona kashindwa ku apply hiyo formula kwa Iran??
Na kwanini kila siku anapiga kelele kwa USA kwamba mchakato wa nuclear wa Iran unahatarisha usalama wa Israel??
Unaweza ukanipa jibu hapo??
Narudia Iran hawezi kuanzisha vita maana NATO watapata sababu ya kumuangusha ila akianzwa yeye hapo ndipo kitaeleweka.
 
Hezbollah ni sehemu ya serikali ya lebanon ukitaka uimalize vunja serikali ya lebanon.
Sio kweli serikali ya lebanon ina jeshi lake wala hyo Hezbollah sio sehemu ya serikali yenyewe ina uongozi wake na inategemea misaada kutoka kwa wafadhili wao ikiwemo iran
 
Hatari sana hayo mataifa ya mashariki ya kati na utashangaa ndio waliotuletea dini huku kwetu, inafika kipindi tunakua mazuzuuuuuu hata wao wenye dini zao wanatushangaa
 
Sio kweli serikali ya lebanon ina jeshi lake wala hyo Hezbollah sio sehemu ya serikali yenyewe ina uongozi wake na inategemea misaada kutoka kwa wafadhili wao ikiwemo iran
ndugu hizbollah ina mkono wake serikalini.
na pia km haujui baadhi ya mambo pale lebanon wanaomwaga pesa ni hizbollah
ni sawa useme chadema ipokee sapoti kutoka Italy.
au ushasahau pindi mlipuko wa beirut port ulipotokea mabeberu waliwapa serikali ya lebanon sharti la kuwapokonya ushawishi wa siasa hizbollah ndio wawape msaada?
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom