life is Short
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 4,741
- 3,031
Masikini Gad O mpendwa, Mbona unakurupuka..... Bora nikujuze hao waisalam waendao Europa,US,Canda nk wamefanikiwa kusilimisha kuIslam asilimia kubwa ya wenyenji wa huko na kuwageuza kufuata taratibu za kiisilamu na utamaduni wetu wa East/southern life styles.... FYI hiyo mmi mwenyewe nimeshuhudia na bora wee mwenyewe uliza kwa vijanwenu walo huko ! mkuu Hivi sasa ukienda huko utaona misikiti, Hotels nyingi zimeandaa spesho room for salaa(prayers) viyumbani kuna ishara ya Qibla, Mashuleni kuna assosieshen za kiisilamu, Airpots zao kuna sehemuza kutawadha na kusalii, White house huandaa futari kwa jamii na mengi zaidi culture za kiisilamu...Al-Hamdulillahi tunashukuru mungu kwa kutambulisha walongoka kwa kuitumikia na kuihudumia dini yake Allah anawapa imani kinamna yake.... Japo kuwa wapambe wao kama nyie hamupendeleei.... Lakini milango ipo wazi 24/7 Dini hii ni ya kila mtu hakuna kaubaguzi..... Uisilamu haujengwii kwa fedha au mapesa mengi ni Moyo na imani ya kumtii mweziMungu, Kwa mungu Fedha ni kitu cha mwisho kabisa kukifikiria mkuu... By the way Riba ili wekwa Haramu kutokana na Uonevu wa Mabepari kuwanyonya wanyonge kama mimi na wewe na watu waina zetu, sasa unapotetewa Basi nawe jinyanyue usikomae kuubishi bila kutafakari anayekusimamia HAKI yako na kulinda haki za masikini. " SAY NO TO RIBA and MIFUMO YAKE " hutopungua kitu wala maisha yako hayataathirika au kuwa na kasoro zzote. Mwisilamu hatishiki wala haogopi isipokuwa amri na utii wa mungu tu. Sote tubarikiwe... Mfungo mwema na makubalio ya matendo mema kwa jamii/viumbe.Bora unyamaze kimya tu maana unachojidai nacho hukijui...jiulize kwa nini waislamu wanakwenda ulaya na Marekani ambako vyooni ni toilet paper tu kwa usafi ni maji! Labda hujatembea na upeo wako umefikia hapo pwani ya bongo na Zanzibar..