Kwahiyo gharama za ulinzi nani atazibeba? kama watachangia watachangia nusu au kwa ratio gani?Suluhisho la matatizo ya Muungano ni kuwa na Nchi moja yenye mifuno miwili ya utawala (One country, two systems). Hii ni model ya China, Hong Kong na Macau. Tuwe na nchi moja tu lakini Zanzibar iwe in Special Administrative region, iwe na full autonomy kwa mambo yote isipokuwa Ulinzi (Jeshi) na Mambo ya nje. Waendeshe uchumi wao wenyewe, wawe na Benki kuu yao, immigration yao kila kitu kwa kadri wanavyotaka. Labda hii itawasaidoa kuacha kulalamika lalamika.
Ulikosea kama ulidhani jusa ana busara. Tafuta kumbukumbu zote zinazomhusu jusa hutapata mahali ametumia busara, huyu ni mpayukaji namba moja wa CUF na kama kuna sehemu wanahitaji mtu wa kupayuka basi hapo cuf watampeleka Jussa na si mwingine. Kwa nchi serious huyo asingepata hata uongozi wa tawi la chama wala ubalozi wa nyumba tano.huwa namuona ni mtu mwenye busara lakini kwa hili aamelikoroga, Jusa ni mpuuzi, hawezi kuwatukana namna hii, ila kwa sababu serikali yetu inavyoendeshwa, angekuwa Lema saizi ungeskia yupo segerea. Pinda kamsikia Jusa au coz ni ccm B
Hata mfumo huo hawataukubali. Maalim Seif, Jussa na Wazanzibar wengi tu wanataka NCHI yao. Mipaka wameichora upya juzi kwenye KATIBA yao. Sijasikia tu wakidai tarehe ya UHURU wa Zanzibar mwaka 1963.Suluhisho la matatizo ya Muungano ni kuwa na Nchi moja yenye mifuno miwili ya utawala (One country, two systems). Hii ni model ya China, Hong Kong na Macau. Tuwe na nchi moja tu lakini Zanzibar iwe in Special Administrative region, iwe na full autonomy kwa mambo yote isipokuwa Ulinzi (Jeshi) na Mambo ya nje. Waendeshe uchumi wao wenyewe, wawe na Benki kuu yao, immigration yao kila kitu kwa kadri wanavyotaka. Labda hii itawasaidoa kuacha kulalamika lalamika.
MTAZAME HAPO KWENYE VIDEO INAYOPATIKANA KWENYE LINK HAPO CHINI,SIO SIRI AMENIKERA SANA HUYU MHINDI!SAM SIX SI NI SAWA NA BABA YAKE?HAKUKUWA NAHAJA YA KUMTUKANA MZEE HUYO KISA KATOFAUTIANA NAE MAWAZO,HIZI NDIO SIASA ZA MAJI TAKA SASA...
Rashid Video: ISMAIL JUSA ANAMJIBU SAMWEL SITA
Basically, huu unalingana sana na mfumo ambao tunautumia sasa hivi kuendesha Muungano ingawa katika miaka ya hivi karibuni Zanzibatr imekuwa ikijitalia madaraka zaidi kwa kisingizio kwua bara iliongeza articles of union kinyemelaSuluhisho la matatizo ya Muungano ni kuwa na Nchi moja yenye mifuno miwili ya utawala (One country, two systems). Hii ni model ya China, Hong Kong na Macau. Tuwe na nchi moja tu lakini Zanzibar iwe in Special Administrative region, iwe na full autonomy kwa mambo yote isipokuwa Ulinzi (Jeshi) na Mambo ya nje. Waendeshe uchumi wao wenyewe, wawe na Benki kuu yao, immigration yao kila kitu kwa kadri wanavyotaka. Labda hii itawasaidoa kuacha kulalamika lalamika.
Hata mfumo huo hawataukubali. Maalim Seif, Jussa na Wazanzibar wengi tu wanataka NCHI yao. Mipaka wameichora upya juzi kwenye KATIBA yao. Sijasikia tu wakidai tarehe ya UHURU wa Zanzibar mwaka 1963.
Jussa alitakiwa amjibu Sita kwa hoja na wala si kwa matusi kama alivyofanya!!! Jussa kajishushia hadhi sana kisiasa. Kama kweli eneo linalodhaniwa kuwa na mafuta lipo kati ya Tanga na Pemba*(kama alivyotamka Jussa mwenyewe), basi asitegemee mteremko katika suala hili hata kama mafuta yataondolewa katika mambo ya muungano au hata muungano ukifa!!!
Wazanzibar wa MAPINDUZI DAIMA wamemalizika nini! Najua wanaumia kwa ndani kuiona SMZ yao imehamia PEMBA.Mkuu kwenye video hukusikia Jussa akisema Zanzibar ilipopata uhuru ilikuwa na wataalam karibu wote ukilinganisha na Tanganyika ambapo Mwanasheria Mkuu wa Serikali alikuwa Mzungu - Mwingereza! Hajasema wakati wa Mapinduzi amesema wakati wa uhuru! anajua anachokifanya haikuwa bahati mbaya!
hivi mtu aliyezima mjadala wa richmond bungeni anastahili kuitwa mpumbavu?iam just asking