mzee wa ndoto
Member
- Jul 10, 2020
- 75
- 46
Jamhuri ya muungano wa tanzania
.....
Mkoa wa pwani Jimbo la chalinze kata mbalimbali wakulima wamekuwa wakikutana na kazia mbalimbali.
Hususani mifugo aina ya ng'ombe imekuwa tatizo ambalo selikali za vjiji mbalimbali wameshindwa kulipatia ufumbuzi
Badala yake wakulima wasione sehem ya kwenda kupata msaada na kufikia uwamuzi wa kuyaterekeza mashamba kutokana na vitisho, msumbufu wa kulinda ng'ombe wasiingie shamba
Au mazao kuharibiwa na kukosa fidia nk..
Tumeyaanda mabango yako teyali tunakusubiri rais samia na kama huna ratiba ya kuja siku za karibuni
Basi tuma vijana wako
Waje watusikirize wa kulima wa chalinze na kata zake na vijiji vyake tutoe kero zetu kilimo ndio kura yetu ada za watoto wetu nk..
#hatuna ajira nyingine
.....
Mkoa wa pwani Jimbo la chalinze kata mbalimbali wakulima wamekuwa wakikutana na kazia mbalimbali.
Hususani mifugo aina ya ng'ombe imekuwa tatizo ambalo selikali za vjiji mbalimbali wameshindwa kulipatia ufumbuzi
Badala yake wakulima wasione sehem ya kwenda kupata msaada na kufikia uwamuzi wa kuyaterekeza mashamba kutokana na vitisho, msumbufu wa kulinda ng'ombe wasiingie shamba
Au mazao kuharibiwa na kukosa fidia nk..
Tumeyaanda mabango yako teyali tunakusubiri rais samia na kama huna ratiba ya kuja siku za karibuni
Basi tuma vijana wako
Waje watusikirize wa kulima wa chalinze na kata zake na vijiji vyake tutoe kero zetu kilimo ndio kura yetu ada za watoto wetu nk..
#hatuna ajira nyingine