said reuben
Member
- Dec 22, 2018
- 62
- 28
Naomba kuuliza nilienda hospital nikaambiwa ninatatizo la left ventricular hypertrophy nikapewa dawa tajwa hapo juu lakin now ni napata maumivu makali kama moto tangu jana usiku ila kabla sijaanza kutumia ilikua ina una upande mmoja n then I naachia but tangu jana usiku ni too much na hapa sina hela ya hospital mpka jumatatu naweza pata ushauri gani wakuu naomba msaada wenu