idoyo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2013
- 3,050
- 1,401
Ametoa maoni hayo kuhusu 'mabadiliko' yaliyotokea hivi karibuni katika vilabu vikongwe vya soka nchini. Kiongozi huyo wa kisiasa ambaye amewahi pia kuwa kiongozi wa kimichezo nchini ameviasa vilabu hivyo kutotumia neno 'mabadiliko' kwa kuwa limekaa kisiasa, ameshauri litumike neno 'mapinduzi' kuashiria mabadiliko ya kimfumo. Pia amevitaka kuwa makini na uwekezaji uliofanyika!
Chanzo: EATV HotMix
Chanzo: EATV HotMix