Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,608
- 218,025
ππππKamanda katumalizie, basi ule Uzi wako wa kabla ujapata ajira kampuni iliyokunyanyasa ndio iliokuajili
ππππKamanda katumalizie, basi ule Uzi wako wa kabla ujapata ajira kampuni iliyokunyanyasa ndio iliokuajili
Mbulula mwengine huyuTena hao wanaoua wanaujua vizuri uislam na Qur'an kuliko wewe uliesoma madrasa kule mlamleni nyatanga A kwa ostadhi mbilisi.
Wenzako wanasema wanatekeleza ilani na sheria ya Mohamedi na kupigania JIHADI et wewe unasema sio waislam
We piga tu tarawee hapa wakati wenzio wanaenda kufaidi haya huko akhera...!Wajinga kama nyie vichwa vikubwa akili za kufikiria sifuri. Ukiona mtu kavaa kanzu kafuga ndevu usha connect dot kuwa ni uislamu ndio unaua watu.
Na walifika mpaka Kataya Tanzania.
Haya.Mimi naishi hapa, sijasikia visa hivi
Ndugu acha uongoNa walifika mpaka Kitaya Tanzania.
Miji Yote Ya Nchi zipi Mkuu?!Father of All
Chief kwa kuwa una vijana wako nashauri mngeenda kuwashambulia huko msumbiji ili wasifike huku kwetu Tz maana nia yao ni kutwaa miji yote na kusimika dola yao.
Hili wazo umelipata Baada Ya Msiba Kutokea?!Huu ni muda wa kulishikamanisha taifa na kuwa kitu kimoja, tukiendelea kuwa kama tulivyo sijui mwisho wake utakuwaje.
Hakika tumegawanyika mno, kama imefikia hatua wengine wanachekelea kifo cha mwingine, unaweza piga picha tumebakiza umbali gani kuvamiwa na maadui kama hao
Walichokutana nacho wanakijua.. Waambie warudi kama watathubutu πππNa walifika mpaka Kitaya Tanzania.
Nachojua walikata watu vichwa na kuondoka na baadhi ya wawawake.Walichokutana nacho wanakijua.. Waambie warudi kama watathubutu πππ
Long live TPDF..
hawakuondoka, waliuliwa wengi kimya kimya baadhi wakakimbia, bongo wanaiogopa sanaWalikata watu vichwa na kuondoka na baadhi ya wanawake.
Hujuma kutokea ndani, upungufu wa rasilimali ni vikwazo vikubwa sana.Hii mambo huwa sielewi taifa huru, lina majeshi, serikali. Kikundi kinaingia kinaachwa,kinakua tishio, kinamiliki eneo , himaya?
Sawa, tuombe wasikanyage tena Tz kwasababu gaidi ni kiumbe hatari sana.hawakuondoka, waliuliwa wengi kimya kimya baadhi wakakimbia, bongo wanaiogopa sana
Hahaha... na sisi mwaafrika ni malaika??????Mwarabu na mzungu ndio watu wanaoitesa dunia, hajuna kabila ambalo halijaumizwa na hao watu